Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

aisee huyu jamaa amepata shavu gani?? Maana nackiackia tu cjui kateuliwa kny jopo la wachumi dunia, anakula kama mil. 750 kwa siku.... Imekaaje hii???
0 Reactions
4 Replies
2K Views
I hate mkorogo for sho......sijui kwanini watu wanapenda kubrush nyuso zao ziwe nyeupe? Da asha baraka bana akzidi huyu mama na mkorogo....ukimuona kama ndizi mbivu....
0 Reactions
29 Replies
13K Views
Jamani leo nimesoma gazeti la nipashe kwenye michezo nikakuta wameandika eti nakaaya napigwa na mwanamke mwenzie kwa sababu ya kugombania mwanaume na achilia mbali kupiga pia katika sakata hilo la...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Welcome to Eco Cultures Tours & Travel It’s not easy or always reassuring. You're on the road for a family vacation. You've done lots of family-friendly things and now you and your significant...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
It’s not easy or always reassuring. You're on the road for a family vacation. You've done lots of family-friendly things and now you and your significant other want a night out. Or at least a...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
i just got off work and came on here and i saw the thread that Jay-Z and beyonce is having a kid coming..ok that's good for them..but I think we should give props to Jay-Z for getting is shit in...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Naona mji huu sasa hakuna kijana asiyekunywa lakini I always fail to see the appeal ya RG...sana sana pako kama kwa macheni pale mapipa unless kuna mtu anaweza kunifumbua macho na kinachovutia...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
  • Closed
Hatimaye moja ya wabunge wetu wa Singida na ambaye amekuwa akilalamikiwa sana kwa kuendekeza ubachela na usela, ameoa. Kama ilivyotarajiwa, amemuoa Miss Tanzania Faraja Kota. Kwa muda mrefu sasa...
1 Reactions
22 Replies
33K Views
Msanii Juma Mchopanga aka Jaymo amefanya wimbo na msanii kutoka marekani ajulikanaye kwa jina la MIMS,jina la wimbo huo ni Never be me. Big up Jaymo wimbo mzuri sana na umetutendea haki kwa...
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Yaani huyu mwanaume mimi hata simuelewi kabisa. Sijui kaishiwa nguvu, manake lile tangazo lake la Star Times limemfanya aonekane kama punga fulani hivi. Hivi mashosti huyu ni mwanaume kweli?
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Kwa wale tunaosikliza habari na burudani za Yesu kupitia Radio hii watakua wanamfahamu............nimebahatika kumsikiliza mara nyingi vipindi vya usiku...kw akweli kijana ana upako wa hali ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jaribu kucheck vizuri kama kuna mtu utamkumbuka hapa enzi hizo pale vijana kinondoni j2 mchana mpaka.. Zainabu- Jerry Nashon na Vijana Jazz - YouTube#!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
"Mwaka 2011 ulikuwa wa misukosuko hasa baada ya kutimiza miaka 18, I am grown up and have my own life, I wish to do more in movies and have loads of fans and here is my new look...."
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Source:gazeti la kiu,Jamaa amefulia na hana hela,Mkewe anamzingua,hakuna maelewano kabisa::
0 Reactions
21 Replies
11K Views
naombeni msaada wa kumjua kwa undani huyu mtu,kuna mtu alikuwa ananidokeza kuwa karibu nusu ya serikali ya kikwete walikuwa kama si wafanya kazi wa rosta basi ni marafiki katika biashara...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
hivi ni kwel kwamba AY anammanage cpwaa na shaa...???? Yan ndo anawataftia michongo ya nje??? Iz it tru??? Kama ndo hvo?? Mbona AY mwenyewe mchovu tu!!!!!!??
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Yule Jamaa aliyewahi kuwa Waziri wa mambo ya ndani ni Mkurugenzi wa ECO na Mimi sijui hiyo ECO inafanya kazi gani au ameanzisha Ofisi ya Ulinzi?
0 Reactions
87 Replies
13K Views
[Verse] Yea... Yea... Ay yo The things I've seen in life will make you choke by suprise Like an aborted fetus in a jar that opened it's eyes Provoking my demise, I'll leave your spirit broken...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom