Wayne
JF-Expert Member
- May 27, 2009
- 659
- 201
Mwanamuziki Andy Swebe a.k.a Ambassodar aliyepata kuvuma sana na kundi la MK GROUP enzi zile akipiga gitaa la base, leo asubuhi amefariki dunia baada ya kubanwa na pumu. Msiba upo Kijitonyama.
MUNGU ailaze roho ya marehemu mahala pema... Amin
Source:Wanandugu
MUNGU ailaze roho ya marehemu mahala pema... Amin
Source:Wanandugu