Organizations which are independent of government involvement are known as non-governmental organizations or non-government organizations, with NGO as an acronym. NGOs are a subgroup of organizations founded by citizens, which include clubs and associations that provide services to their members and others. NGOs are usually nonprofit organizations, and many of them are active in humanitarianism or the social sciences. Surveys indicate that NGOs have a high degree of public trust, which can make them a useful proxy for the concerns of society and stakeholders. However, NGOs can also be lobby groups for corporations, such as the World Economic Forum. According to NGrg (the non-governmental organizations associated with the United Nations), "[an NGO is] any non-profit, voluntary citizens' group which is organized on a local, national or international level ... Task-oriented and driven by people with a common interest, NGOs perform a variety of service and humanitarian functions, bring citizen concerns to Governments, advocate and monitor policies and encourage political participation through provision of information."Russia had about 277,000 NGOs in 2008. India is estimated to have had about two million NGOs in 2009 (approximately one per 600 Indians), many more than the number of the country's primary schools and health centers. The term "NGO" is used inconsistently; it is sometimes a synonym for a civil society organization, any association founded by citizens. NGOs are known in some countries as nonprofit organizations, and political parties and trade unions are sometimes considered NGOs. NGOs are classified by orientation and level of operation; orientation refers to the type of activities an NGO undertakes. Activities may include human rights, consumer protection, environmentalism, health, or development. An NGO's level of operation indicates the scale at which an organization works: local, regional, national, or international.
Niseme wazi mimi huwa ni mlalamikaji pindi nikihudumiwa sivyo. Lakini Kwa hili napenda niipongeze wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu chini ya mwanamama mhe. Dkt Dorothy Gwajima.
Nimehudumiwa vizuri pasipo urasimu wowote mpaka kufanikisha usajili wa shirika lisilo...
Naomba nisaidieni kama kuna mtu kawai ona NGO ya kichina nna taka kufanya research kuhusu mchango wa NGO za China kwenye social services za Tanzania. Nipige comparative study China vs Western.
Binafsi sijawai ona NGO ya kichina Tanzania na sijui sababu ni nini ata kupata volunteer wa kichina ni...
Nimeingia kwenye mji huu wa kidijitali ila kabla hata siku haijaisha nimeona ni uungwana kuwasalimu kwanza wenyeji.
Nimekuwa ni msomaji wa muda mrefu wa jamiiforums katika majukwaa kadhaa ila nimeamua rasmi niingie kwenye ngoma nipate uhondo zaidi kuliko kuwa mtazamaji / msomaji.
Mnipe baraka...
Hadithi mitaani ni kwamba kumbe hata Ngorongoro ilikuwa ni dili la mwarabu! Misitu MWarabu! kila kitu sasa ni mwarabu. Ni maamuzi ya rais Samia. Tuliamini ni rais mwema, CCM iliamini ina kiongozi wa Tz.
Zipo hadithi tofauti juu ya samia kuingia ktk siasa. Yeye mwenyewe alieleza safari yake kwa...
Mwaka 2004 CHADEMA iliingia ubia na NGO ya Kijerumani The Konrad Adenauer Stiftung (KAS) ili iwajengee uwezo wa kisiasa, kiutawala na kiufundi (technical assistance including capacity building for local leaders, programmatic support and structural coordination).
TUWEKEENI HUO MKTABA HAPA WA UBIA
Habari zenu wanajamii,
Mimi ni kijana wa Kitanzania, nina miaka 25, mhitimu wa chuo kikuu cha Ushirika Moshi (MOCU). Nimesomea shahada ya sanaa katika Uchumi wa Maendeleo ya jamii (Bachelor of Arts in Community Economic Development) Mbali na elimu niliyosomea nina ujuzi wa kutumia Computer hasa...
Serikali wilayani Mwanga, mkoani Kilimanjaro, imesitisha shughuli zinazofanywa na shirika lisilo la kiserikali linalojihusisha na vijana la Kilimanjaro Youth Network baada ya kubainika kufundisha na kufungisha vijana ndoa za mapenzi ya jinsia moja tofauti na usajili wa shirika hilo.
Chanzo...
Mwanasiasa aliyewai kuwa Waziri kwenye Wizara tofauti, ikiwemo Wizara ya Katiba na Sheria Dk. Harrison Mwakyembe ameitwa na Baraza la Taifa la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NaCoNGO) kueleza kwa kina kile alichoeleza mbele ya Umma kuhusu madai ya baadhi ya mashirika (NGOs) kuhusika kueneza...
Habari Wananzonde jukwaani
Nimesajili shirika NGO mwaka 2020 ina usajili wa kufanya kazi mikoa yote Tanzania bara (Usajili wa kitaifa) lakini Hadi leo sijafanikiwa kupata fund Mahali popote .
Nimejifanyia tathmini nimegundua kwamba Sina watu wenye weledi kwenye hii NGO. Kwani 99% ya wanachama...
Wito umetolewa kwa NGO, Vikundi vya mikopo au Vikundi vichanga vya maendeleo ambavyo ndio vimeanzishwa na vile ambavyo vina changamoto ya kupata wafadhili popote vilipo, pigeni sim namba 0711860995 kujiunga na group la NGOs ili kunufaika na Capacity Building za NGO na wafanya kazi wa vikundi...
Habari zenu wanajamii,
Mimi ni kijana wa kitanzania, nina miaka 24, mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es salaam. Nimesomea shahada ya sanaa katika isimu na fasihi (Bachelor of Arts in linguistics and literature). Mbali na elimu niliyosomea nina ujuzi na computer applications.
Natafuta nafasi ya...
Hello members,
I am university graduate from UDSM, studied (BAED) Linguistics and literature graduated with GPA of 3.8 natafuta any NGO nipate volunteering position ili niweze ku-advance my career.
I am expert on Ms word, powerpoint and Excel studied at (UCC-UDSM), I have ability to meet...
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu amekutana na kufanya mazungumzo na mkurugenzi wa taasisi isiyo ya Kiserikali inayojihusisha na HIV hasa kuzuia maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto ya Elizabeth Glaser Pediatric AIDS Foundation, Charles Lyons.
EGPAF iliasisiwa mwaka 1988 na taarifa za...
Bodi ya Uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali kwa mujibu wa kifungu cha 7 (1) (e) cha Sheria ya Mashirika Yasiyo ya Kiserikali Sura ya 56 ya mwaka 2002 inaujulisha umma kuwa imefuta NGOs 29 kuanzia Aprili 22, 2022 kama ifuatavyo;
Source: Malunde
Habari JF,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, kuna mradi wa afya umebuniwa na kampuni ya kitanzania, ila utekelezaji wake ni lazima upitie shirika au asasi ya kijamii.
Hivyo naomba mtu anayemiliki NGO au anafanya kazi kwenye NGO au ni mjumbe wa NGO au una mahusiano na NGO yoyote, inayoweza...
Rais Samia: Nakushukuru Waziri wa Maendeleo ya Afya, Jinsia, Wazee na Watoto pamoja na Uongozi wa baraza la Mashirika yasiyo ya kiserikali kwa kunialika kwenye mkutano huu wa mwaka wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali nataka nikiri kuwa nimefurahi sana kushiriki katika mkutano huu.
Rais Samia...
Habari za Asubuhi
Naomba mnisaidie utaratibu ili niweze kupata TIN certificate. Kwa ajili ya Organization imesajiliwa kisheria ngazi ya Kitaifa.
Ahsante.
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea nipo njiani kufungua NGO yangu ambayo itakuwa ina deal na maswala ya ELIMU YA TANZANIA
Kazi tutakazokuwa tunafanya ni kama ifuatavyo:
1. Kufundisha mashuleni kwa mfumo wa club
2. Kuandaa matamasha mbali mbali ya kielimu mashuleni
3. Kutoa mafunzo kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.