Kiswahili kweli ni lugha masikini, maneno mengi yanatumika kwa maana tofauti na hivyo huweza kuwachanganya watumiaji:
Mfano:
1. Kufika= kuwasili sehemu fulani, kufikia hamu katika tendo la ndoa,
mf. Amekaribia kufika nyumbani.
au Mmmh leo nataka kufika kileleni.
2. Kutafuna= kusaga kitu kwa...
<TABLE border=0 cellSpacing=0 cellPadding=0 width="100%"><TBODY><TR><TD class=kaziBold vAlign=top align=left></TD></TR><TR><TD vAlign=top align=middle></TD></TR><TR><TD class=kaziBody vAlign=top align=left>Wakazi wa Kijiji cha Samunge wa kabila la Wasonjo wakifurahia huduma ya mawasiliano ya...
Ngd wanajamvi ashakum si matusi ila naomba nitoe kidogo mawazo yangu juu ya matumizi sahihi na salama ya BAKORA na MASHINE.
Nikianzia na Bakora-
Sote tunajua kuwa bakora ni kifaa kinachotumika sana sehemu mbalimbali, bakora hutumika kuchapa, kutembelea na hata kuua nyoka.
bakora ni kifaa...
Wana JF naomba mpasue majipu ya wafuatao kwa ganzi au bila ganzi kwa wafuatao:
Hawa wote ndio waliowahi kushika wadhifa wa UKATIBU MKUU WA CCM tangu kuanzishwa kwake.
Je nao walikuwa magamba?
Lipi lilikuwa gamba gumu kabisa kung'oka?
1. 1977- 1980 - Pius Msekwa
2. 1981- Daudi...
Mandhari ya jiji la Dar ukiwa unaingia bandarini kutokea Zanzibar. Kwa mbali mji unapendeza, lakini bado ipo haja ya kuweka mji katika mazingira ya usafi.
Hapo ndipo tulipokwama, usafi wa mji hakuna, hali ni mbaya sana ndani ya miji yetu.:angry:
Ndg wana Jf,
Naomba msaada wa jinsi ya kuirejesha email yangu ambayo imevamiwa jana na kusambaza ujumbe kuwa naomba pesa kwa watu wanisaidie eti nimeibiwa, jambo ambalo si kweli.
Nilikuwa natumia Yahoo.com sasa siwevi kuingia nimejaribu kuchange password lakini haijafanikiwa.
Kwa yeyote...
Leo saa 6 mchana babu atakuwa viwanja vya Jangwani Dar es salaam akitoa kikombe kwa wenye shida wote. Babu ameamua hivyo kusherehekea siku ya leo na kurahisisha huduma kwa wananchi. Kikombe atakitoa hadi saa 12 jioni na kurudi tena Loliondo ambako ndio makazi yake yalipo.
Nyote mnakaribishwa...
Mchezo wa ng'ombe Pemba kisiwani
Pemba ndipo mahali pa pekee katika Afrika penye desturi hii ya mchezo wa ng'ombe. Hii ni kutokana na athira ya Ureno kwenye mwambao wa Afrika ya Mashariki miaka 400 iliyopita. Mara Wareno walikuwa na kituo huko Chake Chake, mara walikuwa na mapatano ya usaidizi...
Mmmmmh jamani hii dunia ingekuwa hakuna kuzeeka wala kufa, ningeomba nikae na huyu kimwana maisha yangu yote tukiwa tuanaburudishana.
lakin hata kuangalia tu ni burudani tosha. Hapa tuko mjini Kigali jamani looo! Hii siyo ya Kibongo. Nilibahatika kuwa huko siku za karibuni, Kigali ni burudani...
Source: BBC NEWS
Kenya imetuma ndege kwenda Tripoli kuondosha raia wote wa Kiafrika walionasa Tripoli ambapo mapigano makali yanaendelea kuuteka mji wa Tripoli na kumkabili Gadhafi ambaye haijulikani kama bado yupo hapo au kazimika.
Wakenya wako very "patriotic" nawasifu sana.
wabongo...
At one point, Moammar Gadhafi compares his rule to that of the queen of England, who has been on the throne for 52 years but does not wield real political power.
"Queen Elizabeth has ruled longer than I have and nothing has happened to her, no one has bothered her," he says, speaking by phone on...
Kanali Muommar Gadhafi miaka 68- alipata madaraka katika mapinduzi yasiyo ya kumwaga damu mwaka 1969- alimpindua aliyekuwa mfalme wa Libya wakati huo Mfalme Idris.
Watoto wa Gadhafi
1. Muhammad
Mtoto wa kwanza wa Gadhafi na mkewe wake wa kwanza, Fatiha waliyetengana naye miezi sita tu...
Katika mwaka mmoja, Abunuwasi aliamua kuwa mfugaji mbuzi. Alinunua mbuzi na akanza kufuga na huku akiwa na tamaa ya kumuongezea kipato chake pindi tu mbuzi huyo atapoanza kuzaa watoto, naye atawafuga hadi wawe wengi na kuwa tajiri mji mzima kwa mbuzi wake hao.
Siku moja Abunuasi akipokuwa...
Wanajamvi sijui km nimetua ukumbi husika, km sio mtanisahihisha.
Napenda kujua hawa ndg zetu waliwahi kuvuma sana enzi zao katika sanaa.
Power Mabula alikuwa na nguvu za ajabu kuuia au kuvuta magari km Scania n.k au hata gari kupita kifuani kwake bila kudhurika.
Mzee Moris Nyunyusa hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.