Mpasuajipu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 836
- 49
Wana JF naomba mpasue majipu ya wafuatao kwa ganzi au bila ganzi kwa wafuatao:
Hawa wote ndio waliowahi kushika wadhifa wa UKATIBU MKUU WA CCM tangu kuanzishwa kwake.
Je nao walikuwa magamba?
Lipi lilikuwa gamba gumu kabisa kung'oka?
1. 1977- 1980 - Pius Msekwa
2. 1981- Daudi Mwakawago (RIP)
3. 1982-1990- Rashidi Kawawa (RIP)
4. 1990-1995- Kolimba (RIP)
5. 1996-2006- Philip Mangula
6. 2006-2010- Yusuf (Joseph) Makamba
Je hili gamba la mwisho kung'oka mnalionaje wadau?
Maana katika msafara wa mamba na kenge hawakosi. Kenge ni jamii ya mamba waliodumaa.
Hawa wote ndio waliowahi kushika wadhifa wa UKATIBU MKUU WA CCM tangu kuanzishwa kwake.
Je nao walikuwa magamba?
Lipi lilikuwa gamba gumu kabisa kung'oka?
1. 1977- 1980 - Pius Msekwa
2. 1981- Daudi Mwakawago (RIP)
3. 1982-1990- Rashidi Kawawa (RIP)
4. 1990-1995- Kolimba (RIP)
5. 1996-2006- Philip Mangula
6. 2006-2010- Yusuf (Joseph) Makamba
Je hili gamba la mwisho kung'oka mnalionaje wadau?
Maana katika msafara wa mamba na kenge hawakosi. Kenge ni jamii ya mamba waliodumaa.