KENYA YATUMA NDEGE TRIPOLI .... KUOKOA WAAFRIKA WOTE! Bongo Air Tanzania iko wapi?

Mpasuajipu

JF-Expert Member
Oct 22, 2010
836
49
Source: BBC NEWS

Kenya imetuma ndege kwenda Tripoli kuondosha raia wote wa Kiafrika walionasa Tripoli ambapo mapigano makali yanaendelea kuuteka mji wa Tripoli na kumkabili Gadhafi ambaye haijulikani kama bado yupo hapo au kazimika.

Wakenya wako very "patriotic" nawasifu sana.

wabongo kimyaaa kama tumenyeshewa mvua, angalia hata lile tukio la Maharamia wa Somalia kuitemka meli na watanzania wamo katika meli hiyo hadi leo, hakuna juhudi zozote zinazoendelea kuwanusuru ka kadhia hiyo!

Kazi vicheko tu, teh teh " Usisikilize redio mbao" teh teh
 
Tanzania Embassy , Libya (linki) Ukibonyeza hiyo linki unakutana na hii habari:

If you have any information about embassy of Tanzania that could be helpful to others, please use this form to post your comments. Any details related to the embassy or any other specifics about embassy of Tanzania that will help other people will be greatly appreciated.

Kontakti zilizopo ni ubalozi uliopo Cairo. Lakini mpaka sasa hakuna taarifa yeyote toka ubalozi huo kuhusu mipango ya kuwaokoa wabongo waliokwama.

Wabongo waliopo Libya watakiona cha mtema kuni kilichomnyoa kanga manyoya ya shingoni!


Aibuuu!!!

 
Hii si Tanzania iliyonilea...l

..lazima kuirudisha ile Tanzania yutu halisi...

... Tangulini Tanzania ikawa hawajali wanachi wake ...kiasi hiki!
 
Sijawahi kusikia hata siku moja Tanzania kuwasaidia wananchi wake walioko nje. Kulipoanza kulipuka cheche za nguvu ya umma Tunis na Egypt niliwahi kusikia humu kuwa TZ ilikuwa inataka kuwaokoa raia wake kule? Ile ilishia wapi?

Kama kuna yeyote ambaye anakumbuka tukio lolote lile ambapo Tanzania au balozi zake zimewahi kufanya kwa raia wake walioko nje, atueleze.
 
Jamani kwani hamjui-hii nchi haina ndege ya kuweza kufika libya na kuwachukuwa hao raia.hizo nchi zinapeleka ndege zao huko-sisi hatuna cha kupeleka
 
Jamani kwani hamjui-hii nchi haina ndege ya kuweza kufika libya na kuwachukuwa hao raia.hizo nchi zinapeleka ndege zao huko-sisi hatuna cha kupeleka

Kuna Gazeti moja la uwingereza...limenukuu ktk kwa baadhi ya watu wa libya kwamba baadhi ya wale wanajeshi wa kukodi ("african" marcenaries), wametoka Kenya, Ghana...na nchi nyengine za Africa!!! sasa sijui kama hilo linahusiana??
 
Jamani kwani hamjui-hii nchi haina ndege ya kuweza kufika libya na kuwachukuwa hao raia.hizo nchi zinapeleka ndege zao huko-sisi hatuna cha kupeleka

Tunayo JWTZ 1 inashinda pale T1. Jana tu imetua kutoka Côte d'Ivoire na Mauritania
 
kuna gazeti moja la uwingereza...limenukuu ktk kwa baadhi ya watu wa libya kwamba baadhi ya wale wanajeshi wa kukodi ("african" marcenaries), wametoka kenya, ghana...na nchi nyengine za africa!!! Sasa sijui kama hilo linahusiana??
inawezekana wameplekwa kwa njia hii-ili kuficha mambo-
 
Kuna Gazeti moja la uwingereza...limenukuu ktk kwa baadhi ya watu wa libya kwamba baadhi ya wale wanajeshi wa kukodi ("african" marcenaries), wametoka Kenya, Ghana...na nchi nyengine za Africa!!! sasa sijui kama hilo linahusiana??
Mimi nimewahi kuona "wa kukodi" wausi ambao wameelezwa kuwa wanatoka Nigeria, ingwa hili sina hakika nalo. Nililo na hakika nalo, ni ushahidi toka kwa kijana mmoja wa Mauritania aliyenihakikishia kuwa wapo Wamaouritania wengi wa kukodi. Kuna tetesi kuwa wamepelekwa na raisi aliyepita ambaye ni rafiki mkubwa wa Hitler Ghaddaffi.
 
[/COLOR]
Pengine ya pili ni ile ya raisi (ikiwa bado ipo). Nchi hii bana, we wacha tu.
as long rais hawez ku-share ndege yake na civilian wa kawaida-ndo maana hili swala la kuwatoa watz waliopo libya hakuna kiongoz anaelizungumzia-KWELI KAZI TUNAYO
 
Kila kita Tanzania ni cha viongozi, kuanzia ulinzi, viongozi wa tanzania wanajipenda sana.
 
Tanzania Embassy , Libya (linki)

If you have any information about embassy of Tanzania that could be helpful to others, please use this form to post your comments. Any details related to the embassy or any other specifics about embassy of Tanzania that will help other people will be greatly appreciated.

Wabongo waliopo Libya watakiona cha mtema kuni kilichomnyoa kanga manyoya ya shingoni!


Aibuuu!!!


Eeeek? mbona hivyo mkubwa?
 
Eeeek? mbona hivyo mkubwa?
Sounds very cynical, I do agree. But unfortunately that is the truth. So sad. Most, if not all, of our embassies abroad are not capable of rendering help to Tanzanians when faced with catastrophies of this magnitude. Ndio sababu nimesema wabongo walioko Libya watakiona kilichomnyoa kanga manyoya ya shingoni. Just stating the grim facts, as they are. Otherwise, I do feel as helpless as the brothers and sisters trapped in the ongoing mayhem that is taking place in Libya!!!
 
Back
Top Bottom