Mpasuajipu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 836
- 49
Leo saa 6 mchana babu atakuwa viwanja vya Jangwani Dar es salaam akitoa kikombe kwa wenye shida wote. Babu ameamua hivyo kusherehekea siku ya leo na kurahisisha huduma kwa wananchi. Kikombe atakitoa hadi saa 12 jioni na kurudi tena Loliondo ambako ndio makazi yake yalipo.
Nyote mnakaribishwa katika sherehe ya siku ya leo ambayo inasherehekewa pote duniani.
Nyote mnakaribishwa katika sherehe ya siku ya leo ambayo inasherehekewa pote duniani.