Mpasuajipu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 836
- 49
Kwa mtoto yeyote wa kike wa Kisukuma ani - Pm nina neno la kuongea naye kwa faragha.
Nipm wewe, sitaki kukuanza.
husninyo kumbe ww mtoto ya kisukuma!!
Thread za hivi huwa zinaudhi kweli mtu anaanzisha halafu anaingia mitini sijui anataka kuchora na kuwaenjoy tu watu sielewi kabisa
Thread za hivi huwa zinaudhi kweli mtu anaanzisha halafu anaingia mitini sijui anataka kuchora na kuwaenjoy tu watu sielewi kabisa
Maelezo hayajitoshelezi,
Msukuma wa mwanza au shinyanga,
Bariadi, maswa, kahama au
Geita, misungwi, ilemela au? Kuwa wazi bana watu tujitokeze
Check hapa!
A Little Impatience can spoil great plan!!!!!!!!!!!!!!!
usikasirike umeme ulikatika sikuwa hewani. Nakukaribisha tena
Mie msukuma lakini sio mtoto ni mzee.
Shemeji hilo nalo neno!Maelezo hayajitoshelezi,
Msukuma wa mwanza au shinyanga,
Bariadi, maswa, kahama au
Geita, misungwi, ilemela au? Kuwa wazi bana watu tujitokeze
hilo neno ungelimwaga hapa hadharani ingekuwa vizuri ila huko faragha mmmh!!!!!ila subiri wanaweza kuja
Mhhhhh kwani wana nini
Unamtakia nini?Kama unamtafuta kwa uwazi to dukuduku lako kwa uwazi!