Kumekuwa na ongezeko la watu wanaotaka kujua ni jinsi gani ya kujiajiri wenyewe, namaanisha kama mtu mmoja au kama kikundi. Naomba tutumie andiko hili hapa kufundishana ni jinsi gani, mbinu zipi, njia zipi tunaweza kutumia katika kujitegemea wenyewe pasipo kutegemea mishahara na kazi za...
Nguli - Potelea mbali jirani yako akipata ajali ya moto au kuuguliwa na mwanae
unakuwa wa kwanza kumsaidia pasipo kujali mahusiano yenu. Kwanini?
First Lady1 - Kwanini si lazima kwako wewe kwenda kumsalimia waziri wkati huko
vijijini wanapanagana...
Umefanikiwa lipi kimapenzi, kimahusiano na kirafiki kwa mwaka 2009?
Changamoto gani umezipata katika mapenzi, mahusiano na urafiki 2009?
Nini tufanye kwenye nyanja hizi za mapenzi, mahusiano na urafiki 2010?
Ni mada kwa kila mtu aliyeoa/olewa na wale ambao hawajaoa/olewa.
Naamini...
Wanawake walioko JF kama wanachama kwa mtazamo wangu naona si wakujichanganya sana uku jukwaa la michezo. Sababu ni nini? Hope FL1, MJ1, Nyamayao, ZD, bht, carmel, Vera City, Irene V etc mtajibu hili kwa uhakika
Kasi ya vijana wadogo wa kiume, miaka 15 - 25 kutoga masikio imeogezeka sana sio mijini tu bali na vijijini sasa tabia hii imeshika kasi. Sababu ni nini? Nawaomba waache
Kuna tatizo la kujieleza wakati muomba kazi anapoenda kwenye usaili. Uzoefu unaonyesha kuwa wasailiwa wengi huwa wanachanganyikiwa na kushindwa kujibu maswali kwa ufasaha na kujikuta wanakosa kazi.
Thread hii lengo lake ni sisi wanaJF kuelezana mambo ya muhimu ya kufanya/kuzingatia wakati wa...
Stressful Jobs That Pay Badly
Monday, November 16, 2009
High stress and a meager paycheck are just another day at the office. Here are some of the most overworked and underpaid professions out there.
1. Social Worker
Median pay: $43,200
% who say their job is...
Kwanini Tanzania tusiwe serious katika kuhakikisha kuwa wavuta sigara hawafanyi hivyo katika public places? Kwa mujibu wa takwimu wa ongezeko la Kansa Tanzania zilizotolewa na Dr. Ngoma sababu kubwa ni uvutaji wa sigara ambako asiyevuta lakini hukutana na moshi wa sigara ndie mwathirika mkubwa...
Nimepita hii barabara jana nikiwa kwenye safari zangu za kwenda Kisarawe wakati mvua ilipokuwa inanyesha, ni aibu jamani, maji yalikuwa yamejaa/yametuama barabarani. Sasa nashindwa kuelewa itakuwaje hiyo Eli-Nino ikianza. Mkandarasi inabidi alione hilo
Kati ya wanaume na wanawake ni wapi wanaogopa Ukimwi sana kuliko mimba na ni wapi wanaogopa mimba sana kuliko Ukimwi? Hasa kwenye mahusiano ambayo bado hayajawa kwenye mfumo wa ndoa.
Hivi huwa tunapata waume na wake zetu ambao kweli ni sehemu ya mbavu zetu na nyama zetu? Nauliza hivi kutokana na mikasa iliyopo kwenye ndoa kama vile kudundana/kupigana; kuvunjika kwa ndoa; kutoka nje ya ndoa; kukosa uvumilivu; kukosa subira; kukosekana kwa heshima ndani ya ndoa n.k.
Nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.