Watanzania uuuwi! uuuwi! uuwi!

viongozi ni wabunifu mno na watanzania kazi yao kama ulivyosema Watanzania uuuwi! uuuwi! uuwi!
kwa kulalama tu hatari na kutupiana lawama, kijujuu tu unaweza amini tuna-laana unfortunately wapo tayari ambao really believe in this myth kaz kwel kwel.

Ni hadithi tu mpaka sheria na nguvu zisambazwe from one individual, to other parts of social insititutions then we might expect changes. The bottom line is itakuwa hadithi na vileo ulivyovileta watake wasitake ndio kiini cha tatizo lenyewe.


 
ndio maana naipenda hii signature
WHY TALK BIG WHEN YOU CAN WALK STRONG!
 
uuuuuuuuuuwi ...uuuuuuuuuuuuuuwi ushauri wako ni up bwana sipo
Firstlady1 ushauri unao wewe pia nikitoa mimi tunabaki na ile ile hali ya tumsubiri Mzee Mwanakijiji, Dr. Silaa, Zitto, Mwakyembe na wengineo wengi watupe mikakati ya nini tufanye. Ushauri ni tuache UFISI kula mizoga na mifupa na kutoka kuliondoa taifa hapa. Tuende kwa wananchi wengine tuwaambie kuwa tunataka madini, ardhi, maji, na rasilimali nyingne zitumike kwa manufaa ya nchi yetu. Aibu Tanzania kulia na shida ya umeme wakati maji yalikuwepo, mitambo ipo, pesa zimeliwa. Halafu kila siku tunakuja na mada i trust in somebody, why dont you trust yourself na kutoka uko kwenye shimo la utupu na kuisogeza hii nchi hapo nyingine ziliposogea. Hivi mnafikiri kwa ukondoo huu na ubundi huu tutatoka kweli wandugu. Hatutoki tutakaa na Richmond yetu n a wenzenu wakistaafu kwa vigezo vya umri na manufaa ya umma inatusaidia nini? Angrrrrriiiiii! Wuuhiii! Wuuuhiii! :confused:
 
time for change is now.
Magezi, ni kweli ni wakati wa mabadiliko tena sana kuliko wakati mwingine wowote. Mchungaji Mtikila alisema hivi hivi watu wakamuona insane, hafai, amechanganyikiwa, hana dili, maisha yamemshinda, sijui nini na nini. Sasa tutoke kwa nia moja kabisa tuende kwenye nchi uko tuongee na wananchi wenzetu tuwaambie kuwa tunataka nchi yetu isogee na iende mbele kama nchi nyingine zilizosonga mbele. Tuache kupigiwa taarabu na kunyanyua vidole juu na kucheza wakati kuna wenzako uko wanakuchungulia na kukutafunia kile kilicho chako wakati wewe unakenua. Mbona tuna majirani wetu wana sheria kali kabisa hakuna kiongozi kukaa na kufanya unyambizi wakati wananchi ndio wamemweka pale.
Nasema hivi tuanze na Wabunge wetu ndio wa kwanza wa kuipeleka hii nchi pale palipo na neema. Nenda kazungumze na ufanye jambo. Uuuwwwiiiiiiiiiii! Uuuuwiiiiiiiiiiiiii! Tanzania kwisheni! Bilioni inaitwa visenti halafu tunakaa kimyaaaaaaaaaaaaa! hapana huu ni unyanyasaji na uonevu! Hapanaaaaaaaaaaaaaaa! Kata hiiiiiiiiii
 
viongozi ni wabunifu mno na watanzania kazi yao kama ulivyosema Watanzania uuuwi! uuuwi! uuwi!
umeme wa IPTL zaidi ya bilioni ishirini kwa mwezi ndio ubunifu bwana mdogo sio? Uuuwiiiiiiiiiiiiiiii! Uuuuwiiiiiiiiiiiiiiii! Uwiiiiiiiiiiiiiiiiii! :(
 
MAJIRA
DAILY NEWS
CHANGAMOTO
JAMIIFORUMS
NIPASHE
KIU
SANI
THE GUARDIAN
WANAZUONI GROUP
BIDII GROUP
TAMWA
TGNP
WLAC
LHRC
BLOGS KIBAO
N.K,N.K,N.K
kila siku kila siku kila siku
kweli tunapashana habari Watanzania! kwa hilo Salute tunapigiwa
Ndio maana tuna wageni kutoka ngambo hapa wakila na kusaza uko kwenye ardhi, migodi, mitambo ya umeme, kwenye maofisi
Afadhali hata wangerudi hawa wazee wetu
Chifu Mkwawa
Mirambo
Kinjekitile Ngwale
Mangi Sina
Nyerere
Na wengineo wengi
Watanzania wa siku hizi tumekuwa MAFISI na MAMBWA KOKO, tunaficha mikia kwenye makalio tukiona wageni. Eti wataalamu, kiingereza lugha ya kitaalamu. Kilatini je, Kiyunani je, Kiebrania je, mbona tuko nyuma
Zamani ardhi ilichukuliwa kwa nguvu kutoka kwa mbabu zetu lakini leo tunaenda kuwaita na kuwagawia ardhi na migodi. Uuuuuuuuuuuuuuuwiiiiiiiii! Uuuuwiiiiiiiiiiiii! Uuuuuuuuuuwiiiiiiiiiiiiiii! Aggggrrriiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! :confused:
 
Jasusi, Kibunango, Madela wa Madilu, Ngalikihinja, Ngambo Ngali, agwajima, Invisible, MM, Fidel80, Masanilo, Nyamayao, Mwanajamii1, WOS, Chrispin, Geoff na wanajamii wote Uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuwwwwiiiiiiiiiiiiiiiiii! Uuuuuuuuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Uuuuuuuuuuuwwiiiiiiiiiiiiiiiiii! Mko wapi mmekaaaaaaaaaaaa kimya mimi nalia machozi ya uchungu haya siyo machozi ya kunogewa na mapenzi haya ni machozi kutoka ndani ya moyo wangu yakililia rasilimali na umasikini unaowakumba wananchi wakati MUNGU katupa na kutupa na kuturehemu na kuturehemu lakini leo tunalala giza! Hivi tulipewa rasilimali halafu tukanyimwa akili au ikoje hiii? Mimi sielewi lakini leo nalia kwa uchungu na machozi yangu ndani ya kijumba changu hiki yatakuwa juu yenu wote mliopewa dhamana ya kulinda rasilimali lakini leo tunakufa na njaa kila kona ya nchi>. Eti Tanzania inaomba chakula nje y nchi wakati ardhi yake yenye rutuba huko Bagamoyo, Kisarawe, Kilombero, Mbarali, na kwingineko inalimwa mibono kaburi<jatropha>. Leo nalia na nyie mnaosoma mada hii manapuuzia kilio changu cha kusaga meno kwa ajili ya Watanzania tuliokata tamaaaa! Uuuuuuuuuwiiiiiiiii! Uuwiiiiiiiiiiiiiii! UuuuuuuuuuuuWiiiiii! Wewe Companero, Rev. Kishoka, Nguli, Julius, Shishi, Pretty, Chamchana, FM, Firstlady, Belo, MTM, Yo Yo, Kyayakiche, Preacher, Sumji, Nono, Katabazi, Joe, Uwiiiiiiiiiiiiii! Uuuuuuwiiiiiiiiiiiii
Hamlii pamoja nami leo lakini kuna siku inakuja
 
Jasusi, Kibunango, Madela wa Madilu, Ngalikihinja, Ngambo Ngali, agwajima, Invisible, MM, Fidel80, Masanilo, Nyamayao, Mwanajamii1, WOS, Chrispin, Geoff na wanajamii wote Uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuwwwwiiiiiiiiiiiiiiiiii! Uuuuuuuuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Uuuuuuuuuuuwwiiiiiiiiiiiiiiiiii! Mko wapi mmekaaaaaaaaaaaa kimya mimi nalia machozi ya uchungu haya siyo machozi ya kunogewa na mapenzi haya ni machozi kutoka ndani ya moyo wangu yakililia rasilimali na umasikini unaowakumba wananchi wakati MUNGU katupa na kutupa na kuturehemu na kuturehemu lakini leo tunalala giza! Hivi tulipewa rasilimali halafu tukanyimwa akili au ikoje hiii? Mimi sielewi lakini leo nalia kwa uchungu na machozi yangu ndani ya kijumba changu hiki yatakuwa juu yenu wote mliopewa dhamana ya kulinda rasilimali lakini leo tunakufa na njaa kila kona ya nchi>. Eti Tanzania inaomba chakula nje y nchi wakati ardhi yake yenye rutuba huko Bagamoyo, Kisarawe, Kilombero, Mbarali, na kwingineko inalimwa mibono kaburi<jatropha>. Leo nalia na nyie mnaosoma mada hii manapuuzia kilio changu cha kusaga meno kwa ajili ya Watanzania tuliokata tamaaaa! Uuuuuuuuuwiiiiiiiii! Uuwiiiiiiiiiiiiiii! UuuuuuuuuuuuWiiiiii! Wewe Companero, Rev. Kishoka, Nguli, Julius, Shishi, Pretty, Chamchana, FM, Firstlady, Belo, MTM, Yo Yo, Kyayakiche, Preacher, Sumji, Nono, Katabazi, Joe, Uwiiiiiiiiiiiiii! Uuuuuuwiiiiiiiiiiiii
Hamlii pamoja nami leo lakini kuna siku inakuja
Nipe muda ndugu yangu, nitakuja. Ngoja kwanza nisukume mabox.
 
Jasusi, Kibunango, Madela wa Madilu, Ngalikihinja, Ngambo Ngali, agwajima, Invisible, MM, Fidel80, Masanilo, Nyamayao, Mwanajamii1, WOS, Chrispin, Geoff na wanajamii wote Uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuwwwwiiiiiiiiiiiiiiiiii! Uuuuuuuuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Uuuuuuuuuuuwwiiiiiiiiiiiiiiiiii! Mko wapi mmekaaaaaaaaaaaa kimya mimi nalia machozi ya uchungu haya siyo machozi ya kunogewa na mapenzi haya ni machozi kutoka ndani ya moyo wangu yakililia rasilimali na umasikini unaowakumba wananchi wakati MUNGU katupa na kutupa na kuturehemu na kuturehemu lakini leo tunalala giza! Hivi tulipewa rasilimali halafu tukanyimwa akili au ikoje hiii? Mimi sielewi lakini leo nalia kwa uchungu na machozi yangu ndani ya kijumba changu hiki yatakuwa juu yenu wote mliopewa dhamana ya kulinda rasilimali lakini leo tunakufa na njaa kila kona ya nchi>. Eti Tanzania inaomba chakula nje y nchi wakati ardhi yake yenye rutuba huko Bagamoyo, Kisarawe, Kilombero, Mbarali, na kwingineko inalimwa mibono kaburi<jatropha>. Leo nalia na nyie mnaosoma mada hii manapuuzia kilio changu cha kusaga meno kwa ajili ya Watanzania tuliokata tamaaaa! Uuuuuuuuuwiiiiiiiii! Uuwiiiiiiiiiiiiiii! UuuuuuuuuuuuWiiiiii! Wewe Companero, Rev. Kishoka, Nguli, Julius, Shishi, Pretty, Chamchana, FM, Firstlady, Belo, MTM, Yo Yo, Kyayakiche, Preacher, Sumji, Nono, Katabazi, Joe, Uwiiiiiiiiiiiiii! Uuuuuuwiiiiiiiiiiiii
Hamlii pamoja nami leo lakini kuna siku inakuja

Change is inevitable wahenga walisema no situation is permanent, kilio chako kimesikika, nyamaza, futa machozi na kujiuliza ni wapi tumekosea halafu plan for the future, basi
 
Change is inevitable wahenga walisema no situation is permanent, kilio chako kimesikika, nyamaza, futa machozi na kujiuliza ni wapi tumekosea halafu plan for the future, basi
Umenena Vyema kuwa change is inevitable hata Bibi yangu hapa kutoka kondeni amekuja amenikuta nikilia na kuomboleza akajua nimefiwa ndio namweleza kisa cha mimi mjukuu wake kulia. Kaniunga mkono kasema wao wenyewe hawakukunyaga shule lakini barabara iliyojengwa na mbumbumbu Babu yangu ndio mpaka leo inatumika hapa kijijni. Anasema ndio maana hata yeye siku hizi hapigi kura tena kwasababu haoni jipya tena. Bibi ameniongezea machungy Ngambo Ngali hasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa. Nichane kitambulisho changu kama toka Babu yangu ajenge barabara hakuna mpaya iliyojengwa na hii ndio imeharibika hadi mwisho. Machozi yangu hayatokauka kama hatutotoka kwenye viti na kwenda kupambana na kutafuta suluhisho la kudumu. Uuuuuuwiiiiiiiii! Uuuuuuuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
 
Uuuwiiiiiiiiiiiiii! Zurich na Likele3 tabasamu lenu litakuwa kilio cha watoto na wajukuu zetu toka hapo twende tukalete ufanisi kwenye nchi yetu. Uuuuuuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Kwani wewe ulimchagua presidaa,sidhani kwani ungemchagua angekusikiliza lakini presidaa wetu anawasikiliza wafanyabiashara ndio maana hata mgao ulipoanza na sisi akina yakhe kuanza kupiga kelele hakutusiliza,Zitto kaongea akaonekana mchimvi lakini wafanyabiashara walipomwambia wakiwa wako kwenye viyoyozi akaamua hapo hapo IPTL ifungue mitambo,sasa nani anasikilizwa,besa bana sabuni ya roho
 
Mimi naiombea nchi yangu kila siku, I hope One day God will have mercy on us. Wapo walioandaliwa kuyatoa maisha yao kwa ajili ya wengi kama akina hayati Sokoine, na wengine, lakini wengine tutaendelea kumuomba Mungu, iko siku pande zote zitasimama, watoto kwa wakubwa,masikini, wajane, wafungwa, walemavu, wagonjwa,wanafunzi wa shule za msingi hadi vyuoni, kila kona, watasema sasa hapana, tumechoka. hapo ndipo tutakapoona ukombozi wa nchi yetu Tanzan, nchi iliyojaliwa maziwa na asali.
 
Umenena Vyema kuwa change is inevitable hata Bibi yangu hapa kutoka kondeni amekuja amenikuta nikilia na kuomboleza akajua nimefiwa ndio namweleza kisa cha mimi mjukuu wake kulia. Kaniunga mkono kasema wao wenyewe hawakukunyaga shule lakini barabara iliyojengwa na mbumbumbu Babu yangu ndio mpaka leo inatumika hapa kijijni. Anasema ndio maana hata yeye siku hizi hapigi kura tena kwasababu haoni jipya tena. Bibi ameniongezea machungy Ngambo Ngali hasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa. Nichane kitambulisho changu kama toka Babu yangu ajenge barabara hakuna mpaya iliyojengwa na hii ndio imeharibika hadi mwisho. Machozi yangu hayatokauka kama hatutotoka kwenye viti na kwenda kupambana na kutafuta suluhisho la kudumu. Uuuuuuwiiiiiiiii! Uuuuuuuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!

Sipo, as the name suggests, by then hukuwepo lakini sasa hivi lazima uwepo ili uwe part of the change we believe in and to do so you have to vote mpe pole sana bibi mwambie mabadiliko atakayoyaona yatamfanya asimulie vizazi vijavyo kuwa waliokuwepo hawakufanya tulivyowatuma na walivyotuambia kuwa watafanya. Mwambie mabadiliko yatakuja kwa yeye na wazee wenzie wenye hasira kujiamndikisha kwenye daftari la wapiga kura, wasichukue T shirt, wasile pilau na awsichukue Takrima yoyote na siku ya mkesha wa uchaguzi mwaka kesho waamke mapema wapange foleni ili wapige kura kuleta mabadiliko.Na kwako wewe usichane kitambulisho chako, badala yake tafuta watu wengine mia waambie waende wakajiandikishe kwenye daftari la kura ili wawe sehemu ya mabadiliko.Waambie na wao wawaambie watu mia wengine ambao watawaambia watu mia wengine. As for me Sipo, mapambano yako kwenye ballot, kwani umesahau wahenga walisema a ballot is better than a bullet, i vote every time for a change but it has never happened. For a change we have to vote for a change, alllllllllllllllllllllll of us who beleieve in it.
 
Back
Top Bottom