Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

  • Sticky
Introduction Nimeamua kuanzisha uzi huu mahsusi unaohusu Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kama njia ya kukienzi chuo hiki kikongwe na cha kipekee nchini Tanzania na duniani kwa ujumla...
14 Reactions
223 Replies
23K Views
  • Sticky
Wewe ni Mwalimu (Msingi, Sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi? Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe. Ni muhimu kuzingatia kuwa, ukiweka baruapepe...
108 Reactions
28K Replies
3M Views
  • Sticky
Wakuu katika kupitia nyuzi mbalimbali humu nimegundua hili jukwaa lina wanafunzi wengi sana, hasa kidato cha 5 au chini ya hapo, pia wanavyuo. Hivyo basi ni vyema walimu na watu wenye uzoefu...
48 Reactions
2K Replies
307K Views
  • Sticky
Wakuu habari ya muda, Nimefungua uzi huu ili tuweze kupeana dondoo za jinsi ya kutafuta na hatimaye kupata ufadhili wa masomo nje ya Tanzania. Tuweke matangazo ya nafasi za masomo kokote nje ya...
35 Reactions
599 Replies
224K Views
  • Sticky
Vitabu vinauwezo wa kubadili kabisa maisha ya mtu yeyote yule. Baada ya vita vya pili ya dunia wajapan walikuja na nadharia iitwayo KAIZEN (Continuous improve), yaani angalau kila siku uongeze...
59 Reactions
1K Replies
315K Views
  • Sticky
Kama ni mwanafunzi, au unatarajia kusoma Geology ila hujui uanzie wapi. Uliza chochote nitakusaidia. Asanteni sana
8 Reactions
549 Replies
107K Views
  • Sticky
Kwa wale waliomaliza kidato cha nne na unapenda kutimiza ndoto za kielimu na chuo cha USTAWI WA JAMII-DSM nafasi za maombi ziko wazi kwa wale wa ngazi za cheti.SIFA STAHIKI :Passed nne(D) na...
2 Reactions
247 Replies
181K Views
  • Sticky
Ndugu wanajamii Forums nimeamua kuanzisha uzi huu Mahususi kwa University of Dar es salaam yaani kiufupi kila kitu kinachohusu university of Dar es salaam. Nimeamua kuanzisha mimi kama Alumnus wa...
25 Reactions
830 Replies
149K Views
  • Sticky
The Dar es Salaam Institute of Technology (DIT) is the government Institution established in 1997 by Act of parliament."the DIT Act No 6 of 1997" to replace the Dar es Salaam Technical College...
10 Reactions
376 Replies
141K Views
  • Sticky
HISTORY OF ARDHI UNIVERSITY The Ardhi University (ARU) was established after transforming the former University College of Lands and Architectural Studies (UCLAS) which was then a constituent...
8 Reactions
428 Replies
156K Views
Bado naamini Elimu iko kwenye shule za International School tu, kule kuna world clasll education, English medium ni utapeli mkubwa sana. International School watoto hawasomi tu just kusoma kama...
28 Reactions
100 Replies
7K Views
Habari, Nina mdogo wangu amesoma advance kombi ya PCB na matokeo yapo hivi; Physics-C, Chemistry -B na Bios-B. Je, aende Pharmacy au Radiology na kwa matokeo hayo si anaweza pata Muhimbili?
2 Reactions
14 Replies
618 Views
Kozi ya bachelor of arts in economics and statistics inahusiana na nini pia inatoa fursa gan?
1 Reactions
20 Replies
236 Views
A
Mimi ni mzazi na mhathirika wa haya yanayotokea, Shule ya Sekondari Longido iliyopo Wilaya ya Longido, Mkoa wa Arusha, shule ina Wanafunzi wengi sana kupita kiwango. Jumla ya Wanafunzi ni zaidi...
1 Reactions
4 Replies
122 Views
Kozi ya bachelor of science in mathematics and statistics inahusiana na nini pia inatoa fursa gani ukisoma?
0 Reactions
10 Replies
189 Views
Wasalaam! Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye elimu ya degree mbili, bachelor of education na masters of public administration. Ila maisha yangu yote nimefanya kazi kwenye sekta ya elimu...
4 Reactions
33 Replies
383 Views
Wakuu habari za muda. Mwanangu amekaribia kufika umri wa kwenda shule. nilikua naomba kuuliza. Sylabus ipi ni nzuri kwa ulimwengu huu wa sasa? Ninaombeni Muongozo. Asanteni.
1 Reactions
25 Replies
7K Views
A
Mimi ni mwanafunzi wa UDOM college of informatics and virtual education(CIVE). Hali ya miundombinu ya college hii ni mibovu sana na hatarishi kwa afya hususani vyoo. College ya CIVE ina jumla ya...
2 Reactions
5 Replies
138 Views
🎄💪Apply for these open scholarships. 1. York University International Scholarship Link: York University International Scholarship In Canada 2024 (Funded) - Opportunity Portal 2. McGill University...
9 Reactions
263 Replies
10K Views
Ndugu wasomi wa Tanganyika moja kwa moja kwa muda. Mimi nina degree ya elimu kifupi ni mwalimu, nataka kusoma icho kitu hapo juu. ....Vipi wenye mamlaka wanaweza kunibadilisha kutoka kwenye...
0 Reactions
2 Replies
58 Views
WanajamiiForums naomba kuuliza Nahitaji msaada pia Nina degree ya Biotechnology and Lab Science, nimesomea SUA nimegraduate tokea 2021 Nipo mtaan kazi sijapata lakini ndoto yangu ni kuwa...
3 Reactions
9 Replies
846 Views
wakuu habari za muda huu,natumai mnaendeleo vizuri na poleni na majukumu ya siku nzima. Naombeni msaada mimi nimemaliza diploma ya clinical medicine(2023)so nimepata changamoto...
2 Reactions
8 Replies
208 Views
Nimepata conditional admission vyuo mbalimbali. Courses ni masters ya leadership na education leadership. Uingereza nimepata vyuo vinne. Sweden chuo 1 Finland 1 Poland 1 Tatizo ni uwezo wa...
3 Reactions
33 Replies
926 Views
Wazazi, hivi huwa mnaketi na watoto wenu na kuzungumza nao juu ya maisha Yao shuleni? J uzi kwenye MITANDAO ya KIJAMII imesambaa video ikimuonesha Binti aliejulikana kwa Jina la "Mariamu"...
0 Reactions
0 Replies
51 Views
Habari. Kwa Wale wenye mpango wa kusoma afya. Naomba nitaje course zisemi zinaajira Ila kwa mwenye upeo wa mbali hizi course zina fursa Sana hasa upande wa afya. Course hizo ni. 1. BIOMEDICAL...
5 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari za muda huu wana jf. Natumai mpo salama na wenye changamoto za kiafya naamin Mungu atawaponya. Kwanza kabisa natanguliza salamu zangu za pole kwa watanzania wote na familia ya Joshua...
4 Reactions
17 Replies
830 Views
Habari wakuu! Kwa wanotaka kuanza kusoma na waliosoma CPA karibuni mtushauri lolote, kwanza kabisa nahitaji kufahamu, 1) Intake ni mara ngapi kwa mwaka, yaani unaweza anza mwezi gani? Now...
26 Reactions
564 Replies
59K Views
Wakuu, imekuwa ni adimu sana kuona Wabongo tukishikana mikono ili kuvuka hatua moja kwenda nyingine yenye mafanikio. Tumezoea kupambana wenyewe na wengi wetu huwa hatupo wazi inapokuja suala la...
26 Reactions
117 Replies
15K Views
Wadau naomba mwenye PDF ya hiki kitabu anisaidie
1 Reactions
92 Replies
22K Views
Hivi Tanga technical school advance wanachukua kuanzia ufaulu upi?
0 Reactions
3 Replies
176 Views
Back
Top Bottom