Kutoga masikio-Vijana wa kiume

Sipo

JF-Expert Member
Jul 25, 2008
2,139
91
Kasi ya vijana wadogo wa kiume, miaka 15 - 25 kutoga masikio imeogezeka sana sio mijini tu bali na vijijini sasa tabia hii imeshika kasi. Sababu ni nini? Nawaomba waache
 
Kasi ya vijana wadogo wa kiume, miaka 15 - 25 kutoga masikio imeogezeka sana sio mijini tu bali na vijijini sasa tabia hii imeshika kasi. Sababu ni nini? Nawaomba waache

Hahaha! Mpwa bana. Wanaanzaga na masikio, then wanasuka nywele, kisha suruali inashushwa mpaka makalioni. Baada ya hapo wananunua line ya TiGo!
 
Hahaha! Mpwa bana. Wanaanzaga na masikio, then wanasuka nywele, kisha suruali inashushwa mpaka makalioni. Baada ya hapo wananunua line ya TiGo!
Wee Mpwa wacha tu. Juzi nilipoenda kijijini nilishangaa madogo waliomaliza darasa la saba mwaka huu wametoga masikio, iliniudhi sana, nilipowauliza sababu wakabaki kuguna guna. Washenzi sana hawa watoto
 
Wee Mpwa wacha tu. Juzi nilipoenda kijijini nilishangaa madogo waliomaliza darasa la saba mwaka huu wametoga masikio, iliniudhi sana, nilipowauliza sababu wakabaki kuguna guna. Washenzi sana hawa watoto

tandika mikwaju wote kabla hawajaanza kutoa hizo products za tiGo zinazochefua....sijue jirushe sijui nini
 
Wee Mpwa wacha tu. Juzi nilipoenda kijijini nilishangaa madogo waliomaliza darasa la saba mwaka huu wametoga masikio, iliniudhi sana, nilipowauliza sababu wakabaki kuguna guna. Washenzi sana hawa watoto


sikio, tatoo, kusuka bado wakuvalie suruali kama wanavua vile, ma boxer yao yapo nje nje....tabia mbaya sana.
 
sikio, tatoo, kusuka bado wakuvalie suruali kama wanavua vile, ma boxer yao yapo nje nje....tabia mbaya sana.
hawaangalii hata wako wapi. Cha ajabu siku hizi hata kwenye nyumba za ibada wanakuja hivi. Tabu kweli, hii nchi kwisheni kabisa, kila laana tumeibeba
 
sikio, tatoo, kusuka bado wakuvalie suruali kama wanavua vile, ma boxer yao yapo nje nje....tabia mbaya sana.
Ukithubutu kumuambi matendo yako si mazuri umetangaza vita, sijui kwanini hawaoni madhara yake hapo baadae, shame on you boys who do that.
 
Ukithubutu kumuambi matendo yako si mazuri umetangaza vita, sijui kwanini hawaoni madhara yake hapo baadae, shame on you boys who do that.
Thubutu kumwambia uone cha moto, si unajua siku hizi kuna uhuru wa kuzungumza LF
Na wengine siku hiz wameanza kuvaa skin tight. LOL! Vijana wana tabu hawa jamani
 
Serikali itoe tamko kwamba hakuna kuweka tattoo ,kutoga masikio, kuvaa Kata-K, Vimini. Enzi zile wakati wa Mzee wa Vita Mfaume Kawawa ilikuwa ukikutwa na nguo ya kubana tu kwa wakina dada ni kuchaniwa hadharani. Inawezekana ikaonekana kama Udikteta lakini inalinda maadili ya mtu. Kuna nchi ukienda tena zilizoendelea masuala kama hayo ni mwiko. Nenda Saudia halafu uvae namna hiyo kama hujachapwa bakora hamsa siku ya Ijumaa mbele za watu.
 
Serikali itoe tamko kwamba hakuna kuweka tattoo ,kutoga masikio, kuvaa Kata-K, Vimini. Enzi zile wakati wa Mzee wa Vita Mfaume Kawawa ilikuwa ukikutwa na nguo ya kubana tu kwa wakina dada ni kuchaniwa hadharani. Inawezekana ikaonekana kama Udikteta lakini inalinda maadili ya mtu. Kuna nchi ukienda tena zilizoendelea masuala kama hayo ni mwiko. Nenda Saudia halafu uvae namna hiyo kama hujachapwa bakora hamsa siku ya Ijumaa mbele za watu.
Yah! Tunahitaji kitu kama hiki
Wakichelewa tutajitungia wenyewe, ni kichapo tu
Au nakosea wadau? Si inakera na kuchefua?
 
Hapa kuna ignorance na hypocrisy ya kutisha.

1.Mimi si mshabiki wa kutoboa masikio, sijawahi kutoboa masikio ingawa society niliyopo inaruhusu mpaka leading TV achors kutoboa masikio.Nilishaamua tangu zamani sitavuta sigara wala kutoboa sikio wala kusuka nywele, kwa sababu ki old school tulivyokuzwa mambo hayo yalikuwa ni ya watu fulani waliozibuka na mimi sikujiona hivyo.

2.Having said that, ulimwengu unabadilika na uhuru wa kujieleza unaongezeka.Kama hatuna sababu nzuri zaidi ya tradition tu kuwashoot down hawa vijana kelele hizi zitakuwa ni bias tu.Kwa mfano, kati ya kijana asiyeheshimu watu ambaye hajatoboa masikio na kusuka nywele na yule anayeheshimu watu lakini katoboa masikio, nani ana tatizo? Tuangalie core issues badaa ya kuangalia hizi superficial cosmetics. As much as I would personally like to see kids not wearing earrings, that is a personal preference. If I go to a bank, I would rather be served by a tattooed, earring wearing breaded guy who is professional in conduct than a suited cleancut guy who is not attentive. Ni bora kijana anayefanya vizuri shuleni huku ana vihereni kuliko anayechemsha huku anafuata traditions.

Halafu hata kama hawa vijana wa vijijini wanachemsha, they are moreof victims of trying to be hip than people to be condemned.When you look at the information gap, as one of the contributors alluded to their lack of understanding of what is the sense of them doing that, you may end up pitying them than condemning them.

Let's not blame the victims.Most of these kids lack proper education and self awareness.When you condemn them you are sinking lower than them.
It's like beating a baby with no unerstanding for not understanding, inhumanly unfair.
 
Tatizo ni malezi
hata wangelelewa kwenye kapu, vijana wanapenda kuiga sana
mzazi atajitahidi kulea lakini wakitoka na macho yao yaliyo uchi wanabamba kila kitu pasipo kuchagua. Stupid sana nyie watoto
 
Hapa kuna ignorance na hypocrisy ya kutisha.
kumbe kuna suppoters wao. Sikujua hata kidogo
halafu Bluray wakati wa kuchangia mada epuka kutukana wachangiaji wenzako. I hate this and may be i hate ......... too
 
Hahaha! Mpwa bana. Wanaanzaga na masikio, then wanasuka nywele, kisha suruali inashushwa mpaka makalioni. Baada ya hapo wananunua line ya TiGo!
Duuh yaani kama umeisoma akili yangu. Mwanaume kisa mkasa kufanya mambo kinyume na utaratibu? Kweli unaweza kuanza suka kama masihala baadae ukajikuta umeshiriki mbio za wanawake kumbe ni mwanaume
 
Samahanini mimi nilidanganywa na kaka zangu nikatoboa je nifanyeje?
 
Back
Top Bottom