Wanaogopa vibarua vitaota nyasi wanasifia kwa kinafiki wewe jiulize huyu bidada amewahi kutabasamu kila anapopiga picha??!!Na ndio maana nashangaa mtu akija na hoja eti Mondi anawanyonya hawa wasanii
Wanaogopa vibarua vitaota nyasi wanasifia kwa kinafiki wewe jiulize huyu bidada amewahi kutabasamu kila anapopiga picha??!!Na ndio maana nashangaa mtu akija na hoja eti Mondi anawanyonya hawa wasanii
Hamjui baba yake huyo. Ni mtoto wa chomoleaHakuna kitu kibaya kama kufilisika kifikra, ivi kama Daimondi n bora Zaid ya baba yake basi ni nani angemzaaa, Zuchu amekufuru aende kutubu kabla cku ya kiama haina fika
Kuna wakat binadamu tunakuwa na upungufu wa akili,ata kama baba yako hakujali kwa chchte au hata amekulekeza lkn uwezi kumpa mwanaume mwngne sifa ya kuwa baba bora wakat sio yeye aliyekufa uwe kiumbe,that is non sense kabsaHadija kopa alishasema baba ake hakuwai kuwa na time na mwanae...kwaivo zuchu atakuwa ako sawa ila suala la umasikini ndo la kufikiria!
🤣🤣🤣Nmecheka mpk nmemwaga mbege yanguHamjui baba yake huyo. Ni mtoto wa chomolea
Na vipi investment anayotumia Diamond kuwekeza kwao ikiwemo kulipia videos, kuwabrand, kuwapangishia department za kuishi kupoteza muda mwingi kuwapigia promo bila kutoa kazi zake kwa wakati huoWanaogopa vibarua vitaota nyasi wanasifia kwa kinafiki wewe jiulize huyu bidada amewahi kutabasamu kila anapopiga picha??!!
Toka lini katabasamu Kama Mariah carey?Wanaogopa vibarua vitaota nyasi wanasifia kwa kinafiki wewe jiulize huyu bidada amewahi kutabasamu kila anapopiga picha??!!
Absolutely.Hii definition ya Masikini itabidi nirejee Kamusi yangu...., Huyu Zuchu kama alikuwa Masikini basi tunahitaji another level ya Umasikini....
I once cried cause I had no Shoes..., Until I saw someone with no Feet...
Soma tena ulichoandika alafu think deep...Anyways nisiwe judgmental ila kwa namna ulivyoandika wewe sio mtu wa music na haujui game lilivyo... Watu wa lebo ni wanyonyaji sana...Yan mambo ya lebo hata the late MJ alishapigwa sana alivyokuwa Jackson 5, tena wao ndio wana the worst record label deal in Music history.... Kapigwa Wayne na Birdman itakuwa harmonize ?...Na ndio maana nashangaa mtu akija na hoja eti Mondi anawanyonya hawa wasanii
Hata lugha yake tu inaonesha diamond atakuwa ameshatembea nako...''dai amenipata nikiwa bado masikini"Wakati mwingine ata ukiwa mjuzi wa fani nyingine elimu nayo ni muhimu. alishindwa vipi andika diamond ni moja wa mashujaa wa maisha yangu...
Mwisho wa siku kamkataa baba yake na kampa dayamondi cheo cha baba yake
Umesahau kuwa Tanzania ni nchi ya kimasikini?Kama mtoto wa Khadija Koppa ni masikini basi asilimia 98 ya Watanzania ni masikini.
Tupo nafasi ya 26, kwaiyo sidhani kama ni masikini kihivyo!Umesahau kuwa Tanzania ni nchi ya kimasikini?
Nafasi ya 26 kwa umasikini au kwa utajiri?Tupo nafasi ya 26, kwaiyo sidhani kama ni masikini kihivyo!
Nimefurahi umeniquote Faiza,..heshima yako.
Poorest countries in the world!!Nafasi ya 26 kwa umasikini au kwa utajiri?
Kauli ya Zuchu iwekwe kwenye plaque ya dhahabu kwa sababu ameongea ambacho wengi hatukuioni.Msanii Zuchu ni miongoni mwa wasanii ambao wamesajili katika lebo ya WCB inayomilikiwa na staa wa bongo Diamond Platnumz.
Baada ya kujiunga na lebo hiyo Zuchu ameonekana akiinuka kutoka kiwango kimoja hadi kingine kutokana na biii yake.
Ni msanii ambaye ana uhusiano mwema na wa karibu na Diamond, kama inavyoonekana mitandaoni.
Licha ya kejeli zote ambazo Zuchu amepokea kutoka kwa wanamitandao, amezidi kutia bidii kila kuchao.
Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram msanii huyo alipakia video huku akionyesha nyumba yake na kusema kwamba alikuwa ameithamini.
Pia aliweka wazi kwamba yuko tayari kusherehekea sikukuu ya krismasi, na hata kumshukuru Diamond kwa umbali amemtoa.
" Mimi Dai akinipata sikuwa na chochote . Alinikuta maskini akanitunza kama Mtoto wake. Alinipa mkataba katika Lebo yake, akanipa nyumba , akanipa gari na kunitafutia umaarufu unaonilisha Leo hii. Dai ni zaidi ya babangu Allah azidi kumueka poa Kwa ajili ya wengine wengi," Alisema Zuchu.
department tena? chee🤣Na vipi investment anayotumia Diamond kuwekeza kwao ikiwemo kulipia videos, kuwabrand, kuwapangishia department za kuishi kupoteza muda mwingi kuwapigia promo bila kutoa kazi zake kwa wakati huo