Zomea zomea ya Mramba huko Rombo

Geza Ulole

JF-Expert Member
Oct 31, 2009
59,146
79,302
Jamani ati naskia huko jimboni kwake Mramba anazomewa kwa madai hakushinda kihalali mwenye data atueleze hapa na kama kuna uwezekano tupatiwe video ya hamaki ya wanavijiji huko
 
Jamani ati naskia huko jimboni kwake Mramba anazomewa kwa madai hakushinda kihalali mwenye data atueleze hapa na kama kuna uwezekano tupatiwe video ya hamaki ya wanavijiji huko

Mramba gani?

Yule jamaa panga "lisiloisha makali"
 
Tutasikia mengi mwaka huu.Lakini cha ajabu utakuta baada ya 31 ya october ni yeye ndiye atakaechukua ushindi, kunani?
 
..tatizo ni kwamba ame-deliver!!

..kati ya shule 10 bora mkoani Kilimanjaro 5 zinatoka jimbo la Rombo.

..Mramba ufisadi wake anafanya kwenye manunuzi ya ndege ya raisi, na alex stuwart. hafanyi ufisadi kwenye miradi inayohusisha jimbo lake la uchaguzi.

..mtofautishe na Kikwete na Dr.Kawambwa wanaofanya ufisadi kwenye miradi ya ujenzi wa barabara bagamoyo.
 
Mramba gani?

Yule jamaa panga "lisiloisha makali"

wapendwa mwaka huu Mramba haoni ndani.Mzee Ndesamburo anaichachafya Rombo kama mvua akimnadi Joseph Selasini wa CHADEMA.Sidhani kama atavuka mwaka huu.Nimetoka huko siku 4 zilizopita kila kona hawamtaki kwa tathmini yangu ya harakaharaka CHADEMA itapata si chini ya asilimia 70%
 
..tatizo ni kwamba ame-deliver!!

..kati ya shule 10 bora mkoani Kilimanjaro 5 zinatoka jimbo la Rombo.

..Mramba ufisadi wake anafanya kwenye manunuzi ya ndege ya raisi, na alex stuwart. hafanyi ufisadi kwenye miradi inayohusisha jimbo lake la uchaguzi.

..mtofautishe na Kikwete na Dr.Kawambwa wanaofanya ufisadi kwenye miradi ya ujenzi wa barabara bagamoyo.
...na ukarabati usioisha wa Ikulu.
 
Wapigakura safari hii hatudanganyiki hata kidogo.

Mikakati yao ya kuchakachua matokeo tutaithibiti bila ya utani...................
 
wapendwa mwaka huu Mramba haoni ndani.Mzee Ndesamburo anaichachafya Rombo kama mvua akimnadi Joseph Selasini wa CHADEMA.Sidhani kama atavuka mwaka huu.Nimetoka huko siku 4 zilizopita kila kona hawamtaki kwa tathmini yangu ya harakaharaka CHADEMA itapata si chini ya asilimia 70%
waambie hao jamaa, naona wanawakosea heshima Rombo
 
wapendwa mwaka huu Mramba haoni ndani.Mzee Ndesamburo anaichachafya Rombo kama mvua akimnadi Joseph Selasini wa CHADEMA.Sidhani kama atavuka mwaka huu.Nimetoka huko siku 4 zilizopita kila kona hawamtaki kwa tathmini yangu ya harakaharaka CHADEMA itapata si chini ya asilimia 70%

habari nzuri
 
..tatizo ni kwamba ame-deliver!!

..kati ya shule 10 bora mkoani Kilimanjaro 5 zinatoka jimbo la Rombo.

..Mramba ufisadi wake anafanya kwenye manunuzi ya ndege ya raisi, na alex stuwart. hafanyi ufisadi kwenye miradi inayohusisha jimbo lake la uchaguzi.
..mtofautishe na Kikwete na Dr.Kawambwa wanaofanya ufisadi kwenye miradi ya ujenzi wa barabara bagamoyo.
hii inaweza kuwa statement/quote of the week wengi wa viongozi wanachakachua vitu ambavyo vitawaendeleza watu wao au majimbo yao, but not to Mramba/Cleopa/EL?
 
..tatizo ni kwamba ame-deliver!!

..kati ya shule 10 bora mkoani Kilimanjaro 5 zinatoka jimbo la Rombo.

..Mramba ufisadi wake anafanya kwenye manunuzi ya ndege ya raisi, na alex stuwart. hafanyi ufisadi kwenye miradi inayohusisha jimbo lake la uchaguzi.

..mtofautishe na Kikwete na Dr.Kawambwa wanaofanya ufisadi kwenye miradi ya ujenzi wa barabara bagamoyo.
kufanya vizuri kwa shule 5 sio jitihada za mmbunge bali ni za walimu, wanafunzi na wazazi.
kaka nimetoka rombo leo hii
mramba yuko kwenye wakati mgumu sana

mramba aliingia madarakani wakati rombo ilikuwa na njaa, na sasa hivi rombo ina njaa again kwa hiyo ni dhairi kuwa warombo watabadilisha mmbunge.
sasa hivi rombo kuna shida ya maji kiama, jamaa hajafanya chochote kuzuia hii shida ya maji isitokeee
pamoja na barabara ikiwa inaendelea kujegwa popularity yake imeporomoka vibaya sana

eneo ambalo mramba anatokea ni mkuu, na hili ndilo eneo lenye wapiga kura wengi. kwenye hili eneo mramba anapendwa kwenye tarafa ya shimbi ambayo ndio kwao kwingine kote hapendwi kutokana na shida ya maji iliyokithiri na njaa.

kwa upande mwingine joseph selasini anapendwa sana eneo lote la mkuu

kitu kitachomrudisha mramba madarakani ni returning officer
 
kufanya vizuri kwa shule 5 sio jitihada za mmbunge bali ni za walimu, wanafunzi na wazazi.
kaka nimetoka rombo leo hii
mramba yuko kwenye wakati mgumu sana

mramba aliingia madarakani wakati rombo ilikuwa na njaa, na sasa hivi rombo ina njaa again kwa hiyo ni dhairi kuwa warombo watabadilisha mmbunge.
sasa hivi rombo kuna shida ya maji kiama, jamaa hajafanya chochote kuzuia hii shida ya maji isitokeee
pamoja na barabara ikiwa inaendelea kujegwa popularity yake imeporomoka vibaya sana

eneo ambalo mramba anatokea ni mkuu, na hili ndilo eneo lenye wapiga kura wengi. kwenye hili eneo mramba anapendwa kwenye tarafa ya shimbi ambayo ndio kwao kwingine kote hapendwi kutokana na shida ya maji iliyokithiri na njaa.

kwa upande mwingine joseph selasini anapendwa sana eneo lote la mkuu

kitu kitachomrudisha mramba madarakani ni returning officer

umesomeka mkuu, huwa nayachukulia kwa upana mzito sana maneno yako
 
Semilong,

..binafsi sitaki Mramba ashinde, na nilikereka sana pale JK alipokwenda Rombo na kumpigia kampeni.

..ukikataa kumpa credit kwa ubora wa sekondari za Rombo, unakosa uhalali wa kumlaumu kwa tatizo la maji lililoko sasa hivi.

..wa-Rombo wakimtoa Mramba nitawatambua kama watu walioweka standards za juu sana ktk jinsi wanavyochagua wabunge.

..kuna maeneo ambayo wabunge hawajafanya hata robo ya aliyofanya Mramba, lakini wanaabudiwa kama miungu watu.
 
Semilong,

..binafsi sitaki Mramba ashinde, na nilikereka sana pale JK alipokwenda Rombo na kumpigia kampeni.

..ukikataa kumpa credit kwa ubora wa sekondari za Rombo, unakosa uhalali wa kumlaumu kwa tatizo la maji lililoko sasa hivi.

..wa-Rombo wakimtoa Mramba nitawatambua kama watu walioweka standards za juu sana ktk jinsi wanavyochagua wabunge.

..kuna maeneo ambayo wabunge hawajafanya hata robo ya aliyofanya Mramba, lakini wanaabudiwa kama miungu watu.

Asante Mkuu kwa kuliona hili. Ni kweli Mramba amefanya makubwa Rombo na Laiti Selelii asingemkalia kooni ungekuta barabara ya Marangu mpaka kamanga ingekuwa mkeka. Huwezi kumlinga nisha na kina Chenge na Kawambwa.

Warombo wameweka standard za juu sana kumpata mbunge. Hili ni jambo jema sana. Inabidi hata kumpata rais au kiongozi yeyote tumwekee standard za juu na kwenye kumjaji performance tumhukumu kwa aliyoshindwa.

Nawaombea Mungu wananchi wa Rombo wafanye mabadiliko ili yeyote atakayeahidi aweze kutimiza yote aloahidi.

Mradi wa maji Rombo si alipewa Salakana (Kiliwater) ili arudi CCM? Mwenye uhakika wa hili atujuze
 
Huyu huyu Mramba ndo aliwai sema "TUTAKULA ATA NYASI NDEGE YA RAISI LAZIMA ITANUNULIWA"
 
Asante Mkuu kwa kuliona hili. Ni kweli Mramba amefanya makubwa Rombo na Laiti Selelii asingemkalia kooni ungekuta barabara ya Marangu mpaka kamanga ingekuwa mkeka. Huwezi kumlinga nisha na kina Chenge na Kawambwa.

Warombo wameweka standard za juu sana kumpata mbunge. Hili ni jambo jema sana. Inabidi hata kumpata rais au kiongozi yeyote tumwekee standard za juu na kwenye kumjaji performance tumhukumu kwa aliyoshindwa.

Nawaombea Mungu wananchi wa Rombo wafanye mabadiliko ili yeyote atakayeahidi aweze kutimiza yote aloahidi.

Mradi wa maji Rombo si alipewa Salakana (Kiliwater) ili arudi CCM? Mwenye uhakika wa hili atujuze
wewe una akili kweli yaani kama za Mramba mwenyewe! endelea kuwa mvivu wa kufikiria ati Warombo wameweka standard za juu kumpata Mbunge! kama zipi hizo?
 
Back
Top Bottom