Mauaji ya mzazi huko mwananyamala

Mauaji ya mzazi huko mwananyamala

TheForgotten Genious

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
2,784
Reaction score
4,257
Taarifa zinazosambaa kukamatwa kwa kijana mmoja huko Mwananyamala kwa tuhuma za mauaji ya watu wawili ambao ni ndugu zake wa damu akiwemo baba yake mzazi ni za kweli.

Nimefuatilia kwa ukaribu kijana alikuwa akiishi Afrika ya kusini akijishuhurisha na biashara,akiwa huko kila alichokuwa akipata kwa kiasi kikubwa alikuwa akimtumia baba yake mzazi,kwa ajili ya maandalizi ya ujenzi wa nyumba yake.

Alianza kutuma pesa za kununua kiwanja na mzee kwa kushirikiana na ndugu yake huyo walithibitisha walinunua kiwanja kumbe si kweli,baada ya muda akatuma fedha kwa ajili ya kuanza ujenzi wa nyumba,na inasemekana kiasi kilichotumwa kilipaswa kuwa kimekamilisha ujenzi wa nyumba kwa zaidi ya 90%.

Katika kipindi chote akiwa huko walikuwa wakimtumia picha na video feki akawa anaamini,sasa kijana karudi baada ya hili vurugu linaloendelea huko la ubaguzi na hajakuta alichotarajia kama walivyomuaminisha.

Baada ya kuhoji mzee wake akawa jeuri kwakutafuta huruma kwakuwa ni mzazi akajibu atakavyo kwa maneno makali kama mimi nimekuzaaa ,nimekulea umenilipa nini?,kijana akajawa na jazba,kumuuliza ndugu yake aliyekuwa wanashirikiana na mzee naye niwakaliba hiyo ndipo kijana akachukua maamuzi magumu.

MY TAKE.
Kuna ujinga fulani wazazi wanaufanya na kutake advantage kwa watoto wao kwakuwa wamewaza.
Hakuna mtoto aliomba mzazi amzae,ni mzazi mwenyewe alizaa kwa matakwa yake,na kulea ni suala la kisheria na niwajibu wake mzazi kulea,na hastaili malipo.

Kuzaa mtoto kwa lengo la kutata aje akusaidie baadae huo ni uzindukaya na fikra za kidwanzi,huyo mtoto atakuwa na familia yake,atahudumia wangapi?.

Wazazi wanatumika kukwamisha watoto wao kwa kujiamulia mambo kisa wazazi ni udwanzi.

kwa sisi vijana tubadili mentality,tuzae pasipokuwa na mategemeo ya watoto kutusaidia kama sheria,mtoto aje atusaidie sababu ya upendo na fahari kwake na sio kwamba sina uwezo wa kujihudumia.

Soma pia Tetesi: - Aliyeua Baba Zake, alikuwa anatuma Pesa akiwa South Africa Wakazitafuna
 
Kuna mada hapa niliweka kuhusu wazazi na wanao zaa wanazaa kuja kuwatumikisha watoto.

Hakuna kitu kina niuzi eti mzazi anamtuma mtoto dukani usiku alafu anajisifu mwanangu nikimtuma analeta
 
Kama mzazi unakula pesa ya mtoto uliyemzaa, vipi pesa ya mtu wa pembeni?!

Huu ni utapeli tu kama ulivyo utapeli mwingine.
 
Taarifa zinazosambaa kukamatwa kwa kijana mmoja huko Mwananyamala kwa tuhuma za mauaji ya watu wawili ambao ni ndugu zake wa damu akiwemo baba yake mzazi ni za kweli.

Nimefuatilia kwa ukaribu kijana alikuwa akiishi Afrika ya kusini akijishuhurisha na biashara,akiwa huko kila alichokuwa akipata kwa kiasi kikubwa alikuwa akimtumia baba yake mzazi,kwa ajili ya maandalizi ya ujenzi wa nyumba yake.

Alianza kutuma pesa za kununua kiwanja na mzee kwa kushirikiana na ndugu yake huyo walithibitisha walinunua kiwanja kumbe si kweli,baada ya muda akatuma fedha kwa ajili ya kuanza ujenzi wa nyumba,na inasemekana kiasi kilichotumwa kilipaswa kuwa kimekamilisha ujenzi wa nyumba kwa zaidi ya 90%.

Katika kipindi chote akiwa huko walikuwa wakimtumia picha na video feki akawa anaamini,sasa kijana karudi baada ya hili vurugu linaloendelea huko la ubaguzi na hajakuta alichotarajia kama walivyomuaminisha.

Baada ya kuhoji mzee wake akawa jeuri kwakutafuta huruma kwakuwa ni mzazi akajibu atakavyo kwa maneno makali kama mimi nimekuzaaa ,nimekulea umenilipa nini?,kijana akajawa na jazba,kumuuliza ndugu yake aliyekuwa wanashirikiana na mzee naye niwakaliba hiyo ndipo kijana akachukua maamuzi magumu.

MY TAKE.
Kuna ujinga fulani wazazi wanaufanya na kutake advantage kwa watoto wao kwakuwa wamewaza.
Hakuna mtoto aliomba mzazi amzae,ni mzazi mwenyewe alizaa kwa matakwa yake,na kulea ni suala la kisheria na niwajibu wake mzazi kulea,na hastaili malipo.

Kuzaa mtoto kwa lengo la kutata aje akusaidie baadae huo ni uzindukaya na fikra za kidwanzi,huyo mtoto atakuwa na familia yake,atahudumia wangapi?.

Wazazi wanatumika kukwamisha watoto wao kwa kujiamulia mambo kisa wazazi ni udwanzi.

kwa sisi vijana tubadili mentality,tuzae pasipokuwa na mategemeo ya watoto kutusaidia kama sheria,mtoto aje atusaidie sababu ya upendo na fahari kwake na sio kwamba sina uwezo wa kujihudumia.
1784476262131.png
 
Hata mimi,haiwezekani kwa pressure za south halafu watu wanaleta udwanzi,huyu mwana akipata wakili mzuri atakaa jela lakini baada ya muda atatoka
Japo nina mashaka makubwa na ukweli wa habari hii lakini hata kama ingekuwa ni kweli hatoki ng'o. Huyu kitanzi ni haki yake. Auwe watu wawilitena kwa premeditation halafu atoke?
 
Hii kama n kweli bc namuunga mkono jamaa, mm mwnyw nngepita na roho zao kmmmkee, bora tukose wote.
Hapana mdau, inauma sana sana mno. Ila kijana bado anauwezo kwa kutafuta tena. Angemuachia mwenyezi Mungu. Hizo story zipo sana diaspora wa ULAYA na MAREKANI babu.
Inasikitisha mno
 
Hapana mdau, inauma sana sana mno. Ila kijana bado anauwezo kwa kutafuta tena. Angemuachia mwenyezi Mungu. Hizo story zipo sana diaspora wa ULAYA na MAREKANI babu.
Inasikitisha mno
Hapana.
Namuunga mkono.

Nami nngepita na roho zao.
 
Acha uongo unapata faida gani kumtetea huyo muhuni muuaji?
Taarifa kutoka kwa ndugu na yeye alivyokiri kwa polisi ni kua nyumba amerithishwa na babu yake na alikua hataki baba ake mzazi ampangie masharti ikiwemo kuvuta bangi
Na ww Kwann unaamini story za upande mmoja?
Umemsikiliza jamaa n kipi kimemsababisha kuua?
 
Kwa akili za wabongo zilivyo hili halishindikani. Sisi utapeli kwetu ni kama chupi na tako. Wazee wetu jau sana. Wapo wanaojitambua ila wapo pia matapeli hta kwa watoto wao.
 
Sio kweli Dogo yupo bongo mwaka mzima. Dogo alikuwa anataka iuzwe nyumba ya urithi baba zake wakagoma ndio akafanya alicho kifanya.. Hiyo story ya kutuma hela ni uzushi
Kusema mtu adai urithi wa babu wakati wenyewe wapo.! bado kidogo

Tuseme story ya kwanza ni kweli ila wazee wakaamua kuahidi ahadi hewa na waliposhindwa kutimiza.. Wakamflemu aonekane king'ang'anizi kituko.!

Unaonaje hii.?
 
Back
Top Bottom