Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
..tatizo ni kwamba ame-deliver!!
..kati ya shule 10 bora mkoani Kilimanjaro 5 zinatoka jimbo la Rombo.
..Mramba ufisadi wake anafanya kwenye manunuzi ya ndege ya raisi, na alex stuwart. hafanyi ufisadi kwenye miradi inayohusisha jimbo lake la uchaguzi.
..mtofautishe na Kikwete na Dr.Kawambwa wanaofanya ufisadi kwenye miradi ya ujenzi wa barabara bagamoyo.
r u serious? tuchague lifisadi kwa vile lime-deliver!kweli bado tupo mbali sana!!