Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,638
- 220,411
Wametuchonganisha fikiria Malawi alitakiwa kuwa jirani na dada yetu sasa amekuwa adui, hawa watu hawana huruma, nikikumbuka walichofanya Sierra Leone kwasababu ya diamonds sina haumu.Wallah nimewahi kuona watu wanafiki lakini hawa watu weupe ni wanafiki mpaka shetani anawaogopa watakuchekea mpaka jino la mwisho huku wakiwasha moto kwa mlango wa nyuma pumzika kwa amani Gadafi, na Mungu akujaalie maisha marefu Rais Robert Mugabe Mungu mpe afya njema Rais wetu baki hapa hapa tusukume gurudumu la maendeleo mwenye shida aje tu hapa tuzungumze.