Ziwa Nyasa ni milki halali ya Malawi

Ziwa Nyasa ni milki halali ya Malawi

Sina haja ya kusoma chochote, hiyo ni International law kwamba chochote kilichoko mpakani kinamilikiwa na nchi zote, hilo halina mjadala!

Halafu yeye matamshi ya viongozi ameyataja kama matamko (declaration) na anamtaja Kawawa aliwahi kutoa maneno hayo naamini hilo kwake litakuwa Kawawa declaration on Lake Nyasa

[/QUOTE] Ni mhimu kujua kuwa maneno/matamko yanayotolewa na viongozi wa serikali ya nchi husika, kwa sheria za kimataifa, yanahesabiwa kuwa ni sera ya nchi na hivyo huibana nchi anakotoka kiongozi aliyetoa maneno/matamko hayo. Kwa wafuatiliaji wa mambo, angalia kesi zilizoamuliwa na mahakama ya mbalimbali za kimataifa hasa ICJ. Kuna kesi tatu mhimu kwenye hili: Tamko la Ihleni (Ihlen Declaration), kesi ya Peninsula ya Bakassi na Matamshi ya mwakilishi wa Marekani katika WTO. Kesi mbili za mwanzo ziliamuliwa na mahakama ya kimataifa ya ICJ. [/QUOTE]

Kwa hiyoMagufuli akisema Marekani ni sehemu ya Tannzania kwa kuna uwezekano kuna watanzania walichuuliwa utumwa na wakaijenga Marekani basi ICJ itahesabu hiyo ni sera ya Tz sio?
 
Back
Top Bottom