Pierreeppah
JF-Expert Member
- Feb 2, 2014
- 1,563
- 1,973
Ujerumani na waingereza hawana hata ardhi ya kuweka kidole huku Tanzania na hakuna nchi inayoitwa Tanganyika huku afrika
Hiyo kesi hata kama TZ tusiposhiriki kabisa Malawi hawezi kushinda kwa maana International law iko wazi kwamba vitu kama Mto, Ziwa, Milima n.k. inapokuwa mpakani baina ya nchi basi ni lazima zimilikiwe na nchi hizo, hiyo ni international law, hivyo hapo Malawi wanajisumbua tu hiyo kesi hawawezi kushinda hata iweje, na sababu ni haki za kibinadamu kwa maana kama unasema Ziwa Liko Malawi vp watu wanaoishi ufukweni wakitaka kuogelea waombe viza Malawi?
Uko sawa mkuu, Malawi isituchezee tutaweka kando tofauti zetu za kisiasa tuiadabishe, waache waendeleze ujinga tuje tuwachape Kama idd Amin shenz zaoHiyo kesi hata kama TZ tusiposhiriki kabisa Malawi hawezi kushinda kwa maana International law iko wazi kwamba vitu kama Mto, Ziwa, Milima n.k. inapokuwa mpakani baina ya nchi basi ni lazima zimilikiwe na nchi hizo, hiyo ni international law, hivyo hapo Malawi wanajisumbua tu hiyo kesi hawawezi kushinda hata iweje, na sababu ni haki za kibinadamu kwa maana kama unasema Ziwa Liko Malawi vp watu wanaoishi ufukweni wakitaka kuogelea waombe viza Malawi?
nNimesikia kuna mafuta wa Waingereza ndiyo shinikizo usiniulize source.
Na Wamalawi wana kiburi kwakua wanauja Waingereza watawapa wana sheria.Daah huu ukoloni mambo leo sijui utaisha lini....
n
Ni kweli nyie wamalawi hamuwezi kushinda, ziwa ni nusu kwa nusu kama mlivyo gawa katikati na Mozambique, pia mbali na international law pia ziwa lina tabia ya kuhama hama kwahiyo mpaka nao utakuwa unahama? ?Barbarosa, nakuhakikishia-....hatushindi. Soma article yangu/research hii hapa!
Stop that rubbish. Uganda ilishindwa kwa sababu every Ugandan was against Amin kwa udikiteita wake na mauaji ya waganda- kila mmoja aliguswa na ukatili wa Amin. Watanzania walisaidiwa sana na waganda kumsaliti Idd amin otherwise the story could have been different!Kama umetumwa nenda kawaambie tunasema, wacha ziwa tu, tutaichukuwa Malawi yote iwe himaya ya Tanzania na kama mnabisha mwende mkawaulize Uganda.
Stop that rubbish. Uganda ilishindwa kwa sababu every Ugandan was against Amin kwa udikiteita wake na mauaji ya waganda- kila mmoja aliguswa na ukatili wa Amin. Watanzania walisaidiwa sana na waganda kumsaliti Idd amin otherwise the story could have been different!
Labda kuna kitu wanajua ambacho hatujakijua!!Hivi siku zote hizo mbona hiyo nyonyo ilikuwa haisumbui?Wamepatwa na nini?Hiyo nyonyo itabakia kama ilivyokuwa siku zote wasilete mchezo.[HASHTAG]#Hatupendagi[/HASHTAG] ujinga sisi#
Na wewe weka referencesSina haja ya kusoma chochote, hiyo ni International law kwamba chochote kilichoko mpakani kinamilikiwa na nchi zote, hilo halina mjadala!
Good example