Zitto: Wapambe wametufitini na Mbowe

Zitto: Wapambe wametufitini na Mbowe

Kuna uwezekano mkubwa sana kauli za huyu mtoto zikawa na zinakibomoa chama.. maana amegeuka kama msemaji wa chama tena kuna wakati unaweza kumshangaa anapopost hata maswala ya dini....cha ajabu hakemewi chama lazima kiwe na namna ya kuwadhibiti kinidhamu hawa watoto ili chama kionekane kiko serious otherwise utoto unakuwa mwingi......

dr.slaa ameporomoka umaarufu.- yericko nyerere.
 
Kuna uwezekano mkubwa sana kauli za huyu mtoto zikawa na zinakibomoa chama.. maana amegeuka kama msemaji wa chama tena kuna wakati unaweza kumshangaa anapopost hata maswala ya dini....cha ajabu hakemewi chama lazima kiwe na namna ya kuwadhibiti kinidhamu hawa watoto ili chama kionekane kiko serious otherwise utoto unakuwa mwingi......

Wewe mpuuzi nenda lumumba katapikie hayo maneno,
 
Happy Feet, Ahahaha hahaha! samahni mkuu wangu imenitoka tu silidhani...
Shangazi unajua unapotoa hoja lazima uwe na ushahidi kama ingekuwa bungeni kila mtu anaingia kwa mpango wake sidhani kama government policies zingekuwa zinapita kirahisi, maana wakati wa majadiliano ya bunge la budget kunakuwa na malalamiko mengi sana hata kutoka kwa wabunge wa serikari kuhusu budget iliyopita na jinsi ambavyo aijawafikia walengwa huko majimboni mwao, lakini watu hao hao ndio wanaoipitisha government budget kwa sababu ya maslahi ya kundi ndio maana ya kuwa mwanasiasa unaetumikia chama in most cases ni maslahi ya wengi(kundi zima) sio yako binafsi.
Hapo sasa unaona ulivyojibu, kama bajeti ya serikali imetoka, inakuwaje hata baadhi wajumbe wa CCM wanaipinga? wengine wanauliza ni lini maendeleo yatafika kwao, lini barabara itajengwa yaani siku kabla ya bajeti ila mtu Kipofu hajui ule mfuko ni kama box la Chocolate. hii ina maana hata CCM wenyewe hawakuandaa bajeti yao kutokana na itikadi ama sera zao isipokuwa sera hutungwa pale pale bungeni na wao husubiri Ilani ya Mheshimiwa itawahifadhi lipi.

Leo wataamini Elimu bure ni right, kesho ni privilege mara haiwezekani rais akisema inaweekana shangwe na makofi, ili mradi tu wapo wapo. Na ndio maana siku zote husubiri kumsikia mkuu wa kaya atasema nini maana wao hawana msimamo na kama ingekuwa tunarushiwa moja kwa moja kura za wabunge basi utakuta hata wale wa Upinzani wameipitisha bajeti.

Nakuhakikishia kwamba pale Bungeni kila mtu huenda na hoja yake kichwani, kisha yeye mwenyewe hutafuta watu kumuunga mkono, wizara na mashirika ya serikali vivyo hivyo tena hubeba na posho mkononi, huoni kama hii ni ajabu hata katika swala la kisera utafute watu wa kuuunga mkono utadhani mkutano wa saccos!
Despite all that niliutetea sana ule mkakati uliomwondoa Prof.Kitila na kumplekea Zitto kuwa mmbunge wa mahakama kwa sababu niliamini principally they did not break the rules ingawa practically they broke the cultural code of their institution na dhahiri CDM ina utamaduni wake wa kufanya mambo kama unavyoona ingawa Zitto leo hayupo kwenye kinyan'ganyiro lakini sakata la kutaka Mbowe aendelee kubaki mwenyekiti alijaisha na kwa jinsi mambo yanavyoenda you know the fate is with Mbowe himself.
Kumbe upo upande huo ndio maana basi. Kama umemchoka mtu hata akisema nini huwezi kufurahia nilidhani upo open minded kumbe tayari ulishamhukumu, Aaah basi nimekuelewa maana yanayotoka upande wa pili hunaosema kwamba Zitto hivi na vile, Slaa hivi Slaa vile, Mbowe ndiye jembe hakuna zaidi yake na sio Chadema toka nazifuatilia siasa za Bongo.
Hakuna haja ya maelezo mengi ila kumbukeni mtakuja vuna mlichopanda..
 
Kula tano fasta.

Hawa ndio wale wapambe wanaogombanisha watu Ili matumbo yao yajae ilhali wao hawana uwezo hata chembe.

yericko sisimizi anashindana na zito tembo.teh teh bangi mbaya sana
 
Yariko tambua kuwa vibaraka Sikh zote huwa hawafaikiwi,unatumika kaka kondo.o.m name salsa we we name mwenzio SAA name,mmetumika weeeee salsa mmeambiwa Hanna had hi ya ujumbe hata wa mkutano wa kata.
meishia kulalama name kujifanya kuanza kumkosoa Slaa,salsa Leo umejigongelea Voroba unakurupuka kumpamia Mzalendo ambae Afrika nzima inamtabiria kuwa Mandela mpya?

Alma kweli kichwa cha kuku hakibebi mzogo
 
Fukuzia mbali hawa wasakatonge ,yeriko na Saa name na yeriko kwa kuendekeza umbeya kama ..........

Kapige deki kwa Zitto maana unatamani kumtumikia kwa stail ya kuanzisha mijadala ya kitoto.

Zitto please,mfikirie huyu dogo japo kuwapa Mbwa wako chakula au kufungua get I lako,maana Njaa sasa imepanda kichwani .
 
ninyi chadema tumewazoea na siasa zenu za chuki watu timamu tumeshakitilia shaka saccoss yenu na wewe ngoja siku utofautiane na mbowe uje kutapatapa humu jf
 
Wewe mleta thread ni miongoni mwa wapuuzi,wavurugaji na wafitini wachache waliopo CHADEMA.
Inaonekana wazi umekereka sana baada ya Zito kufanya mahojiano ya kina na gazeti la Mwananchi.Nani amekueleza una uwezo,mamlaka na nguvu za kumchagulia mhusika maneno ya kuzungumza?
Ni vema sasa uache upuuzi na undumilakuwili wako.CHADEMA itapiga hatua kubwa mno kama itawapuuza wababaishaji kama wewe na wengine.
 
Pamoja na spining zako zote kwenye magazeti ya wahariri wasaka tonge lakini nikujuze tu kuwa kuanzia kesho 10-30/09/2014 ni siku ambazo historia ya Zitto Zuber Kabwe itafutwa rasmi ndani ya Chadema,

Ni siku ambazo lile joka lamdimu tulilokuwa tumelizimisha sasa tutaliua kabisa,

Ushauri wangu kwako muasisi na mkurugenzi wa kampuni ya upatu ya ACT ni kuwa jitahidi kutembea na kadi yetu kwani mda wowote tutaka uturudishie, ukigoma kutuletea tutaifuta hata ikiwa umeichimbia sanukuni kule Mwandiga.

Ni hayo tu mkuu, akufaaye kwa dhiki ndie rafiki wa kweli.

Ishukuriwe mahakama kwakuhifadhi wahalifu wa kisiasa,

wewe nan mbona kama mnaonekana kama chadema ya peke yako. Cdm ya wote
 
ndio maana siku zote na deal na yericko, tumaini na ben sa 8. Hawa wanatuhalibia chama. Nashukuru makene anaakili kaelewa siyo kama hili zuzu li yericko.
 
Ni upuuzi sana kulinganisha umaarufu wa Cdm kama taasisi na mtu anayeitwa zzk.

Kabla zzk kujiunga na Cdm alikuwa na umaarufu gani?

Alikuwepo Kaburu katibu mkuu wa Cdm leo yuko wapi?

Umaarufu bila Chadema ni sawa na chai bila sukari.

Huyo zzk anajua kabisa umaarufu wake umetokana na cdm na ndio maana ameomba msaada wa mahakama ili asifukuzwe.

Kwani huko ccm hakuna nafasi inayomfaa zzk? Kwa vile zitto anapendwa sana na wanaccm na kwa vile ccm hawana mtu anayekubalika kama zitto nawashauri wampe nafasi ya kugombea Urais 2015 ili ccm inusurike
 
Mikael P. Aweda tafadhali njoo huku utufafanulie mimi sielewi kabisa nini kinaendelea hapa!
 
Back
Top Bottom