Zitto: Wapambe wametufitini na Mbowe

Zitto: Wapambe wametufitini na Mbowe

nimefurahishwa sana na hiyo shukrani uliyoitoa kwa mahakama .
 
Kuna uwezekano mkubwa sana kauli za huyu mtoto zikawa na zinakibomoa chama.. maana amegeuka kama msemaji wa chama tena kuna wakati unaweza kumshangaa anapopost hata maswala ya dini....cha ajabu hakemewi chama lazima kiwe na namna ya kuwadhibiti kinidhamu hawa watoto ili chama kionekane kiko serious otherwise utoto unakuwa mwingi......

Unasema chama kiwadhibiti kwani chama ndiyo kinawanunulia watu bundle la kuingia JF?
 
ndio maana siku zote na deal na yericko, tumaini na ben sa 8. Hawa wanatuhalibia chama. Nashukuru makene anaakili kaelewa siyo kama hili zuzu li yericko.

Wewe nawe ni miongoni mwa wasiojielewa, kwani na wewe una mchango gani CHADEMA?
 
kinyesi.

Pamoja na spining zako zote kwenye magazeti ya wahariri wasaka tonge lakini nikujuze tu kuwa kuanzia kesho 10-30/09/2014 ni siku ambazo historia ya Zitto Zuber Kabwe itafutwa rasmi ndani ya Chadema,

Ni siku ambazo lile joka lamdimu tulilokuwa tumelizimisha sasa tutaliua kabisa,

Ushauri wangu kwako muasisi na mkurugenzi wa kampuni ya upatu ya ACT ni kuwa jitahidi kutembea na kadi yetu kwani mda wowote tutaka uturudishie, ukigoma kutuletea tutaifuta hata ikiwa umeichimbia sanukuni kule Mwandiga.

Ni hayo tu mkuu, akufaaye kwa dhiki ndie rafiki wa kweli.

Ishukuriwe mahakama kwakuhifadhi wahalifu wa kisiasa,
 
yericko ana stress za kutoswa chadema. ni mganga njaa mpaka mbowe amemchoka

Mwenzake Mohamedi Mtoi ametoboa,toka Mwalimu wa shule ya msingi hadi kuwa mesenja wa Dr Slaa.Juzi tu alitumwa akawaite viongozi wa shura ya maimamu.
 
Ahahaha hahaha! samahni mkuu wangu imenitoka tu silidhani..
Apology accepted wacha nikupe hesima yako kama mkongwe wa jukwaa hili unavyotakiwa kuwa addressed Mkuu Mkandara....tunaendelea.

Hapo sasa unaona ulivyojibu, kama bajeti ya serikali imetoka, inakuwaje hata baadhi wajumbe wa CCM wanaipinga? wengine wanauliza ni lini maendeleo yatafika kwao, lini barabara itajengwa yaani siku kabla ya bajeti ila mtu Kipofu hajui ule mfuko ni kama box la Chocolate. hii ina maana hata CCM wenyewe hawakuandaa bajeti yao kutokana na itikadi ama sera zao isipokuwa sera hutungwa pale pale bungeni na wao husubiri Ilani ya Mheshimiwa itawahifadhi lipi.
Hapa unachanganya CCM sera yake kuu mpaka budget iliyopita ilikuwa ni kilimo kwanza nguvu nyingi zimeelekezwa kwenye mabwana shamba, mafunzo ya kilimo bora na menginio yenye kuzalisha zaidi ili mkulima apate mavuno bora na yenye tija.

Kuna watu wanaweza kataa mafanikio yake lakini ulimwengu unatambua ni sera bora iliyotokea africa kwa muda mrefu majuzi nilikuwa nasikiliza interview ya Governor alieenguliwa wa Benki Kuu ya Nigeria 'Mallam Sanusi Lamido Sanusi' kwenye kipindi cha 'HardTalk' kitu alichokitaja kama njia kuu ya ku-propel growth in Nigeria which is inclusive alitoa mfano wa sera ya kilimo EA ambapo unajuwa mlengwa alikuwa Tanzania na kilimo kwanza, akataja changamoto ambazo jukwaa la biashara kutwa watu wanaongelea hila wavivu nao wale awapendi ku-debate wakati mwengine. Maswala yenyewe yalikuwa ni kukosekana kwa soko na changamoto zingine; akaendelea kusisitiza wamejifunza sana kwenye ubora wa sera na wao wanataka kukopy hila mambo yale yale tunayosema sisi kuhusu miundo mbinu, soko, secondary production lazima wayazingatie, truth of the matter hiyo ndio baseline policy anayopendekeza kwenye uchumi wao kwa sasa.

Sasa basi katika implemention ya kwenye hiyo sera ya kilimo katikati kuna mawakala wazushi wa mbolea, wafanyakazi wa serikari matapeli, uchakachuaji wa mbolea kila sehemu kuna matatizo yake aina maana wabunge ku-question uzembe uliotokea jimboni kwao ndio ku-fail kwa sera nzima, in short mambo kama hayo ni kwenye kila sector ya wizara ikiongozwa na ya elimu kutwa kuna utata kule.

kwa hivyo kuna tofauti kubwa sana kuhoji kama delegate kwa kile ambacho unaona wale unao wawakilisha kimewagusa directly na pale unapotoa hoja ambazo zakukosoa serikari au kuiweka accountable as in matter of ufisadi halafu kukataa group efforts hili uonekane wewe mwenyewe ndio unajua kuikosoa serikari zaidi hata kama ni mawazo yako ili kukipaisha chama chako it is commonsense wapiga kura wajue CDM inafanya kazi kwa pamoja na sio mtu mmoja.

Leo wataamini Elimu bure ni right, kesho ni privilege mara haiwezekani rais akisema inaweekana shangwe na makofi, ili mradi tu wapo wapo. Na ndio maana siku zote husubiri kumsikia mkuu wa kaya atasema nini maana wao hawana msimamo na kama ingekuwa tunarushiwa moja kwa moja kura za wabunge basi utakuta hata wale wa Upinzani wameipitisha bajeti.
Mie sikuhizi wala sijali nani kasema nini tena sasa hivi nataka kuilewa big-result now nione utekelezaji wake maana zile sera ambazo IMF/World bank wanazopewa ndio nguvu ujue zinaelekezwa zingine CCM wenyewe wala awajali nani kafisadi wapi na wala wahusika awafungwi despite PCCB, Takukuru, Mahakama and all the existing regulatory and supervisory bodies ndio maana naamini swala hili linahitaji raisi kijana.

Nakuhakikishia kwamba pale Bungeni kila mtu huenda na hoja yake kichwani, kisha yeye mwenyewe hutafuta watu kumuunga mkono, wizara na mashirika ya serikali vivyo hivyo tena hubeba na posho mkononi, huoni kama hii ni ajabu hata katika swala la kisera utafute watu wa kuuunga mkono utadhani mkutano wa saccos! Kumbe upo upande huo ndio maana basi. Kama umemchoka mtu hata akisema nini huwezi kufurahia nilidhani upo open minded kumbe tayari ulishamhukumu, Aaah basi nimekuelewa maana yanayotoka upande wa pili hunaosema kwamba Zitto hivi na vile, Slaa hivi Slaa vile, Mbowe ndiye jembe hakuna zaidi yake na sio Chadema toka nazifuatilia siasa za Bongo.
Hakuna haja ya maelezo mengi ila kumbukeni mtakuja vuna mlichopanda..
Hakuna mahala nimesema Mbowe jembe (looh salalee) lakini pia siwezi kukataa skills zake za uongozi unaweza kuona despite level yake ya elimu anaweza waweka Mbatia na Lipumba nyuma yake that tells you about his ability to command and winning people over.

Unapo ongelea maswala ya kupeleka hoja bungeni lazima ujue nani anaetoa hoja na inalenga nini, kama mmbunge anatetea maslahi ya jimboni kwakwe hiyo inakuwa inasukumwa na personal motive, kama ni swala la kukosoa sera za serikari especially kama ni mmbunge kutoka upinzani anatakiwa atoe credit za timu kuwa wao wanadhani wangefanya nini (ata kama wazo limetoka kwa mtu mmoja), vilevile kuna wabunge wanatoa hoja za kutumwa na makampuni kwa sababu hayaingii bungeni na kuna sababu nyingi za motions, lakini huwezi kuchukua credit ambazo zinastaili kuwa za timu useme ni mimi that is just selfish.
 
Chadema kimebakia na wahuni mtu kama Yericko ndiyo msemaji wa Chadema.
 
Mwenzake Mohamedi Mtoi ametoboa,toka Mwalimu wa shule ya msingi hadi kuwa mesenja wa Dr Slaa.Juzi tu alitumwa akawaite viongozi wa shura ya maimamu.

hahahahaha.. Mtoi kweli aisee kala shavu leo aliandaa mkutano wa wajumbe mlimani city,, vihela vya kukodisha ukumbi na vinywaji atakuwa amepiga piga..Mambo yanamnyookea.
 
Kweli eriko we ninoma umegusa tu kidogo wake wote wa zero wamekuja kuku shambulia.
 
Chambua matukio haya kisha utapata jibu .

attachment.php


Enzi hizoo... Tulikuwa hatujui huyu Zitto ni joka!
 
Kweli eriko we ninoma umegusa tu kidogo wake wote wa zero wamekuja kuku shambulia.

Mkuu Yericko ni tishoo kwa magamba na misukule ya magamba ona ilivyokuja mbio mbio hahaha mpaka raha
 
Yericko angekua msichana basi Dida wa mipasho ndo umefanana nae kwa tabia
Unaniachaga tu unapojiweka level moja na zzk wakati hata hakujui,na hata CDM yenyewe pamoja na kujipendekeza sana kwa mbowe wamekupiga chini miguu chali.....!!kiufupi huna cheo CDM zaidi ya mpiga vuvuzela waa matukio kama Mbwiga wa clouds

Zitto ni chuma cha reli ya mjerumani kilichoshindikana kwa sumu,ajali na hata kwa nguvu za giza toka kwa wahafidhina,zitto ni zaidi ya misukule yoooooote ya ufipa+wahafidhina wao.

Mtachonga sana kuhusu Zitto lakin ni sawa na kuukimbiza upepo.

Yericko yaani ka uchaguzi kadogo tu ka chadema kigamboni umepigwa chini? Sasa ni uchaguz gani hapa duniani utashinda?

Tangu mwaka 2008 mwenendo wa kisiasa wa Zitto Zuber Kabwe ulianza kutiliwa shaka na wanachama wa CHADEMA ndani na nje ya chama, Hili lilipelekea kuibuka maneno ya chini kwa chini kuwa anakisaliti chama.
Hilo liliilazimu timu ya kijasusi ya chama kuanza kufuatilia nyendo zake kwa ukaribu zaidi usiku na mchana ili kujiridhisha pasipo kuacha chembe ya mashaka. Ifahamike kuwa chama kina idara ya ulinzi na usalama wa chama na viongozi wake yenye uwezo wa kufuatilia nyendo za majasusi wa nje na viongozi na wanachama wake popote walipo kwa masaa 24. Baada ya kujiridhisha kuwa mwenendo wake ni wa mashaka, bila kusita timu ya ujasusi ilianza kazi rasmi ya ujasusi dhidi ya nyendo zote za Zitto Zuberi Kabwe
 
Zitto hana sifa,uwezo,ukomavu hata wakuiongoza Mwandiga bila kuwa chini ya watu wenye akili yenye nguvu ,ngumu, yani hawezi kujiongoza yy mwenyewe bila watu wa kumdanganya danganya hiv na yeye kukubali .
 
Pamoja na spining zako zote kwenye magazeti ya wahariri wasaka tonge lakini nikujuze tu kuwa kuanzia kesho 10-30/09/2014 ni siku ambazo historia ya Zitto Zuber Kabwe itafutwa rasmi ndani ya Chadema,

Ni siku ambazo lile joka lamdimu tulilokuwa tumelizimisha sasa tutaliua kabisa,

Ushauri wangu kwako muasisi na mkurugenzi wa kampuni ya upatu ya ACT ni kuwa jitahidi kutembea na kadi yetu kwani mda wowote tutaka uturudishie, ukigoma kutuletea tutaifuta hata ikiwa umeichimbia sanukuni kule Mwandiga.

Ni hayo tu mkuu, akufaaye kwa dhiki ndie rafiki wa kweli.

Ishukuriwe mahakama kwakuhifadhi wahalifu wa kisiasa,

It seems you are the lap dog of the big wigs of CDM. I wonder who are u to have advanced information. This reminds the movies oh God Father, chadema has taken a chapter from that and that is how it runs it's policies. Yerico unatia aibu sana umekuwa kibaraka
 
Yericko angekua msichana basi Dida wa mipasho ndo umefanana nae kwa tabia
Unaniachaga tu unapojiweka level moja na zzk wakati hata hakujui,na hata CDM yenyewe pamoja na kujipendekeza sana kwa mbowe wamekupiga chini miguu chali.....!!kiufupi huna cheo CDM zaidi ya mpiga vuvuzela waa matukio kama Mbwiga wa clouds

Zitto ni chuma cha reli ya mjerumani kilichoshindikana kwa sumu,ajali na hata kwa nguvu za giza toka kwa wahafidhina,zitto ni zaidi ya misukule yoooooote ya ufipa+wahafidhina wao.

Mtachonga sana kuhusu Zitto lakin ni sawa na kuukimbiza upepo.

Chambua matukio haya kisha utapata jibu .

Zitto ni maarufu kupita chadema

mkuu yericko kwan kuna nn?

sishauri Zitto au wafuasi wake kuja kujibizana na huyu dogo kwasababu hana hadhi na wala hatoshelezi kujibizana na Zitto. Zitto na hoha zake ni za Kitaifa na Utaifa-huyu dogo asiyejitambua hoja zake ni pale ubongo wake wa paka unapoishia.

mambo aliyoyafanya Zitto kwa Taifa hili hayafutwi na hayatofutika kwa kifuto unachotumia. umaarufu hauji kwa mpango unaotumia, fanya kaz dogo acha ujinga-ukomboz gan utafanywa na wewe, hii nchi bana yaan na wewe sasa umeshakuwa mashuhuri? mtajipaka hata vinyes ili mradi na wewe watu wakuone. acha kutumika dodoki wewe fanya kaz

Kama una uhakika na mipango yenu kelele za nini sasa ndio maana unafananishwa wa wamama wa mipasho!!!! Siasa za kuandamana kwa majina how come enzi hizi.

Hivi we kama kijana na kwenu kuna uchaguzi una nini cha kusaidia viongozi wachanga ili kesho tupate watu shupavu kwa Taifa??! Hii ndio type ya siasa za vijana wanaoona mbali, badilika uwe mentor wa vijana wenzio!!!

Una kelele sana haswa linapokuja suala la huyo hasimu wako, mara polisi, mara umetishwa kuuliwa sijui yaani ni kama unatumia jina lake kubaki unasikika vile!!!! Au sijui unatumiwa kuchafuana tu bila mpango!!??

Kuwa kijana wa kisasa mkuu fanya siasa za faida ya Taifa hii kufuatana kama mikia haina faida kwa Taifa, kama mna uhakika ni mtu wa hovyo chamani wekeni mikakati mtoeni shughuli iishe!!!! Ajenda za kujenga zitamalaki sio leo hivi kesho vile kuhusu mtu mmoja tu!!! Ametutoka baba wa Taifa na maisha yanaenda mbona kama vipi mna uhakika na mmejiridhisha mtoeni naye huko chamani huu wimbo uishe!!!

Unachosha kiaina
Mazungumzo haya yalifanywa wakati huo Zitto akiwa katika hoteli ya Blue Pearl Ubungo, Mr Zoka alitaka kujua mambo kadhaa kuelekea Uchaguzi mkuu, kwanza alimuuliza "Mr Zitto umejiandaaje, una timu ya kazi?" Zitto akajibu "nipo fiti kiakili na kimwili na nina timu ya kutosha, ondoa shaka juu yangu, kama ipo hiyo hela tumeni tu Ujerumani kwenye ile akaunti, na ningeomba kukutana na mwenyeti wenu (rais JK)" Zoka lijibu "hilo halina tabu nitalifikisha sehemu husika bwana Zitto",
 
Back
Top Bottom