Zitto: Wapambe wametufitini na Mbowe

Zitto: Wapambe wametufitini na Mbowe

Umekosa
nafasi ya ujumbe Taifa halafu unataka kujipima na role model wako.
Umesahau Zzk ndiye aliyekufanya uende vidole viwili.

Mmejitahidi
kutumia magazeti kusaka huruma ya kurudishwa chamani lakini tumesema
noooooo, aende tu huko huko ACT
 
Umekosa
nafasi ya ujumbe Taifa halafu unataka kujipima na role model wako.
Umesahau Zzk ndiye aliyekufanya uende vidole viwili.

Yericko ana gundu ,kila chaguzi za chadema anapigwa chini
 
Yericko angekua msichana basi Dida wa mipasho ndo umefanana nae kwa tabia
Unaniachaga tu unapojiweka level moja na zzk wakati hata hakujui,na hata CDM yenyewe pamoja na kujipendekeza sana kwa mbowe wamekupiga chini miguu chali.....!!kiufupi huna cheo CDM zaidi ya mpiga vuvuzela waa matukio kama Mbwiga wa clouds

Na wewe kule ACT uko na wadhifa gani Kiongozi ??
Hizi ID, mwekundu The Boss, Balantanda gukurupukaga sana pale ZZK anaponangwagwa...
 
Last edited by a moderator:
Sasa hivi tuko na Mbaruku Kansas, Mwenyekiti ajae wa Chadema,tunachochea kuni tu

Wewe ni Mpuuzi ambaye hata Propaganda hauzijui...eti tunachochea kuni,labda moto umuunguze mumeo,wewe,wanenu na ukoo wenu wote
 
Yericko angekua msichana basi Dida wa mipasho ndo umefanana nae kwa tabia
Unaniachaga tu unapojiweka level moja na zzk wakati hata hakujui,na hata CDM yenyewe pamoja na kujipendekeza sana kwa mbowe wamekupiga chini miguu chali.....!!kiufupi huna cheo CDM zaidi ya mpiga vuvuzela waa matukio kama Mbwiga wa clouds

Natamani nikurushie buku kumi fasta ugonge lile gambe jipya la kitaa.
 
Kijana wa kigamboni ulieangukia pua kwenye uchaguzi wa chadema mtaani kwako.. Yani hata majirani zako hawakutaki..kweli una gundu.
Njoo ujiunge chadema,naona inakuuma sana,Lumumba hawana muda nawe book7 ni shida utaishia kuwa kalai,
 
sishauri Zitto au wafuasi wake kuja kujibizana na huyu dogo kwasababu hana hadhi na wala hatoshelezi kujibizana na Zitto. Zitto na hoha zake ni za Kitaifa na Utaifa-huyu dogo asiyejitambua hoja zake ni pale ubongo wake wa paka unapoishia.

mambo aliyoyafanya Zitto kwa Taifa hili hayafutwi na hayatofutika kwa kifuto unachotumia. umaarufu hauji kwa mpango unaotumia, fanya kaz dogo acha ujinga-ukomboz gan utafanywa na wewe, hii nchi bana yaan na wewe sasa umeshakuwa mashuhuri? mtajipaka hata vinyes ili mradi na wewe watu wakuone. acha kutumika dodoki wewe fanya kaz

Kula tano fasta.

Hawa ndio wale wapambe wanaogombanisha watu Ili matumbo yao yajae ilhali wao hawana uwezo hata chembe.
 
Yericko angekua msichana basi Dida wa mipasho ndo umefanana nae kwa tabia
Unaniachaga tu unapojiweka level moja na zzk wakati hata hakujui,na hata CDM yenyewe pamoja na kujipendekeza sana kwa mbowe wamekupiga chini miguu chali.....!!kiufupi huna cheo CDM zaidi ya mpiga vuvuzela waa matukio kama Mbwiga wa clouds

Ulivokuwa huna akili timamu unaamini kuwa chadema ni lazima uwekiongozi. Ndicho zitto anachowadanganya wajinga km ww. Mbona tupo hapa wala hayufikirii kuwa viongozi na wengine km mm wala sio wanachama wa chama chochote but tunapenda mabadiliko ya kweli via cdm? Hizi akili mgando au akili njaa zitatuumiza sn.
Yaani anataka yeriko awe kiongozi ndo aongee ukweli? Period!!
 
Kuna uwezekano mkubwa sana kauli za huyu mtoto zikawa na zinakibomoa chama.. maana amegeuka kama msemaji wa chama tena kuna wakati unaweza kumshangaa anapopost hata maswala ya dini....cha ajabu hakemewi chama lazima kiwe na namna ya kuwadhibiti kinidhamu hawa watoto ili chama kionekane kiko serious otherwise utoto unakuwa mwingi......
 
Back
Top Bottom