Mmejitahidi kutumia magazeti kusaka huruma ya kurudishwa chamani lakini tumesema noooooo, aende tu huko huko ACT
Una gundu ndio maana unaangukia pua kwenye chaguzi za chadema
Mmejitahidi kutumia magazeti kusaka huruma ya kurudishwa chamani lakini tumesema noooooo, aende tu huko huko ACT
Mmejitahidi
kutumia magazeti kusaka huruma ya kurudishwa chamani lakini tumesema
noooooo, aende tu huko huko ACT
Yericko una gundu, kaoge na maji ya magadi,
Umekosa
nafasi ya ujumbe Taifa halafu unataka kujipima na role model wako.
Umesahau Zzk ndiye aliyekufanya uende vidole viwili.
Sema tu unamuonea wivu mboye kwa kula mzigo kama ule! We si domo zege ha kusema I'lovu u domo zito
Mimi au kijana wa mwandiga?
Yericko angekua msichana basi Dida wa mipasho ndo umefanana nae kwa tabia
Unaniachaga tu unapojiweka level moja na zzk wakati hata hakujui,na hata CDM yenyewe pamoja na kujipendekeza sana kwa mbowe wamekupiga chini miguu chali.....!!kiufupi huna cheo CDM zaidi ya mpiga vuvuzela waa matukio kama Mbwiga wa clouds
Hivi ukilipwa buk 7 unapangeje bajeti mkuu?
Njaa inakusumbua zitto siyo saizi yako mpuzi wewe
Sasa hivi tuko na Mbaruku Kansas, Mwenyekiti ajae wa Chadema,tunachochea kuni tu
Zero brain
Yericko angekua msichana basi Dida wa mipasho ndo umefanana nae kwa tabia
Unaniachaga tu unapojiweka level moja na zzk wakati hata hakujui,na hata CDM yenyewe pamoja na kujipendekeza sana kwa mbowe wamekupiga chini miguu chali.....!!kiufupi huna cheo CDM zaidi ya mpiga vuvuzela waa matukio kama Mbwiga wa clouds
Kama msaliti wenu kijana wa mwindiga!!!Lazima atapike Pesa za magamba coz mission imenyepa!!
Njoo ujiunge chadema,naona inakuuma sana,Lumumba hawana muda nawe book7 ni shida utaishia kuwa kalai,Kijana wa kigamboni ulieangukia pua kwenye uchaguzi wa chadema mtaani kwako.. Yani hata majirani zako hawakutaki..kweli una gundu.
sishauri Zitto au wafuasi wake kuja kujibizana na huyu dogo kwasababu hana hadhi na wala hatoshelezi kujibizana na Zitto. Zitto na hoha zake ni za Kitaifa na Utaifa-huyu dogo asiyejitambua hoja zake ni pale ubongo wake wa paka unapoishia.
mambo aliyoyafanya Zitto kwa Taifa hili hayafutwi na hayatofutika kwa kifuto unachotumia. umaarufu hauji kwa mpango unaotumia, fanya kaz dogo acha ujinga-ukomboz gan utafanywa na wewe, hii nchi bana yaan na wewe sasa umeshakuwa mashuhuri? mtajipaka hata vinyes ili mradi na wewe watu wakuone. acha kutumika dodoki wewe fanya kaz
Yericko angekua msichana basi Dida wa mipasho ndo umefanana nae kwa tabia
Unaniachaga tu unapojiweka level moja na zzk wakati hata hakujui,na hata CDM yenyewe pamoja na kujipendekeza sana kwa mbowe wamekupiga chini miguu chali.....!!kiufupi huna cheo CDM zaidi ya mpiga vuvuzela waa matukio kama Mbwiga wa clouds
Buku bhange
Buku mbili ngedule
buku jero ugali ws maharagwe
mia tano kiloba
buku vocha
Hiyo ndio bajeti yao