Zitto: Wapambe wametufitini na Mbowe

Zitto: Wapambe wametufitini na Mbowe

SOMA WARAKA HUU WA SIRI ULIOKAMATWA KUTOKA KATIKA FAILI LA OFISA USALAMA WA CHADEMA KUHUSU USALAMA WA MAISHA YA ZITTO KABWE.

larrybway91 / December 7, 2013
Ndugu watanzania, nimelazimika kuusambaza kwa KUUATACH waraka huu wa siri wa mawasiliano ya ndani ya chama baina ya mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Katibu mkuu, na wanaoitwa wa jumbe wa baraza la maamuzi la chama ambao kwa kweli sijafanikiwa kuwafahamu.Waraka huu nimeuchomoa kwenye file la kazi za kila siku za ndugu HEMEDI SABULA ambaye ni Afisa wa kurugenzi ya ulinzi na usalama wa CHADEMA MAKAO MAKUU.Ujumbe uliokuwepo ndani ya huu waraka ni wa kusikitisha sana kiasi kwamba nimeshindwa kuvumilia kuacha kuona watanzania wakiendelea kupotoshwa namna hii.

Tafadhali wanahabari sambazeni ujumbe huu ili watanzania wengi zaidi waweze kuendelea kutambua kinachoendelea ndani ya chama chetu.
Ninaomba niendelee kuficha jina langu kwa sasa
Niiteni mwanamapinduzi mzalendo.

Makao makuu chadema
regards
1476188_163238823886330_66145908_n.jpg
Nanukuu katika hayo maelezo maana naona hayasomeki vizuri
mheshimiwa mwenyekiti, wajumbe wa baraza maalum la mapinduzi ya chama ni vema sasa tujipongeze kwa kazi nzuri tuliyoifanya.

Tangu tulipomalizana na CHACHA WANGWE harakati na mikiki mikiki yake kuanzia 2008 sasa tumekomesha.
Tuwapongeze sana makamanda LEMA na MNYIKA kwa kuandaa waraka wa siri unaoonyesha namna anavyolipwa mamilioni ya fedha. Hata kama atakwenda kushitaki mahakamani tutasingizia kuwa amebebwa na mahakama kwa kuwa agenda yetu ya kumshusha na kutumiwa na CCM imefanikiwa sana kama ilivyokuwa kwa WANGWE, hivi sasa kila kona ananuka, hakuna anayeweza tena kumuamini kuwa hatumiwi na CCM, mpaka ukweli utapokuja kugundulika kuwa na mchezo nafikiri itakuwa tayari tumeshatimiza malengo yetu.


Pamoja na pongezi lakini pia hatutakiwa kulala, ni lazima tuendeleze mapambano ya kumchafua mpaka aone aibu kutembea, mpaka ajivue uanachama na ubunge.Huyu sio mtu mzuri hata kidogo,amevamia chama ambacho hajui waasisi wetu mlikianzisha kwa malengo gani, eti demokrasia, shauri yake.


Tumdhibiti sasa na agenda yao ya kwamba sisi ni chama cha wahagga na wakristo, kuwaajili watu wa mikoa mingine kama vile Marcus,Kibatala na wengineo inaweza kuwa utetezi kwetu. Hoja ya ubunge wa viti maalum kuwa ni upendeleo haina mashiko tena shida ni hili la uchaga na ukristo kidogo, japo la ukristo linatubeba kwa kuwa tunapata sapoti ya wakristo wengi.


Nimesikia fununu kuwa watazunguka nchi nzima kutusema vibaya lakini hawatafanikiwa kwa kuwa makamanda wetu wameshatangulia huko tangu usiku wa siku tuliyomchinja.
Nimewaagiza pia makamanda wetu wa RED BRIGED wazuie na ikiwezekana kuwadhuru na hata kuwaua kabisa dawa ya hawa watu ni kuwashughulikia mpaka mwisho
 
Sioni haja ya Zitto kutoa tamko kuwa amefitinishwa na uongozi wa CHADEMA kwani ingikuwa tofauti kama angejieleza badala ya kuanzisha chama, ACT-Tanzania.
 
Asema ipo siku watamkumbuka, amekemea wapambe walimfitini na Mbowe pamoja na chama.

Asema wametoka mbali sana na chama, aliyasema haya jana DSM
=============================




CHANZO: Mwananchi

Kiukweli Zitto huwa ana hoja ni good orator,akisimama kuongea hata kama nipo bandani nahangaikia chanjo ya kuku wangu huwa naacha kwanza.Ni vyema busara itumike arudishwe kundini maana tumeumbwa katika dhambi.
 
hata Mimi zitto nilitaka kumchukia ila mmmmh.... zitto muache aitwe zitto.
 
Back
Top Bottom