Zitto: Wapambe wametufitini na Mbowe

Zitto: Wapambe wametufitini na Mbowe

Nimesema mara nyingi katika mitandao ya jamii kwamba namuona Zitto akiwa na tatizo kubwa (mentality) ya kudhani kwamba yeye ni mtu pekee, mwenye akili ya kipekee, na bila yeye hakuna linaloweza kufanikiwa. Hata huko nyuma nilimlinganisa Zitto na mchezaji mpira mzuri lakini mwenye tatizo la kudhani ili timu yake ishinde ni lazima yeye ndie afunge goli. Nilisema mchezaji wa namna hiyo mara nyingi anaweza kuikosesha timu yake ushindi kwa kuwa kuna wakati angetakiwa ampasie mpira mchezaji mwingine mwenye nafasi nzuri zaidi ya kufunga goli lakini kung'ang'ania kwake kutaka yeye afunge kukaifanya timu ikose goli muhimu la ushindi.

Sasa leo magazeti (Mwananchi) yanamnukuu Zitto akisema "Simwoni mwingine anayeweza kuiongoza nchi hii kwa sasa zaidi yangu"

Binafsi naona kauli hii ya Zitto ni matusi kwa Watanzania wengine wote ambao wana akili zao lakini hawana nia wala mpango wa kugombea uraisi. Na ndio mentality iliyomletea matatizo Chadema. Yaani Zitto anatuona Watanzania wote ni mbumbumbu tusiojua uongozi ila yeye ndie mwenye akili sivyo? Na hili ni tatizo si kwa Zitto tu, bali hata baadhi ya maraisi wetu na mawaziri ambao wanadhani kuwa katika nafasi walizonazo ina maana wana akili zaidi ya Watanzania wote au watendaji wote katika Wizara zao.

Watu wenye mtazamo uliopotoka kama huu hawafai hata kupewa nafasi ya ubalozi wa nyumba kumi au udiwani.

Kufikiri kwa Moderators wa JF nako kuna matatizo. Sasa hii thread inahusiana nini na suala la Zitto kudai Wapambe wamemkosansha na Mbowe? Ninamlaumu Zitto kumbe kuna wengi tu ambao kufikiri kwao hakuko sawa.
 
TOTO JINGA WEWE!
Warudishe kondoo wote uliowapeleka ACT ndipo upate msamaha kwa wananchi na mbinguni pia.
Unafanya ujinga halafu unakimbilia maka badala urudishe kwanza ulichokitawanya!

Jogoo keshawika hapa, utajinyonga na uule hadi utumbo wako.
Mwambie mwigamba na Kitila wajutie pia ujinga wao japo Kitila alikiri siku ya kuvuliwa uachana ila mwigamba na ww mlishupaza shingo.

Nyinyi na mwigamba ni wabaya kuliko hata ccm.
Dhambi ya uasi husamehewa ila majeraha hayaponi milele, Mkumbukeni rusifa ambae ni shetani kwa sasa.

WARUDISHE KONDOO WOTE MLIOWAPOTEZA AKINA SHONZA NA WENGINE WENGI.

Mwambie Kansa kama na yeye anafikiria kwa kutumia akili ya watu wengine ambao niwafitini.
Atubu na aache ujinga huo.
WOTE MTUBU NA MBATIZWE UPYA NA SYO KUSEMA TU ETI BAADA YA KESI MTAENDELEA NA UJINGA WA KUFUNGUA VICHAMA VINGINE VINGI NA KUWASUMBUA WANCHI KUWATANGISHA.

Mtubu na kuacha ili mpate msamaha wa kweli.

Vyama vya siasa ni vingi sana ambavyo vinahitaji kupunguzwa/Kuviunganisha ili vibaki vichache na imara ama kimoja.
Maana mnavipa kazi kubwa sana vyama vikuu kuvinyang'anya wapiga kura na kuchelewasha serikali yenye mapinduzi na nikwasababu mnahitaji umaarufu wa kijinga na uroho wa kila mtu anahitaji kuwa mwenyekiti ama rais kisa amekuwa maarufu sana ama anaweza kujenga hoja. Uliambiwa na nani ukiweza kujenga hoja uwe rais? Jitahdi kufikri tofaut kidogo ili uone kama hutaleta tija.

Eti unapenda siasa za hoja! nani huwa hana hoja? Tatizo lako ni kulazimisha ujuaji kwa kila kitu na misimamo hata kwenye mambo ya kijinga kisa umesema wewe.
Ni mambo yakizamani kuonekana uko tofauti kimtazamo na wenzio halafu unaamua kukimbia badala ya kujishusha ili ujue ni wapi wenzako unawacha na uanzie hapo ili uwafikishe unapohtaji, na hiyo ndiyo njia ya msomi.

UNAKWENDA KUFANYA YALEYALE YA MREMA KUHAMA CHAMA CHAKE KISA ILI AONEKANE ANAUWEZO.

MMESHINDWA KUJIFUNZA MAKOSA KWA WENGINE HADI NA NYINYI MKOSEE PIA BADALA YA KUJIFUNZA KUTOKANA NA MABADIRIKO. MNAFANYA MAKOSA TENA KWA NAMNA ZILEZILE!?? ETI MSOMI!

WARUDISHENI KONDOO WOTE ILI TUWANYANG'ANYE CCM NCHI YETU.

Hajasema kama anaondoka bali wamemfukuza na yeye anataka kuendelea na siasa vipi unasema amekimbilia kwingine katika chili?
 
Pole Ndugu Yangu .
Japo Maswali Uliyoacha Kujibu Ni Mengi Kuliko Majibu Uliyoyatoa

Nakushauri Hivii
Mtafute Mkiti Wako Mmalizane ,
Kazi Njema
 
Well that is were the art of public speaking is supposed to show. Wewe atakama mtu kakupa swali la mtego na inabidi umkumbushe ulichowafanyia wengine aina maana usijue tofauti ya lugha utakayo itoa kwa baba mkwe kumwambia jinsi gani binti yake asivyo na shukurani wala fadhila na lugha ya kutoa kwenye media where you were part of the team.

Unapoongea kwenye jamii jua wazi people will interpret differently kutokana na uwezo wao wa kielimu ni sawa kama unataka kumu impress bwana muba sijui mubi wa mkasi, lakini kuna msikilizaji wa nje ataona huyu jamaa vipi? Mfano unaweza ona sawa kusema mimi nilianzisha motion ya kupeleka bungeni ya kutaka PM atoke, tayari umeshawaweka washirika wako pembeni. How about CDM tuliona huyu bwana afai kupitia mimi tukaanzisha motion ya huyu bwana an'goke, isitoshe mimi nikawashawishi wabunge wote waunge mkono, ina maana after the motion wenzako hawakuku support hili wengine wakuunge mkono? you are making it as if the others were not important in the success of that motion those things are a put off kwa wengine.

Sasa imagine mimi simjui zitto lakini kupitia wanachama wenzake ambao wameshanipa hint za kuwa huyu ni mwanasiasa anayependa sifa sio team player na mengineo to do with selfishness wanazotoa JF. Lakini kwakuwa ni mtu mzima na akili zangu nachukua kama half baked story itabidi nisikilize na upande wa Zitto halafu nakutana na interview kama ile ya Mkasi kumbuka maneno yanakuja spontaneously and transient (short lived) sina muda wa kutafakari zaidi wala yeye atoi maudhui ya kutosha kwanini alibidi afanye mwenyewe na kwanini ataji timu yake si ntaona huyu jamaa ni egoist.

Hata pale anaposema kamati za bunge utasikia kamati ya PAC mimi (always anaanza na I) ndio kiongozi wao kazi yetu ni abc, by the end it seemed even 'Salama Jabir' had heard enough and was not impressed (the evidence was in the body language) maana sio kawaida yake kumaliza interview vile mara nyingi utamsikia muda autupi nafasi na mengineo ya kumaliza kwa ustaarabu lakini pale ilikuwa enhe na nyie pia mmeishiwa maswali tuishie hapa, i dont know how you rate those things to me the're boring ndio maana wanasiasa huwa awatumii first person kwa sababu ya kutambua ushiriki wa wengine.

By the way mimi siongelei mambo yao ya internal naongelea matatizo mengine niliyo ya notice passively.
Dada unayosema yote kweli kabisa lakini unashindwa kuelewa siasa za Bongo maana pale bungeni hakuna watu kabisa ni nguvu ya mtu mmoja mmoja tu ambayo ndio picha halisi ya Ubunge wao. hata ukisikiliza kesi za hoja zao hushtakiwa mtu mmoja iwe Dr.Slaa na list ya mafisadi au jambo lolote na ndio maana huzimwa kabla hata halijafika mbali kwa sababu halipewi nafasi ndani ya chama kuwa ni msimamo wa chama ama upinzani ili lipatiwe ufumbuzi. Kwa nini ashtakiwe mtu mmoja alotoa hoja ikiwa hoja hiyo imepitishwa na upinzani?

Na record za Mbunge activist hutokana na performance yake bungeni aidha kupitisha sheria, muswada, na kuisimamia serikali ama kupinga yasokuwa na tija kwa wananchi na ndio ushindani wa kisiasa. Ukweli ni kwamba vyanma vyetu havina mrengo (itikadi) wanasukumwa tu na isia za mtu mmoja mmoja ama event ilokwisha tokea. Hawajipangi kabla ya kuingia Bungeni kusimamia sera zao dhidi ya mambo mapya wanayoyategemea kutoka upande wa utawala.

Mimi mwenyewe nilikuwa namlaumu sana Zitto na nikasema hata kama hawakushirikishi inabidi awe mdogo lakini ukweli unabakia kwamba toka Zitto apiganie Uenyekiti Chadema kazi kubwa ilofanyika na wanachama wenzake ni kumbomoa tu. Na Kibaya zaidi ni kwamba alikuwa akiaminika kama anatumika na CCM japo kajitetea sana lakini wapi watu hawakutaka kuamini. Binafsi nilishiriki sana kuyakana hayo kwa sababu nilifahamu ilikuwa mbinu ya CCM kuwabomoa.

Hivyo hata Ubunge wake unaonyesha tu kuwa ni wa Chadema lakini he is alone! ni mbunge mgombea binafsi kiuhalisia kama vile hana chama toka mwaka 2008 mara zote hutumia hoja zake bungeni hupitia kamati yake badala ya chama chake maana hana ushirikiano huko na huwa haipo ktk kazi za kamati. Kwa mfano ombi la kumsimamisha waziri mkuu halikuwa la kamati yake wala chama ni lake binafsi. Na sisi wengine nje tulijaribu sana kushauri pande zote mbili lakini kama unavyojua sikio la kufa halina dawa iwe kwa Zitto ama washabiki wa mambo haya. Zitto was long an outsider kabla ya kusimamishwa kwake.
 
Dada unayosema yote kweli kabisa lakini unashindwa kuelewa siasa za Bongo maana pale bungeni hakuna watu kabisa ni nguvu ya mtu mmoja mmoja tu ambayo ndio picha halisi ya Ubunge wao. hata ukisikiliza kesi za hoja zao hushtakiwa mtu mmoja iwe Dr.Slaa na list ya mafisadi au jambo lolote na ndio maana huzimwa kabla hata halijafika mbali kwa sababu halipewi nafasi ndani ya chama kuwa ni msimamo wa chama ama upinzani ili lipatiwe ufumbuzi. Kwa nini ashtakiwe mtu mmoja alotoa hoja ikiwa hoja hiyo imepitishwa na upinzani?

Shangazi unajua unapotoa hoja lazima uwe na ushahidi kama ingekuwa bungeni kila mtu anaingia kwa mpango wake sidhani kama government policies zingekuwa zinapita kirahisi, maana wakati wa majadiliano ya bunge la budget kunakuwa na malalamiko mengi sana hata kutoka kwa wabunge wa serikari kuhusu budget iliyopita na jinsi ambavyo aijawafikia walengwa huko majimboni mwao, lakini watu hao hao ndio wanaoipitisha government budget kwa sababu ya maslahi ya kundi ndio maana ya kuwa mwanasiasa unaetumikia chama in most cases ni maslahi ya wengi(kundi zima) sio yako binafsi.

Halafu uwezi msikia Dr.Slaa wala Mh.Mbowe atasiku moja wakitoa kauli za mimi kama mwenyekiti wa CDM ndio nilifanya ABC au wakitumia kitu kama CDM yangu; sijui ni kitu gani hapa unachotaka kumtetea mpwa wako shangazi yeye kamati ya PAC anaitambulisha kama kamati yangu. Kamati yako unaimiliki au umechaguliwa kuiongoza shangazi unaanza kuwa kama mshabiki wa CDM ambae upofu anataka kulazimisha ni chongo.

Na record za Mbunge activist hutokana na performance yake bungeni aidha kupitisha sheria, muswada, na kuisimamia serikali ama kupinga yasokuwa na tija kwa wananchi na ndio ushindani wa kisiasa. Mimi mwenyewe nilikuwa namlaumu sana Zitto na nikasema hata kama hawakushirikishi inabidi awe mdogo lakini ukweli unabakia kwamba toka Zitto apiganie Uenyekiti Chadema kazi kubwa ilofanyika na wanachama wenzake ni kumbomoa tu. Na Kibaya zaidi ni kwamba alikuwa akiaminika kama anatumika na CCM japo kajitetea sana lakini wapi watu hawakutaka kuamini.
This has nothing to do with me kwanza on record nipo huko nyuma wakati wa sakata hili kumtetea zitto ya kuwa ana haki ya kugombea nafasi ya juu chamani mwake my position ni kwamba he was over ambitious atakama anaona amewazidi uwezo wa mawazo wengine. He also failed to mobilize support kwa sababu rarely people go publicly to challenge their mentors without their approvals inaonesha ni mtu wa aina gani kwenye uwanja ambao loyalty is every thing such as politics.

Despite all that niliutetea sana ule mkakati uliomwondoa Prof.Kitila na kumplekea Zitto kuwa mmbunge wa mahakama kwa sababu niliamini principally they did not break the rules ingawa practically they broke the cultural code of their institution na dhahiri CDM ina utamaduni wake wa kufanya mambo kama unavyoona ingawa Zitto leo hayupo kwenye kinyan'ganyiro lakini sakata la kutaka Mbowe aendelee kubaki mwenyekiti alijaisha na kwa jinsi mambo yanavyoenda you know the fate is with Mbowe himself.

Kwa maana hiyo unaona ni jinsi gani huyu mtu wako asivyoweza ku-calculate even simple moves especially baada ya ugomvi wa uchaguzi uliopita kutaka nafasi za juu chamani, ugomvi wa kutaka kuwa KUB, kutangaza nia ya uraisi uchaguzi ujao kabla ya umri kikatiba; to me he is not someone who is manipulative politically anatumia nguvu za hoja tu wakati si kila mara zinaleta ushindi you got to be shrewd and have varieties in politics in order to built support.

Hapo atasijagusia uongozi wa chama ni tofauti na kazi ya ubunge kama unavyodhani, experience ambayo ajaionyesha kwenye personality wala uwezo wa kimkakati ili useme zitto can built strong bases outside ufipa and foot soldiers ambao wapo commited to the course that also requires different skills in people and money management, sasa kama binadamu huyu awezi ata kuishi na wenzake what tells you about his ability in relation to ppl management ndio maana wengine wanaona Mbowe na Slaa are capable of that role ukizingatia kwa CDM kila mtu ni mamluki na si watu ambao wapo tayari kusonga mbele or else ungeona demands.


Hivyo hata Ubunge wake unaonyesha tu kuwa ni wa Chadema lakini he is alone! ni mbunge mgombea binafsi kiuhalisia kama vile hana chama toka mwaka 2006 mara zote hutumia hoja zake kupitia kamati yake badala ya chaa chake maana hana ushirikiano huko. Na sisi wengine nje tulijaribu sana kushauri pande zote mbili lakini kama unavyojua sikio la kufa halina dawa iwe kwa Zitto ama washabiki wa mambo haya. Zitto was long an outsider kabla ya kusimamishwa kwake.
And you think it would help him with his I this and I that kuwa team player uoni kama hilo nalo linachangia na wengine kumuweka as an outsider ili ajichukulie hizo sifa anazotaka mwenyewe ama?
 
Well that is were the art of public speaking is supposed to show. Wewe atakama mtu kakupa swali la mtego na inabidi umkumbushe ulichowafanyia wengine aina maana usijue tofauti ya lugha utakayo itoa kwa baba mkwe kumwambia jinsi gani binti yake asivyo na shukurani wala fadhila na lugha ya kutoa kwenye media where you were part of the team.

Unapoongea kwenye jamii jua wazi people will interpret differently kutokana na uwezo wao wa kielimu ni sawa kama unataka kumu impress bwana muba sijui mubi wa mkasi, lakini kuna msikilizaji wa nje ataona huyu jamaa vipi? Mfano unaweza ona sawa kusema mimi nilianzisha motion ya kupeleka bungeni ya kutaka PM atoke, tayari umeshawaweka washirika wako pembeni. How about CDM tuliona huyu bwana afai kupitia mimi tukaanzisha motion ya huyu bwana an'goke, isitoshe mimi nikawashawishi wabunge wote waunge mkono, ina maana after the motion wenzako hawakuku support hili wengine wakuunge mkono? you are making it as if the others were not important in the success of that motion those things are a put off kwa wengine.

Sasa imagine mimi simjui zitto lakini kupitia wanachama wenzake ambao wameshanipa hint za kuwa huyu ni mwanasiasa anayependa sifa sio team player na mengineo to do with selfishness wanazotoa JF. Lakini kwakuwa ni mtu mzima na akili zangu nachukua kama half baked story itabidi nisikilize na upande wa Zitto halafu nakutana na interview kama ile ya Mkasi kumbuka maneno yanakuja spontaneously and transient (short lived) sina muda wa kutafakari zaidi wala yeye atoi maudhui ya kutosha kwanini alibidi afanye mwenyewe na kwanini ataji timu yake si ntaona huyu jamaa ni egoist.

Hata pale anaposema kamati za bunge utasikia kamati ya PAC mimi (always anaanza na I) ndio kiongozi wao kazi yetu ni abc, by the end it seemed even 'Salama Jabir' had heard enough and was not impressed (the evidence was in the body language) maana sio kawaida yake kumaliza interview vile mara nyingi utamsikia muda autupi nafasi na mengineo ya kumaliza kwa ustaarabu lakini pale ilikuwa enhe na nyie pia mmeishiwa maswali tuishie hapa, i dont know how you rate those things to me the're boring ndio maana wanasiasa huwa awatumii first person kwa sababu ya kutambua ushiriki wa wengine.

By the way mimi siongelei mambo yao ya internal naongelea matatizo mengine niliyo ya notice passively.
You have said it all. Hatashuleni tunafundishwa unapoandika mada usiipersonalise, hepuka kutumia mimi (I). Na kwa mwanasiasa aliyekomaa hafanyi hivyo. Hauwezi kuanzisha motion ya kuangusha Serikali - maana kumuondoa waziri mkuu ni sawa na kuangusha Serikali - peke yako na wenzako wote wa chama chako wakakuunga mkono ukafanikiwa! Na kisha ukasema ni mimi!
 
Pamoja na spining zako zote kwenye magazeti ya wahariri wasaka tonge lakini nikujuze tu kuwa kuanzia kesho 10-30/09/2014 ni siku ambazo historia ya Zitto Zuber Kabwe itafutwa rasmi ndani ya Chadema,

Ni siku ambazo lile joka lamdimu tulilokuwa tumelizimisha sasa tutaliua kabisa,

Ushauri wangu kwako muasisi na mkurugenzi wa kampuni ya upatu ya ACT ni kuwa jitahidi kutembea na kadi yetu kwani mda wowote tutaka uturudishie, ukigoma kutuletea tutaifuta hata ikiwa umeichimbia sanukuni kule Mwandiga.

Ni hayo tu mkuu, akufaaye kwa dhiki ndie rafiki wa kweli.

Ishukuriwe mahakama kwakuhifadhi wahalifu wa kisiasa,
 
Yaani ndugu yangu Zzk kama ungevumilia kidogo, urais 2020 ungekuhusu. Ila mpaka hapa ushapoteza uelekeo. Siasa za Afrika ni tofauti la Malaysia. Tubu urudi tujenge nchi
 
Mkuu unaonekana una matatizo mengi kuliko ZZK,punguza stress mzee ZZK hakupunguzii mlo wako kaka,kumchukia mtu bila kuwa na sababu za msingi na uhakika ni dhambi.
Kakudanganya nani...? Zitto ni sawa takataka jalalani ambayo hata kunguru hadhubutu kuinusa...
 
Yericko angekua msichana basi Dida wa mipasho ndo umefanana nae kwa tabia
Unaniachaga tu unapojiweka level moja na zzk wakati hata hakujui,na hata CDM yenyewe pamoja na kujipendekeza sana kwa mbowe wamekupiga chini miguu chali.....!!kiufupi huna cheo CDM zaidi ya mpiga vuvuzela waa matukio kama Mbwiga wa clouds
 
Zitto ni chuma cha reli ya mjerumani kilichoshindikana kwa sumu,ajali na hata kwa nguvu za giza toka kwa wahafidhina,zitto ni zaidi ya misukule yoooooote ya ufipa+wahafidhina wao.

Mtachonga sana kuhusu Zitto lakin ni sawa na kuukimbiza upepo.
 
Yericko angekua msichana basi Dida wa mipasho ndo umefanana nae kwa tabia
Unaniachaga tu unapojiweka level moja na zzk wakati hata hakujui,na hata CDM yenyewe pamoja na kujipendekeza sana kwa mbowe wamekupiga chini miguu chali.....!!kiufupi huna cheo CDM zaidi ya mpiga vuvuzela waa matukio kama Mbwiga wa clouds

Jiandaeni kumpokea rasmi huko kwenye kijiwe chenu cha ACT
 
Pamoja na spining zako zote kwenye magazeti ya wahariri wasaka tonge lakini nikujuze tu kuwa kuanzia kesho 10-30/09/2014 ni siku ambazo historia ya Zitto Zuber Kabwe itafutwa rasmi ndani ya Chadema,

Ni siku ambazo lile joka lamdimu tulilokuwa tumelizimisha sasa tutaliua kabisa,

Ushauri wangu kwako muasisi na mkurugenzi wa kampuni ya upatu ya ACT ni kuwa jitahidi kutembea na kadi yetu kwani mda wowote tutaka uturudishie, ukigoma kutuletea tutaifuta hata ikiwa umeichimbia sanukuni kule Mwandiga.

Ni hayo tu mkuu, akufaaye kwa dhiki ndie rafiki wa kweli.

Ishukuriwe mahakama kwakuhifadhi wahalifu wa kisiasa,

Chambua matukio haya kisha utapata jibu .
 

Attachments

  • 1287536933IMG_3797.JPG
    1287536933IMG_3797.JPG
    23.8 KB · Views: 991
  • ssa.jpg
    ssa.jpg
    8 KB · Views: 866
  • Mb wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe akimpeleka KM CHADEMA DR Slaa ndani ya ukumbi leo.JPG
    Mb wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe akimpeleka KM CHADEMA DR Slaa ndani ya ukumbi leo.JPG
    153.3 KB · Views: 1,016
  • zitto-mwanza.jpg
    zitto-mwanza.jpg
    48.3 KB · Views: 860
Pamoja na spining zako zote kwenye magazeti ya wahariri wasaka tonge lakini nikujuze tu kuwa kuanzia kesho 10-30/09/2014 ni siku ambazo historia ya Zitto Zuber Kabwe itafutwa rasmi ndani ya Chadema,

Ni siku ambazo lile joka lamdimu tulilokuwa tumelizimisha sasa tutaliua kabisa,

Ushauri wangu kwako muasisi na mkurugenzi wa kampuni ya upatu ya ACT ni kuwa jitahidi kutembea na kadi yetu kwani mda wowote tutaka uturudishie, ukigoma kutuletea tutaifuta hata ikiwa umeichimbia sanukuni kule Mwandiga.

Ni hayo tu mkuu, akufaaye kwa dhiki ndie rafiki wa kweli.

Ishukuriwe mahakama kwakuhifadhi wahalifu wa kisiasa,

sishauri Zitto au wafuasi wake kuja kujibizana na huyu dogo kwasababu hana hadhi na wala hatoshelezi kujibizana na Zitto. Zitto na hoha zake ni za Kitaifa na Utaifa-huyu dogo asiyejitambua hoja zake ni pale ubongo wake wa paka unapoishia.

mambo aliyoyafanya Zitto kwa Taifa hili hayafutwi na hayatofutika kwa kifuto unachotumia. umaarufu hauji kwa mpango unaotumia, fanya kaz dogo acha ujinga-ukomboz gan utafanywa na wewe, hii nchi bana yaan na wewe sasa umeshakuwa mashuhuri? mtajipaka hata vinyes ili mradi na wewe watu wakuone. acha kutumika dodoki wewe fanya kaz
 
Back
Top Bottom