Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,617
Napenda sana jinsi CHADEMA kinavyomshughulikia Zitto.Sio mpinzani, Sio mpigania haki kama anavyotuaminisha, Sio mwanaharakati,
ACT ni chama cha dola kilichokuja kuviua vyama vya upinzani somo ni CUF inavyokufa.
Ana maslahi ya kutumika bado ndani ya dola Inawezekana wanamtumia kwa kujua au yeye kutokujua.
Zitto bado hajawai kunishawishi kwamba yeye ni mpinzani never UKAWA kaeni macho kuelekea uchaguzi 2020.
Ukitaka kumjua Zitto vizuri tuulize sisi tuliofanya nae kazi.
Zitto ni NYOKA NYOKA NYOKA. Zitto hatakuja kuaminika hata atambike uchi mwaka mzima
Sent using Jamii Forums mobile app