UDINI itakimaliza CHADEMA tatizo la zitto ni uislam wake chama anachokipigania kina mrengo wa kueneza UKRISTO na misaada wanapokea CDU ya ujerumani.
Watu wengine hawana Kazi Kweli Zitto hata akikohoa lazima waropoke.....inaonekana unampenda Sana Zitto sema huwezi kumfikia ndo mana umechagua kumchukiaWakuu,
Sekunde chache zilizopita nimemsikia zito kwenye exclusive interview na Millard Ayo wa clouds fm akitamka yafuatayo ..."Wazee wetu walitusaidia kutupatia maendeleo ya kisiasa, sasa ni jukumu letu kuleta maendeleo ya kiuchumi. Ila naomba nisisitize, jukumu hili haliwezi kutekelezwa na mtu yeyote aliyezaliwa kabla ya uhuru.."
Swali: Zitto anataka nini hasa?ana haja gani ya kuendeleza siasa za controversy namna hii kila siku?Je anatafuta umaarufu?
Binafsi ninamshauri aamke. Sisi ndio wapiga kura, atuache tuamue.
LOVE COMES NATURALLY; HATE IS TAUGHT.....by nngu007 wa JFKwahiyo zitto ana tatizo, na tatizo ni uislamu wake.
Ok, kwahiyo uislamu ni tatizo.
UDINI itakimaliza CHADEMA tatizo la zitto ni uislam wake chama anachokipigania kina mrengo wa kueneza UKRISTO na misaada wanapokea CDU ya ujerumani.
Zitto is my next presidentLOVE COMES NATURALLY; HATE IS TAUGHT.....by nngu007 wa JF
kweli kabisa mara mia nmpigie kura dovutwa nijue moja kuwa nmelamba ghalasaHahahahahahaaa. . . Umenichekesha sana. Hahahahaaha!!
LOVE COMES NATURALLY; HATE IS TAUGHT.....by nngu007 wa JF
Zitto Ndio rais wangu hapa Tanzania mnataka hivyo hivyo hamtaki hivyo hivyoUmeingia kinyumenyume..embu geuka kwanza uangalie unakokwenda..utajikwaa
And the Public being through JF, ndivyo tunavyosomeka..Exactly. . .hate is taught in closed rooms and expressed in public.
mkuu chama chetu kinaongozwa na katiba ya chama, so hakuna kipengele chochote ambacho Zitto amevunja, pia inabidi tufike mahali tusiwe sensitive sana ktk kila neno koz tutajikuta tunapoteza lengo la kupigana na adui (CCM).
Plz lets buld our CDM.
Watu wengine hawana Kazi Kweli Zitto hata akikohoa lazima waropoke.....inaonekana unampenda Sana Zitto sema huwezi kumfikia ndo mana umechagua kumchukia
my take, je atagombea kwa chama gan?
Watu wengine hawana Kazi Kweli Zitto hata akikohoa lazima waropoke.....inaonekana unampenda Sana Zitto sema huwezi kumfikia ndo mana umechagua kumchukia