Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 87,506
- 151,752
Chadema ni chama kinachoishi kwa matukio. Baada ya Escrow kuisha, hawana jipya maana mbunifu na mweledi ni Zitto. Mbowe ni tapeli wa siasa.
Hakuna chama kisichoishi kwa matukio, sema jingine.
Chadema ni chama kinachoishi kwa matukio. Baada ya Escrow kuisha, hawana jipya maana mbunifu na mweledi ni Zitto. Mbowe ni tapeli wa siasa.
Umenena kweli mkuu, Shonza na wakina mtela ni ccm pure hawana nidhamu wao ilikuwa kutwa kukesha kukitukana chama na viongozi wetu ambao sisi wanachama tunawapenda na kuwaheshimu, hivyo kwa hali hii waache wabaki CCM. OVER
.....Zito hauna ujanja wa kuipa chadema masharti maana wewe bado ni mwanachama wa chadema
Mtu mwovu hutanguliza mashaka! Kwani baada ya kumuvua nyadhifa zake zote amekuwaje? Hujasikia kapata kuwa Katibu wa PAC kwa nchi za kusini mwa Afrika! Hujasikia kapata tuzo ya Jamii! Hujasikia akiendelea kuisimamia kamati ya PAC!
Maisha ya siasa yatakuwa vile wakati utakavyoamua ingawa si salama kwa chama kinachokuwa kuanza kuendekeza migogoro ya ndani kwani kupoteza kura hata moja ni hasara kubwa, kupoteza kiongozi mwenye ushawishi na mvuto wa kisiasa ni hasara pia.
Chadema waangalie jinsi ya kumaliza migogoro yao kwani kama kisa kilikuwa enyekiti wa chama basi ulishamalizika na mwenyekiti alishatangazwa.
Chadema ni chama kinachoishi kwa matukio. Baada ya Escrow kuisha, hawana jipya maana mbunifu na mweledi ni Zitto. Mbowe ni tapeli wa siasa.
Huku mitandaoni itabidi BEN SAANANE na YERIKO NYERERE nao waufyate.
Hakuna chama kisichoishi kwa matukio, sema jingine.
---- craap craap...
chadema bila zitto hawawezi kujiendesha kabisa hata iweje tulisema kitambo kwamba watampigia magoti tu.
Huyo nae atuondolee porojo zake, nimeshamuona hana maana kabisa toka kuiona ripoti yake mbovu ya PAC, sijawahi kuona ripoti mbovu ya bunge kama hiyo.
Uzuri wa siasa za Tanzania, hawa wote wanaojenga hoja na vioja wakisema hawataki Mhe. Zitto arudi CHADEMA, lakini ndiyo hawa hawa ambao kesho kama Mhe. Mbowe au Dkt. Slaa wakisema tunamrudisha Zitto kwenye kundi la CHADEMA, utawasikia tena wakisema, siasa hazina marafiki au maadui wa kudumu.
Siasa za Tanzania ni vichekesho vitupu!.
Ndiyo maana kuna hoja zinasema, siasa za Tanzania zimejaa misukule!
Shonza leo zito kawa mbaya tena..
diwani fake.
nivigumu chama kumpigia mwanachama magoti ila nirahisi mwanachama kipigia chama magoti ...zzk kama unataka kurudi we rudi tu lkn usitafute sababu!