AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,050
we leo unaongea hivi,kweli wanafiki na vigeugeu wapo wengi
We mpuuzi huna hoja, unadandia hoja bute utapasuka msamba, unafiki ni ule uoga wa kutoa mawazo yako, mimi hiwa si mnafiki ID ni moja siku zote hapa JF, ninachukia na kupenda mtu kwa matendo na sio ushabiki mandazi kama unabisha muulize Mtela nilivyomgeukia mbogo baada ya kuleta ujinga wake CHADEMA.
Pole.