Zitto: Nina sharti moja tu kurudi CHADEMA

Zitto: Nina sharti moja tu kurudi CHADEMA

Tatizo la Zitto ni harakati zake za kutaka kugombea Uenyekiti CHADEMA

Naomba kipengele kwenye katiba ya chama inayosema ukitaka kugombea uwenyekiti unanyima ndio mnavyo jidanganya hapo lumumba
 
Hili sakata la ZITTO na chama chake likiisha, wa kwanza kujiona MAVI ndani ya CHADEMA atakuwa LISSU na MNYIKA kwa jnsi ambavyo walikuwa wakimtukana ZITTO kwenye vyombo vya habari na majukwaa ya siasa
Pia LEMA na MBOWE sijui wataficha wapi nyuso zao!
 
Tatizo la Zitto ni harakati zake za kutaka kugombea Uenyekiti CHADEMA
Kwa hiyo wanamrudisha kwa vile uchaguzi umekwisha? Dogo mbona anakubali kiahisi kutumika kama KARAI LA ZEGE? Nyumba ikishajengwa linatupwa nje kabisa. Wanataka awavushe tena 2015 halafu waanze kumfitini
 
Hili sakata la ZITTO na chama chake likiisha, wa kwanza kujiona MAVI ndani ya CHADEMA atakuwa LISSU na MNYIKA kwa jnsi ambavyo walikuwa wakimtukana ZITTO kwenye vyombo vya habari na majukwaa ya siasa

Umepewa usemaji wa Chama lini? Leo ruzuku ya buku saba hakuna?
 
Hapa nani kapiga magoti? Kwanza elewa kuwa Zitto bado ni mwanachama wa Chadema na hata huko Bungeni yupo kwa tiketi ya Chadema. Yaliyotokea ni migogoro ya "kifamilia" ndani ambayo inaweza kusuluhishwa au kushindwa kusuluhishika na wenye chama sio
Mazoba ya nje kama wewe!

Mbona nyie ndani ya CCM wapo watu kama Tambwe Hiza, Msabaha, Nzazugwano nk waliwaacha na waliporudi mliwapa vyeo ina maana bila waochama chenu kingekufa?

Umemsahau WASIRA ambae wanMtegemea kwa 100% naye alikuwa upinzani
 
Tatizo la Zitto ni harakati zake za kutaka kugombea Uenyekiti CHADEMA
Ndiyo maana ACT wakatumia busara ku-reserve uenyekiti kwa mwanasiasa machachari Zitto ili tatizo lisijirudie huko.
 
Naomba kipengele kwenye katiba ya chama inayosema ukitaka kugombea uwenyekiti unanyima ndio mnavyo jidanganya hapo lumumba
Ndicho tunachoshangaa kwa nini ZITTO alizuiwq kugombea wakati hakuna kipengele kwenye katiba yenu kilichokuwa kinamzuia
 
Nyie mlikuwa mnafurahia kwa sababu kidume chenu ZITTO kinarudi kuokoa chama ambacho kilibadili jina na kujiita UKAWA kuepuka kufutika?

Unadhani Chadema ni ya kipumbavu kama wewe.Shame!!
 
Walidhani wana uwezo wa kuua chama sasa wameumbuka
Hivi Chma ndicho kilimtuma LISSU aende kwenye media kutangaza kuwa ZITTO ni msaliti? LEO LISSU ataficha wapi uso Mume wake ZITTO anaporudi?
 
Ugomvi na migongano ni hali ya kawaida kwa binadamu, namsihi ZZK arudi Chadema, Chadema nao wampokee pasipo masharti yyt magumu, sina uhakika km Mbowe atahitaji kugombea uenyekiti tena wa chama baada ya kipindi hiki kupita, hivyo nashauri Zitto aandaliwe kuwa mwenyekiti anaefuata baada ya Mbowe kipindi chake kuisha...kumbuka Zitto ni mwanaharakati na anao wafuasi wengi ndani ya chama
Nawasilisha
uenyekiti hapana mkuu.... ni mamluki na mbinafsi.... kumsamehe sawa ila ajue chadema iko juu yake sio mambo ya mrema na nccr kwamba kuna watu wako huu ya chama..
 
Ndicho tunachoshangaa kwa nini ZITTO alizuiwq kugombea wakati hakuna kipengele kwenye katiba yenu kilichokuwa kinamzuia

Naona unajitekenya mwenyewe na unacheka mwenyewe kumbe hata makasa ujui, endelea kufungiwa kwenye vibuyu vya Lumumba
 
Back
Top Bottom