Zitto: Nina sharti moja tu kurudi CHADEMA

Zitto: Nina sharti moja tu kurudi CHADEMA

Kumbe hawa wote walikuwa CDM? Du basi kuna shida CDM kwa nini wapambanaji wote wanapita pale na kukimbia, nadhani kuna shida ya kuadministration ambayo inatakiwa kuwa addressed

Mkuu migogoro ni kawaida ndani ya taasisi yeyote hivyo ni muhimu reconciliation ikafanyika ili kuimarisha chama.
 
asante sana mkuu .

Mkuu ni lazima watu tuwe wakweli..

Nikikumbuka usaliti roho inaniuma sana.

Nikikumbuka kesi feki za ugaidi ni kwa sababu ya wasaliti waliokubali kununuliwa na CCM.

Nikikumbuka kila siku ni habari feki za kuwachafua kwenye mitandao viongozi wakuu Mbowe na Dr Slaa.

Wahuni wachache wakawa wanatoa habari kwenye mitandao na siri zote za chama zikawa njenje.Kamati Kuu ikikutana tu siri zinavuja hata kabla hakijaisha.

Eti Shonza arudi Chadema.My Foot...Who is that Lady?
 
Zitto niwa kuonewa huruma na kwa hakika yuko kwenye state of denial.

Mbali na waraka yeye na kitila waliandaa petition ya kupingana na chama na kitila alichangia 5milioni nyaraka zote zipo halafu mtu huyuhuyu pamoja na kuuza nafasi za ubunge anataka aombwe msamaha na chama.

Labda kama hicho chama ni chauma au act sio chadema
 
Kumbe hawa wote walikuwa CDM? Du basi kuna shida CDM kwa nini wapambanaji wote wanapita pale na kukimbia, nadhani kuna shida ya kuadministration ambayo inatakiwa kuwa addressed

Binti akiwa bora anaolewa. Ila wakati wakuolewa anaambiwa " Utaachana na wazazi wako na kushikamana na mumeo" Unataka kuniambia wazazi wake walikuwa na shida ya Adminstration? Wao sii ndio waliomlea vyema mpaka akaonekana bora? The same na hao waliotajwa, maana walilelewa vyema kisiasa ndio sababu wanang'ara huko waliko.
 
Watu tuwe serious Zitto anaweza wekea masharti CHADEMA?

Anatapatapa tu.Nyota yake ya kisiasa imeshaisha.Ni politically frustrated.

Uchaguzi mwakani hajui ashike tawi la chama kipi kugombea mwakani.Kila akiangalia vyama vingine vinavyoonekana imara vimeshaungana kuunda UKAWA.Hivyo akitaka kugombea chama chochote lazima apate approval ya UKAWA ambayo anajua kuipata si rahisi.

Hapo ndipo jasho linamtoka kuwa aweza pigwa chini na vyama vyote vinavyounda UKAWA akashindwa kugombea ubunge ndio anajifanya ohhhh nataka kurudi kwa masharti!!!!!!!!!

Na ndicho ninachoshangaa..

Mtu mmoja ataiwekeaje masharti Taasisi?

Eti Chadema imwombe radhi.....

Tuache ujinga jamani.Mambo ya namna hii ndiyo ya kujifanya bora kuliko taasisi.
 
Tofauti ya Zitto na hawa ni kuwa yeye hajawahi kusimama hadharani na kuitukana Chadema hata siku moja. Hao vijana ni waste product ambayo haifai hata kugusa kwa mkono. Walitumwa watukane basi wacha wakae na matusi yao hukohuko ambako walidhani wamefika ila sasa wamegundua kuwa walitumika kama toilet paper.

Umenena kweli mkuu, Shonza na wakina mtela ni ccm pure hawana nidhamu wao ilikuwa kutwa kukesha kukitukana chama na viongozi wetu ambao sisi wanachama tunawapenda na kuwaheshimu, hivyo kwa hali hii waache wabaki CCM. OVER
 
Huyo nae atuondolee porojo zake, nimeshamuona hana maana kabisa toka kuiona ripoti yake mbovu ya PAC, sijawahi kuona ripoti mbovu ya bunge kama hiyo.
 
Mkuu ni lazima watu tuwe wakweli..

Nikikumbuka usaliti roho inaniuma sana.

Nikikumbuka kesi feki za ugaidi ni kwa sababu ya wasaliti waliokubali kununuliwa na CCM.

Nikikumbuka kila siku ni habari feki za kuwachafua kwenye mitandao viongozi wakuu Mbowe na Dr Slaa.

Wahuni wachache wakawa wanatoa habari kwenye mitandao na siri zote za chama zikawa njenje.Kamati Kuu ikikutana tu siri zinavuja hata kabla hakijaisha.

Eti Shonza arudi Chadema.My Foot...Who is that Lady?

Umenikbusha kitu mkuu

Tangu zzk na wasaliti wenzake wafukuzwe sijaona siri za kamati kuu zikivuja hovyohovyo kwenye mitandao.

Hii ni ishara kuwa alikuwa mvujishaji wa siri za vikao vya chama.

Hivi ili video akiwa analia kwa kugalagala kule morogoro baada ya kuelezwa usaliti wake imtaiweka lini watu waone unafiki wake.
 
Media zitamuharibia Zaidi Zitto asipokuwa makini... Ile Taarifa ya Upelelezi dhidi yake ilikuwa na ukweli mtupu 100%, mikakati yao dhidi ya CHADEMA akiwatumia Shonza, Mwampamba et al unajulikana... Fedha kutoka CRDB hadi Ujerumani na kurejea kwake na kasha kuzitawanya via Mpesa, Tigo Pesa zinajulikana...

Ada ya MJA hunena Uungwana ni vitendo... Aombe msamaha kiutu uzima, then awekwe under probation ... then afanye juhudi za makusudi kukijenga chama ...
 
Chadema hapa mlienda mchomo kwa zotto
Ukweli tuuzungumze
 
Hakuna aliye juu ya chama.Kuna watu wanatafuta kutaka kuwa maarufu kuliko chama. Zitto akitaka kurudi Chadema anapaswa kuomba radhi ajutie makosa yake na huu ndiyo msimamo rasmi..

Huo ndio ''Msimamo rasmi'' wa CHADEMA?

Tatizo sasa Zitto anasema hajui makosa yake ni yepi na ndio sababu mjadala ni muhimu kufanyika kwa kuwa jambo moja linaweza kuwa na maana tofauti kati ya watu wawili. Kuna mambo ambayo Zitto anaona labda sio makosa (kwa mfano kusema kwamba accounts za chama hazijakaguliwa na CAG..) wakati chama kinaona hilo ni kosa na usaliti wa hali ya juu kwa kuwa Zitto kama Katibu msaidizi, alikuwa na uwezo au nafasi ya kulifanyia kazi kabla ya ''kuropoka'' nje
 
Umenikbusha kitu mkuu

Tangu zzk na wasaliti wenzake wafukuzwe sijaona siri za kamati kuu zikivuja hovyohovyo kwenye mitandao.

Hii ni ishara kuwa alikuwa mvujishaji wa siri za vikao vya chama.

Hivi ili video akiwa analia kwa kugalagala kule morogoro baada ya kuelezwa usaliti wake imtaiweka lini watu waone unafiki wake.

Hakuna kinachonikera kama eti Chama kimuombe radhi mtu
 
Acha arudi tu nitampokea lakini aache tabia ya kujibeba kuliko kubeba chama. Unasikia Zitto???????
 
Zitto kumaliza tofauti zake na chama chake ni jambo zuri,LAKINI si kwa kukipangia masharti kama hivyo,hapo ni kutaka kujiweka juu ya chama..na kama anategemea hilo kutokea atasubiri sana vinginevyo wataendelea kushirikiana tu bungeni kwenye maswala yanayohusu taifa na yenye tija kwa taifa letu
 
Asante kamanda Molemo, hakuna aliye juu ya chama.. Chama kwanza mtu baadae..
 
Mkuu ni lazima watu tuwe wakweli..

Nikikumbuka usaliti roho inaniuma sana.

Nikikumbuka kesi feki za ugaidi ni kwa sababu ya wasaliti waliokubali kununuliwa na CCM.

Nikikumbuka kila siku ni habari feki za kuwachafua kwenye mitandao viongozi wakuu Mbowe na Dr Slaa.

Wahuni wachache wakawa wanatoa habari kwenye mitandao na siri zote za chama zikawa njenje.Kamati Kuu ikikutana tu siri zinavuja hata kabla hakijaisha.

Eti Shonza arudi Chadema.My Foot...Who is that Lady?
Project ACT inaelekea kukwama, ndiyo chanzo cha mijadla hii.

Nikikumbuka alivyokuwa wa kwanza kukimbilia Afrika kusini eti kumsalimu Kibanda baada ya kudhuriwa nakosa kauli. Kweli shetani hana chembe ya aibu.
 
Back
Top Bottom