kidole007
JF-Expert Member
- Dec 22, 2012
- 3,094
- 1,878
mijitu isiyo jielewaunaweza uthibitisha usalit wa ZZK au n maneno tu
mlimvua vyeo kwa sabab gani?
au upo upo hujui ata kinacho endelea
mijitu isiyo jielewaunaweza uthibitisha usalit wa ZZK au n maneno tu
That is obvious, and beyond the scope of my point.
Next ni kwamba wananchi wtakosa imani na chama kwa migogoro msururu public.
Kama huu ndio mtazamo wa msomi bornagain basi ni dhahiri kuwa nchi hii ina shida kubwa sana.
Yaani kwa akili yako fupi unataka kutudanganya kuwa wasomi wote walikuwa mali ya ccm? unasahau kuwa walikuwepo wasomi wengi tu waliokuwa against ccm?
Dkt. Fortunatus Masha, Dkt. Emmanuel Makaidi, Dkt. John Lifa Chipaka, Kassanga Tumbo, Christopher Ngaiza kwa kutaja wachache ni miongoni mwa wasomi wazalendo waliokuwa wanajitambua na hawakuwa vibaraka wa ccm kama ulivyo wewe.
You see! To be honesty if that's what Mhe. want ,to my opinion he is on the right move but wrong time! Kiranga i would be happy if you put bit of you are extended remark on this.
Next ni kwamba wananchi watakosa imani na chama kwa migogoro msururu public.
My principle, anywhwre in life is that, ig is wrong to force oneself where you are not wanted by the majority.
Even if you have a court order to be there.
I am not so sure that Zitto is not wanted by the majority, but it appears so.
But that personal code of ethics of mine does not mean Zitto must abscond his constitutional right.
What is particularly shameful is that the whole kerfuffle is weakening CHADEMA.
Baada ya maamuzi ya Kamati Kuu chama kimetulia maradufu.Ni mwendawazimu tu atakayedhani eti kuna mgogoro ndani ya Chadema..
Na ndiyo maana wafuasi wote wa Lumumba buku 7 wapo hapa.Utashangaa wana maslahi gani ndani ya Chadema eti wanataka Chadema imrudishe mwanachama wake
Tena sio tu pekee Zitto kurudi bali tunataka pia na Kafulila, Moses Machali na Felix Mkosamali wote warudi CHADEMA, Siasa ni pamoja na kusamehana kwa maslai mapana ya taifa.
Naomba viongozi wangu wa CHADEMA taifa, wasikie kilio cha sisi wanachama wao.
Mkuu mbona kama na wewe unajichanganya, unasema hajawai kufukuzwa wakati huo huo unasema uongozi haujawai kuutaarifu umma juu ya kumrejesha kundini.
Chadema hatumuhitaji sana Zitto kama yeye anavyoihitaji Chadema.
Sitarajii kabisa eti viongozi wetu wanamuita zzk katika meza ya mazungumzo ama maridhiano kama anavyosema.
Kama yeye anaomba kukutana na viongozi wetu ili kuzungumzia hatma yake baada ya kubaini kuwa chama chake cha wasaliti ACT hakiwezi kumtoa basi atume maombi rasmi kwa uongozi wetu ili afikiriwe.
Kama anajidanganya kuwa hajui kosa lake basi ni dhahiri kuwa ni mwepesi wa kusahau na asidhani na sisi ni wepesi wa kusahahau. Asifikiri kuwa anaweza kutuchezea akili kwa maneno ya hadaa kuwa hajui kosa lake.
Na mimi niseme wazi kabisa kuwa tangu Zitto "ametimuliwa" kutoka chamani ni ukweli ulio dhahiri kuwa chama kimetulia. Hakuna uvujaji wa taarifa za chama kama ilivyokuwa hapo siku za nyuma wakati aki Naibu Katibu Mkuu. Hakuna maneno ya uchonganishi na fitna baina ya viongozi wetu wa juu. Tangu ameondoka hatujasikia japo tetesi tu za malumbano baina ya viongozi wetu wakuu.
Hii inadhihirisha kuwa pamoja na mambo mengine mengi ya kishenzi aliyokuya anayafanya, zzk alikuwa ni mfitini mkubwa sana. Ndio maana kuondoka kwake imekuwa ni ahueni kwa ustawi wa chama.
Kama yeye anadai kuwa ametu-mis, basi atambue kuwa sisi hatujam-mis hata kidogo.
Mshukuru sana Mbowe kwa.kukupa kibarua hapo makao makuu kwa sababu mnatoka kijiji kimoja. La sivyo ungekuwa Kishummundu sasa hivi unauza mbege
Mkuu hao wakina Shonza ni magamba pure na, hawafai kurudi.
Zitto ni CHADEMA damu, anaweza kufarakana na viongozi wake au wanachama wachache kutokana mistakes mbalimbali kama ilivyo kawaida ya ubinadamu, ila kamwe hawezi kukiacha chama (CHADEMA),
Kwa kuweka rekodi sawa, Zitto hata baada ya kufukuzwa CHADEMA hakuthubutu kukipaka chama matope bali yeye alikaa kimya tofauti na wahuni wengine wakina Shonza. (Silence is the source of great power), hali hii inathibitisha kwamba Zitto moyo wake bado upo CHADEMA na sio ACT, Yeye mwenyewe alishasema kuwa atakuwa wa mwisho kuondoka CHADEMA yaani kifo pekee ndiyo kitamtenganisha na CHADEMA na sio ubaya, wema, mtu au mazingira.
Pia lazima tujue hakuna aliyekamilika kwani hata biblia inasema hivi " Kama tukisema hatuna dhambi(mapungufu) tunakuwa tunajidanganya wenyewe nafsini mwetu tena zaidi twamfanya Mungu kuwa ni muongo"
Kwahiyo tunapoendelea kutafakari hoja hii ya uanachama wa Zitto, ni hivi anayejiona mkamilifu na mzalendo zaidi hata ya wale walioanzisha na kuikuza CHADEMA, basi na awe wa kwanza kumpiga Zitto mawe. OVER