Zitto: Ndio ninautaka urais

Zitto: Ndio ninautaka urais

Status
Not open for further replies.
Ben ameshanyea kambi anachofanya ni kutapatapa aonekane amekufa kishujaa.



Afadhali ume declare interest, kama unawapenda sana rafiki zako kina Ben washauri waende ground level waonekane na si kushinda JF wakijibizana na members, halafu the next day wanataka washindane na kina Heche wanaonyeshewa mvua Arumeru mashariki kukiimarisha chama, hiyo haikubaliki. Muulize Ben leo amekifanyia nini chama maana toka asubuhi yuko JF.

Ndiyo nina likizo fupi naitumia ipasavyo.Kwani unadhani ni lazima wote tuende Arumeru?Are we that desparate?

Ben sitaki maneno meengi, tuambie leo tangu asubuhi umekifanyia nini chama, maana nakuona uko JF toka usiku wa manane.
Unataka niwajibike kwa nani? Wewe ulipokuwa unaniona ulikuwa wapi?Nikuambie nimefanya nini?wewe ni nani? wewe na nani hasa?
Huyu jamaa nilishawaambia ni mbishi aliyepitiliza.Ila ana roho ngumu sana hana tofauti na Gaddafi au Mugabe.misimamo yake mikali ni tatizo.Yaani pamoja na mashambulizi yote yeye anakomaa hadi muda huu.huu ujasiri wake huu angeutumia kupambana na CCM kwa kuisadia bavicha chadema ingefika mbali.Ben fanya kazi na heche muisaidie bavicha!


Nimsaidie heche? unamaanisha niisadie BAVICHA ama? Ndiyo naisaidia hata huku kanda ya ziwa naisaidia au unataka hadi nipige picha.

Ufinyu wa mawazo ndiyo utakaotumaliza.Uache kupandikiza haya unayopandikiza kwa watu.Kwanza rudini kwenye mada mjadili mada iliyoko mezani.Mnaanza kujadili wachezaji mnaachana na mchezo.Mtaishia kuwachukia wachezaji bure,chukieni mchezo (Hate the game)

Hizi ni dalili za Ombwe,yes hili ni ombwe la fikra.Hakuna hoja ambayo mnajenga zaidi ya majungu tu.Kazi ipo mbele.....!

Nuclear1,Unajua tunachojadili hapa ni more than these petty issues unazoana hapa? Kukabiliana na CCM tunahitaji kujiimarisha zaidi ya hapa.huwezi kuikosoa CCM kwa utendaji mbovu halafu tayari wewe ukashindwa kusimamia unachokiamini.NCCR-Mageuzi ilisambaratika kutokana na makundi na uminyaji wa Demokrasia.Tukienda hivi tutaandaa taifa la hovyo huko baadae

NCCR-Mageuzi 1995-2000,Ilikuwa strong lakini ilifeli. My position is,I took away from the episode the fact that Tanzanians must be led and led right. However, some political leaders in the country lack the understanding for political victory. They lack the give and take in the democratic setting.

They might not be sincere until after they discover that they have failed. I don’t want to apportion blames but why it failed was because they were not committed sincerely to giving and taking; to compromise; to accommodate one another; even to take risk.

We all learnt from it; I don’t want to apportion blames. Now is the time to start early, to start building that understanding, that cohesion that can really provide a strong alternative or consolidating the prevailing movement. That to me is what we should do at this moment and we are working hard at it. We are still talking; you will have some people behaving like house rats immediately they are given some little fund. They’ll go out and abandon the ship.

They never progress in their calling anyway but engage in political prostitution to gain something for themselves. You equally have scavengers around corridor of powers that will not make it possible but I won’t blame the other party not wanting to get together anyway. It is their prayer and it makes efforts to destabilize and sow seeds of discord among you. They must have their destabilizers; they must have their surrogates one way or the other; if you are not conscious of that, you are doomed to fail. So, going forward, we will. We will find apples and apples, not apples and oranges. That is the difficult part.

Naamini uimara wa Chadema na umoja ndiyo utakaoing'oa CCM madarakani.Hatutaki kufanana tena na NCCR-Mageuzi ya 1995-2000.Tuendelee kusizitiza juu ya demokrasia katika uwanja huu wa vyama vingi bila kushika mateka hisia na maslahi ya watanzania na taifa kwa ujumla.

Subiri uone.......!
 
Mkuu tuko imara sana, hicho kichwa kitapondwa tu si unajua ukitaka kumuua nyoka usishike mkia na kumchinja kobe inahitaji timing. Hawa wengine kina Ben ni nguvu ya komputa tu hana hata tawi analoliongoza wakisaidiwa na majeshi ya kukodi kina Kimbunga, paulss & co. wanaodai eti wao hawana rangi.
Achana na wanafki, hivi inawezekana vipi jitu linashinda jukwaa la siasa siku zote halafu akwambiye hana chama anachokiunga mkono!!.....huu ni utoto, na kuna mwingine anaitwa Mohamed Shossi tangu CUF ife eti naye anajifanya hana chama wanafki wakubwa hawa!!
 
Mkuu, Zitto hafai kuwa Rais wa nchi hii labda awe Rais wa Miss Tanzania na TFF,......ni sawa asivyofaa yule mtoto wa malecela kuwa Mbunge wa East Africa, yule labda awe meneja wa Ngwasuma tu.

- Ha! ha! ha! ha!, anyways mimi sipo kwenye hoja za majina kwa sababu hazina tija kwa taifa, ninachojadili ni policy ya Vijana ambayo hapa kwa upinzani wenu kwa Zitto mnaiua bila kujua, kwamba wewe unafaa au hufai ni absolutely waste of time, mnafikiri mnamuua Zitto kumbe mnaua dhana ya Vijana wote kuwa viongozi it stinks!

The ishu ni Vijana sio Zitto jamani!, otherwise kuhusu hukumu zako ni thanks God kwamba wewe sio uamuzi wa mwisho wa nani awe na nani asiwe, kwa mwalimu wa kama wewe ni sad sana kujiiingiza na ideas za kuhukumu watu usiowajua!

Es!
 
Wakristo tupo wengi pia,nadhani sasa ni wakati wa wapentekoste/sabato/lutheri/Anglikana maana wakatoliki mwalimu nyerere na Mkapa wanawatosha au unasemaje Nelsweeter?(Hili alikwisha lionya mwalimu kuwa dhambi ya ubaguzi haiishii kwa uislamu na ukristo tu bali itaendelea mpaka mtaanza kubaguana kwa vimo vyenu!!Sijui kwanini watanzania tuna mawazo mgando namna hii Aaaaghh!!)

Sasa ni zamu ya WALOKOLE, maana waislam 2 na waroma 2 tayari, Sipati picha IKULU na Mapambio
 
Ndiyo nina likizo fupi naitumia ipasavyo.Kwani unadhani ni lazima wote tuende Arumeru?Are we that desparate?
Usidanganye watu eti una likizo fupi kwani unacheo gani ndani ya chama au Bavicha, utaendelea kuota hivyo hivyo, you are useless in CDM.
 
Kwa akili zako ukwaju no wonder hata Mwai Kibaki alishinda uchaguzi!!......
Haya mkuu wewe mwenye akili za ubuyu. Mimi huwa sijiingizi kwenye masuala ambayo yalishatolewa maamuzi na kisha kukubaliwa.

Ur total talking nonsense, unataka ujibiwe vipi!!..........
Kama ulikuwa una jibu basi ungejibu tu kuliko kutukana.
 
Usidanganye watu eti una likizo fupi kwani unacheo gani ndani ya chama au Bavicha, utaendelea kuota hivyo hivyo, you are useless in CDM.

Angalia hizi fikra...Loh!

Kwako wewe unadhani mtu kuwa likizo ni lazima iwe ya kisiasa.Maskini hujui kama kuna maisha nje ya siasa.Ndiyo maana niliwashauri mtafute kazi za kufanya acheni kujipendekeza na kutumiwa hovyo huku mkitumia ID fake! Majungu hayatawasaidia kimaisha.Mtaishia kuhama vyama tu kila siku na umri umeshapita.

Halafu ukishindwa kuleta hoja usitukane,usitegemee mimi naogopa hayo maneno.
 
- Ha! ha! ha! ha!, anyways mimi sipo kwenye hoja za majina kwa sababu hazina tija kwa taifa, ninachojadili ni policy ya Vijana ambayo hapa kwa upinzani wenu kwa Zitto mnaiua bila kujua, kwamba wewe unafaa au hufai ni absolutely waste of time, mnafikiri mnamuua Zitto kumbe mnaua dhana ya Vijana wote kuwa viongozi it stinks!

The ishu ni Vijana sio Zitto jamani!, otherwise kuhusu hukumu zako ni thanks God kwamba wewe sio uamuzi wa mwisho wa nani awe na nani asiwe, kwa mwalimu wa kama wewe ni sad sana kujiiingiza na ideas za kuhukumu watu usiowajua!

Es!

Ebu angalia vijana wenyewe ndio kama huyu nitaendelea kupinga hii dhana ya ujana, huyu ni akili ukwaju.

user-offline.png
HKigwangalla

Yesterday 21:23
#1
Verified User Array


Join Date : 6th February 2008
Location : Dar es salaam, Tanzania
Posts : 233
Rep Power : 562
Likes Received196Likes Given42


[h=2]
icon1.png
Benki Kuu Imefanikiwa Kushusha Inflation Rate Lakini Imetuacha na Maswali Mengi![/h]
Benki Kuu ya Tanzania inapaswa kupongezwa kwa jitihada za mara moja walizofanya kushusha mfumuko wa bei nchini, na pia kupandisha thamani ya shilingi ya Kitanzania. Katika miezi mitatu iliyopita mfumuko wa bei za vyakula umeteremka kutoka 27.8% mpaka 26.7% na inflation kwa ujumla (general inflation rate) imeshuka kutoka 19.8% mpaka 19.4%. Pia thamani ya shilingi ya Kitanzania imepanda. Kiwango cha kubadilisha dola 1 ya kimarekani kwa shilingi ya kitanzania ilikuwa 1900, leo hii ni 1598. Hongera Gavana Benno Ndulu kwa kazi nzuri. japokuwa nadhani huu ni mpango wa muda mfupi na tusiutegemee sana kama Taifa kuwa utadumu. Lengo likiwa kushusha mfumuko wa bei mpaka tarakimu moja kufikia June (ahadi ya BoT), kwa vyovyote vile inabidi muumize kichwa zaidi, na zaidi ya yote tuweke mipango ya muda mrefu ya kuimarisha uchumi wetu na hususani kupunguza imports. Je watafanikiwa, sijui, lakini ni matarajio na matamanio yetu kuwa watafika; tunawaombea dua. Wenzangu na mie wanashindwa kukuelewa ukiwapa hizi tarakimu, wao wanataka waone tu bei ya dagaa, maharage na sembe imeshuka maana wengi wao hata sukari haiwahusu sana. Je, tunaweza kukiri kuwa tumeshindwa kuzalisha misosi kiasi cha kutosha kushusha bei za chakula nchini? Ama tumeshindwa kutengeneza mfumo mzuri wa kusambaza chakula nchini kiasi kwamba watu wa nyanda za juu kusini wanakosa pa kuweka chakula ilhali Nzega wanakufa na njaa?
 
Kwani Zitto amesigina katiba?

Duh Mkuu unanikumbusha Leo Lwekamwa alipopandisha jazba pale Jangwani na kusigina katiba. Baadaye Mrema akaja akamnyang'anya Chama na sasa yuko kwenye mambo ya mpira! Siasa bwana kaazi kweli kweli.
 
Ebu angalia vijana wenyewe ndio kama huyu nitaendelea kupinga hii dhana ya ujana, huyu ni akili ukwaju.

user-offline.png
HKigwangalla

Yesterday 21:23
#1
Verified User Array


Join Date : 6th February 2008
Location : Dar es salaam, Tanzania
Posts : 233
Rep Power : 562
Likes Received196Likes Given42


icon1.png
Benki Kuu Imefanikiwa Kushusha Inflation Rate Lakini Imetuacha na Maswali Mengi!


Benki Kuu ya Tanzania inapaswa kupongezwa kwa jitihada za mara moja walizofanya kushusha mfumuko wa bei nchini, na pia kupandisha thamani ya shilingi ya Kitanzania. Katika miezi mitatu iliyopita mfumuko wa bei za vyakula umeteremka kutoka 27.8% mpaka 26.7% na inflation kwa ujumla (general inflation rate) imeshuka kutoka 19.8% mpaka 19.4%. Pia thamani ya shilingi ya Kitanzania imepanda. Kiwango cha kubadilisha dola 1 ya kimarekani kwa shilingi ya kitanzania ilikuwa 1900, leo hii ni 1598. Hongera Gavana Benno Ndulu kwa kazi nzuri. japokuwa nadhani huu ni mpango wa muda mfupi na tusiutegemee sana kama Taifa kuwa utadumu. Lengo likiwa kushusha mfumuko wa bei mpaka tarakimu moja kufikia June (ahadi ya BoT), kwa vyovyote vile inabidi muumize kichwa zaidi, na zaidi ya yote tuweke mipango ya muda mrefu ya kuimarisha uchumi wetu na hususani kupunguza imports. Je watafanikiwa, sijui, lakini ni matarajio na matamanio yetu kuwa watafika; tunawaombea dua. Wenzangu na mie wanashindwa kukuelewa ukiwapa hizi tarakimu, wao wanataka waone tu bei ya dagaa, maharage na sembe imeshuka maana wengi wao hata sukari haiwahusu sana. Je, tunaweza kukiri kuwa tumeshindwa kuzalisha misosi kiasi cha kutosha kushusha bei za chakula nchini? Ama tumeshindwa kutengeneza mfumo mzuri wa kusambaza chakula nchini kiasi kwamba watu wa nyanda za juu kusini wanakosa pa kuweka chakula ilhali Nzega wanakufa na njaa?
\

hapo kibaya nini?au il mradi upinge tu
 
Angalia hizi fikra...Loh!

Kwako wewe unadhani mtu kuwa likizo ni lazima iwe ya kisiasa.Maskini hujui kama kuna maisha nje ya siasa.Ndiyo maana niliwashauri mtafute kazi za kufanya acheni kujipendekeza na kutumiwa hovyo huku mkitumia ID fake! Majungu hayatawasaidia kimaisha.Mtaishia kuhama vyama tu kila siku na umri umeshapita.

Halafu ukishindwa kuleta hoja usitukane,usitegemee mimi naogopa hayo maneno.
Ha ha haaaa eti nimetumwa na Slaa kanda ya ziwa mara niko likizo galasa....ulidhani usaliti huwa unalipa hayo ndiyo matunda yake mtakuwa mnaishia reception makao makuu.

attachment.php
 
nimegundua chadema wengi ni zidumu fikra za mwenyekiti. Anachoongea mbowe na slaa ndio sheria huu sio ukombozi wa kifikra.

Mkuu uko sahihi kabisa ila ongezea na hili Mushumbusi nae aongeacho hata Mbowe hawezi kupinga si unajua Kibabu kibachela kilivyoshikwa
 
- Ha! ha! ha! ha!, anyways mimi sipo kwenye hoja za majina kwa sababu hazina tija kwa taifa, ninachojadili ni policy ya Vijana ambayo hapa kwa upinzani wenu kwa Zitto mnaiua bila kujua, kwamba wewe unafaa au hufai ni absolutely waste of time, mnafikiri mnamuua Zitto kumbe mnaua dhana ya Vijana wote kuwa viongozi it stinks!

The ishu ni Vijana sio Zitto jamani!, otherwise kuhusu hukumu zako ni thanks God kwamba wewe sio uamuzi wa mwisho wa nani awe na nani asiwe, kwa mwalimu wa kama wewe ni sad sana kujiiingiza na ideas za kuhukumu watu usiowajua!

Es!

Field Marshal ES,

We have to train and retrain ourselves for democratic rule. Ni lazima tupanue wigo wa kidemokrasia,nafasi ya Urais isitengwe kwa watu wacache tu.Unaweka minimum Age iwe 40,halafu hauweki ukomo.Kwa wale biologists na wanasaikolojia wanaelewa umuhimu wa kuweka kikomo katika hili.Kama kijana mwenye miaka 30 atakuwa hajakomaa kuwa mkuu wa nchi,iweje tutoe mwanya kwa vikongwe wenye miaka 90+ kuwa wakuu wa nchi tukiwa tunajua uwezo wao kifikra na kimwili unakuwa umepungua? Suala la umri tu haliwezi kuwa kigezo,ni lazima tuzingatie uwezo.Kuna vijana ambao wako below 40 wanaweza kuwa viongozi wazuri na historia inaonyesha hilo na vile vile kuna ambao tumeamini wana busara ambao wako above 40 lakini tumeshuhudia madudu.Akina Chief mangungo walikuwa above 40,makatibu wakuu (mangungo-mambo leo) waliosaini mikataba yote mibovu wako above 40

What I mean here is that many people have gambled into our legislatures, and these people are essentially political neophytes and as you can even see from their words in parliament and their words are uncooked. And it must be realized that it takes a long time for one to know what to say politically.

But however, I don't want people to condemn and write them off, we have to look at them and at the next turn of election, we have to pick the night ones. Our new constitution should be well prepared to expand the democratic mandate and prepare our youths to shoulder national responsibilities.

We must give them the opportunity to retrain themselves.

Akina Mzee Salim Ahmed Salim,Mzee Samwel Malecela,Jaji warioba na wengineo walibeba majukumu mazito ya kitaaifa wakiwa vijana.Mwalimu J.K Nyerere alikuwa kijana aliyebeaba wajibu mkubwa akiwa below 40.Hawa wanaopinga kutanua wigo wa kidemokrasia so far hawajajenga hoja za kushawishi hili.Ninachoshauri huu mjadala inabidi uwe mjadala wa kitaifa.Tuache kuangalia kwa scope ya vyama,dini au makabila.

Wacha nitoke kidogo !
 
Akina Mzee Salim Ahmed Salim,Mzee Samwel Malecela,Jaji warioba na wengineo walibeba majukumu mazito ya kitaaifa wakiwa vijana.Mwalimu J.K Nyerere alikuwa kijana aliyebeaba wajibu mkubwa akiwa below 40.Hawa wanaopinga kutanua wigo wa kidemokrasia so far hawajajenga hoja za kushawishi hili.Ninachoshauri huu mjadala inabidi uwe mjadala wa kitaifa.Tuache kuangalia kwa scope ya vyama,dini au makabila.

Wacha nitoke kidogo !
Aisee kwa kweli sijajuwa ni kwa nini unatumia nguvu nyingi sana kwa jambo ambalo liko wazi, hapa hoja sio umri wa mgombea Urais bali hoja ni nani mwenye sifa za kuwa Rais bila kujali umri wake, ndio maana tunasema ikulu hakuna mashindano ya urijali kusema wanaitajika vijana tu.

Ni hivi hatuwezi kutengeneza katiba ya kumfurahisha Zitto Kabwe wala January Makamba, tunatengeneza katiba ya kutupeleka miaka 50 ijayo kwahiyo hata ikionekana umri wa Urais uwe ni miaka 20 is fine lakini hatumtengenezei mtu katiba ili apate fursa ya kugombea, why don't u think out of this box?......

Mbona umri wa vijana kugombea ubunge hauwazuii lakini kuna vijana kiasi gani wanaoleta angalau positive results katika ubunge wao? sijasahau ni juzi juzi tu hapa Lawrence Masha aliaminiwa na Rais kupewa wizara nyeti na nzito kwenye nchi na matokeo yake kila mtu anajuwa, halafu leo hii uje kwa mtu makini na gia za ujana sidhani kama atakuelewa labda Adam Malima ndio mtaelewana katika hoja hizi mufilisi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom