Zitto: Ndio ninautaka urais

Zitto: Ndio ninautaka urais

Status
Not open for further replies.
Naitamani hii iingizwe kwenye katiba mpya ili iwekwe wazi kabisa kwamba post ya urais ni ya kubadilishana kati ya waislam na wakristo at the same time kwa mawaziri wakuu.
that means
rais akiwa muislam na waziri mkuu awe mkristo kama ilivyo sasa, pia raisi akiwa mkristo waziri mkuu awe muislam. hapo itakuwa mswano. ama kwa katiba ya sasa hilo haliko ivo ivo Zitto ana haki ya kuonesha dream zake wala hupaswi kupoteza muda katika hili

Mr. Mak,
Hilo haliwezekani! Waziri Mkuu lazima awe mtu anayekubalika na wengi ndani ya chama chenye Wabunge wengi Bungeni..Kama Chama cha Magamba kikitoka madarakani siyo rahis chama kinachofaa kikatoa Muislamu wa kuwa Presidaa au Waziri Mkuu. After all, kinachotakiwa siyo dini ya mtu bali uwezo wake...and by the way, Marais wa Kiislamu wameturudisha nyuma sana, so we must think before electing them to any useful post..wengi wamejaa ujinga na udini tu!
 
Narudia tena Ben Saanane hawezi kupita kwenye vetting yoyote makini ili awe Itelligence securty officer, sana sana tu anaweza akawa ni sehemu vya mainformer wadogo wadogo tu kupitia Zitto Kabwe through Jack Nzoka.
Ben ameshanyea kambi anachofanya ni kutapatapa aonekane amekufa kishujaa.
 
Mdau umenena vyema.
Hivi zitto mbona unakuwa mtata kiasi iki?, hivi kweli zitto kuingia bungeni mihura miwili tu ndio tayari umeshakwiva?, hata kama umekwiva kwanini haya mambo usiyaweke wazi ktk vikao vya chama chenu?, kwani wewe ndio pekee unayestahili kuwa rahisi?.

Kusema ukweli zitto mimi huwa nakuona kama unatumiwa vile, chadema inapaswa muwe makini sana na zitto kwani kama makuwa makini kila mala mifarakano yoote nayotokea chamani huwa inaanzia kwa zitto na hata uko nyuma mlishawahi kukamata mawasiliano ya zitto na rostam pamoja na watu wa usalama wa taifa, hivyo chadema kuweni makini sana na huyo dogo na ikiwezekana akiwaletea za kuleta mumtimue kama mwenzake wa nccr ila mambo yaende sawa.
 
You talk too much kama kasuku, be short and precise unafikiri kuongea sana ndio utafuta uchafu wako.
Kazi ni kulia lia tu na kujitetea muda mwingi unautumia kujibu maovu yako wala hujengi point yeyote ya kuimarisha chama.

Thibitisha huo uchafu najua huwezi! Unakerwa hutaki niandike ili mpate nafasi ya kupotosha na kufurahisha watu. Hapo uliponi-quote nilikuwa najibu watu.wewe hutaki sasa tukusaidieje?
Never.......now i know him enough, nilidhani mlikuwa mnamuonea kumbe this is virus inside CHADEMA.
Nikikuita majina mabaya itakuaje? Halafu unajiita mstaarabu na kujifanya unanishauri? loh....kama hukubaliani na hoja za mtu hakuna haja ya kuwa too emotional .
Kwa wiki kama mbili hivi kumekuwa na mabandiko humu JF yanayoashiria kana kwamba huko CDM kuna Gogoro. Haya mabandiko yamekuwa yakipingwa na wengine kuja na tafiti kuyapinga. Nakumbuka alianza Tuntemeke wakafuatia akina PAA na TII kisha akaja Mwanahalis. Niliona kama watu wa CDM wa ndani kabisa wakiwa wanapingana. Mfano Dr. Mkumbuko alipingana na Rev. K ambaye alisema ana habari za ndani. Katika moja ya post zake, Tuntemeke alisema kwamba wananyimwa kuila keki ambayo wameipika! Sikumuelewa. Kisha ukaja uzi ambayo ulisema kwamba wakati Dr. Mkumbo yuko London alisema ya kwamba ndani ya CDM kuna makundi ya Urais ambayo yanangozwa na Zitto, Mbowe na Dr. Slaa. Aliyeleta uzi akashambuliwa kwa kila aina ya matusi na kejeri. Dr. Mkumbo hakukanusha hili. Amekuja Zitto anasema wazi wazi kwamba anautaka Urais na ameenda mbali zaidi na kuonyesha jinsi alivyojitolea kukijenga chama wakati huo wengine wakiwa wanapumzika na wengine wakiogopa kuingia chamani (amepika keki kwa nini asiile?). Baada ya Zitto kujitokeza na makundi ndani ya washabiki/wana CDM yamejitokeza hadharani ili kutimiza lile neno lililonenwa na mtu mmoja akisema alimsikia Dr. Mkumbo akisema kuna makundi ya Urais huko CDM.

Kwa hakika ni dhahiri shahiri sasa kwamba kuna Gogoro huko CDM na bundi ametua mtaa wa Togo. Gogoro linatakiwa lishughulikiwe. Naanza kuhisi watu/wanachama wakitolewa kafara ili kulinda himaya. Tusubiri tu tumelizane na Meru.

Hakuna mgogoro chadema,hili ni zoezi la demokrasia tu.Mkuu usiniangushe kwa kutafsiri huu kama mgogoro.Uwezo wako wa kuchambua mambo ni mkubwa mno.Zoezi la kidemokrasia na jukwaa la kujadili mstakabali wa nchi kupitia siasa,uchumii na kijamii ndiyo suluhisho kwetu kama Taifa.Ni mgongano wa mawazo tu,hapa zipo fursa za ukombozi,zipo fursa za uponyaji.Ipo njia ya kulitofautisha Taifa letu na Banana Republic

Kimbunga, From where the nation stands now, do you see hope; do you see things getting better?We must see hope even when it is opaque, otherwise we are all doomed. If we stop searching for hope and for any improvement, then we have stopped thinking and it means we have stopped breathing – we are all dead.

So, we must challenge all our intellectual capacities to bring about that hope and discuss or chart a new course for the country because right now, we are drifting. Now's the time that we should harp on industrial and economic policies. We should be building on a stable democracy. This is the time we are using to confront myriad of problems that are domestically and externally dangerous for the country such as religious division- promoting division and intolerance among the tribes. We are still solving that problem but we have not seen the cause of our problems and we are addressing ordinary symptoms; we are not seeing that it is poverty, neglect and lack of good economic policies and programmes that is leaving people more destitute.

There is the creation of violent reaction; we are not seeing electricity or power generation and supply to various homes and villages and for industrial use in our industrialisation but that is the most critical discovery of humanity in the last 1000 years. We have been searching for alternative in the last one century; we have not developed one and we have not even achieved any goal.

So, if we have not done that, we must give hope to our new generation; we can't give up on them. Do away with these tyrants by strongly opposing electoral malpractices in this country, by getting leaders to do away with deceptions; by mouthing and making noise about good governance without putting it to practice.

Call on the judiciary to wake up and do what is right and adhere to liberty, freedom, democracy and justice for all. That is where all our efforts must lie, otherwise we will neglect those areas at our own peril.

Let us provide alternative platform by mobilizing like-minded people to have some form of coalition.
 
Ben ameshanyea kambi anachofanya ni kutapatapa aonekane amekufa kishujaa.
Simameni imara dhidi ya hawa waovu, sisi ambao siyo wanachama tutawapasapoti inayostahili, sasa ndio nimeelewa ni nini maana ya Masalio ya Zitto yapukutishwa CHADEMA!!!..... ila kumbukeni mnapotaka kumuuwa nyoka akikisha kichwa umekitenganisha na kiwilikwili.
 
Dr Slaa he was seek for one term Presidencial......Je una lingine?
Kwa hiyo kwa wakati ule Zitto alikuwa sahihi kusema kwamba mwaka 2015 atagombea urais lakini sasa hayuko sahihi?
 
Hili halinitishi.....!



Mkuu,

Ndiyomaana nasema hapa tuwe fair. Hivi Zitto akikuambia alitambulishwa kwa Rosatam Aziz na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe utasemaje?mawazo yako yatakuwa haya haya au yatabadilika?
Haya hapa ni maneno ya Zitto

"Rostam Aziz alikuwa mbunge mwenzangu na nimeshasema hapa nimekuwa nikiwasialiana naye sana Kama Mbunge na Kujadiliana naye mambo mengi tu. Hajawahi kunihonga. Hajawahi Kujadiliana na mimi lolote kuhusu chama changu wala chama chake. Rostam Aziz nimetambukishwa kwake kupitia Mwenyekiti wangu wa chama ndugu Mbowe. Urafiki wangu naye imetoka kwa Mbowe maana sikumjua kabla.

Haya majungu haya yameshachacha. Kubenea kayasema wee lakini wananchi bado wana imani kubwa sana na mimi. Tafuteni majungu Mapya."

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...akutana-na-keneth-kaunda-lusaka-zambia-3.html


Kama nilivyosema awali, mimi sina tatizo wala husuda yoyote na Zito lakini kama walivyo Watanzania wengine, simfahamu na wala hanifahamu. Lakini ningependa niwe na imani ya kutoka moyoni kwa mtu ambaye nadhani anaweza kubebea jukumu la uongozi wa kitaifa. Zito amekuwa mwepesi sana wa kufafanua mambo mengi akiulizwa, na pia ni mwepesi na ana uwezo wa kuandika lakini mara kadhaa alipoulizwa kuhusu uhusiano wake na RA na naibu mkurugenzi wa usalama wa Taifa amekuwa mzito sana wa kutoa ufafanuzi. Namshauri asiwe na fikra kuwa kila anayemwuliza jambo fulani ambalo labda halipendi basi ana nia mbaya naye, wengine tunataka kujua ili tujenge imani juu yake. Na kwenye hili Zito hajafanikiwa, kama anaamini kuwa matendo yake yote yapo katika njia nyofu anatakiwa kujitokeza na kuyatolea maelezo ya kutosha, yasiyoleta shaka. Hilo ni muhimu kuliko kutangaza kuwa anautaka Urais.

Juu ya Zito kutambulishwa kwa RA na Mbowe si utetezi wa kutosha. Jambo muhimu ni kutueleza urafiki na mikutano yake na RA hulenga jambo gani. Na hiyo siyo kwa Zito tu bali ni kwa kiongozi yeyote. Unapokuwa kiongozi halafu ukawa rafiki mkubwa wa mtu ambaye jamii unayoiongoza inamwona ni mhalifu mkubwa ni lazima itie shaka kubwa. Hiyo haijalishi kama ni Zito, Mbowe, Slaa au JK. Kati ya mambo yaliyopunguza sana imani ya Watanzania kwa JK, ni kutokana kuwa na urafiki wa karibu na watu wanaoonekana kuwa ni maadui wa Taifa (RA, EL na EC).

Ukweli ni kuwa BINADAMU MWADILIFU HAWEZI KUWA RAFIKI WA WOTE, WANAOIBA NA WANAOIBIWA.
 
Mtu aliyeshindwa uchaguzi na akabaki madarakani kwa nguvu bado unasema swala la katiba hapo? kuna katiba inayoruhusu kung'ang'ania madaraka?
Swala la urais sio la mzee wala kijana ni mtu mwenye uwezo tu na si vinginevyo ikulu hakuna mashindano ya kutafuta marijali ndio mtueleze habari za ujana.

Alishindwa wapi mkuu? Mimi najua ameshinda uchaguzi wa hivi karibuni na kutangazwa kama mshindi. Usitake niingie kwenye malumbano kwamba mwaka 2010 Dr. Slaaa alishinda lakini akachakachuliwa.
 

Mimi si mwana CDM lakini sioni hoja yenu iko wapi zaidi ya kuishia the same old story "uroho wa madaraka"
Afadhali ume declare interest, kama unawapenda sana rafiki zako kina Ben washauri waende ground level waonekane na si kushinda JF wakijibizana na members, halafu the next day wanataka washindane na kina Heche wanaonyeshewa mvua Arumeru mashariki kukiimarisha chama, hiyo haikubaliki. Muulize Ben leo amekifanyia nini chama maana toka asubuhi yuko JF.
 
Nelsweeter,
Acha uvivu wa kufikiri,usikurupuke kujibu mambo ambayo hujui msingi wake. Unaposema ni zamu ya Wakristo,una-refer katiba ya nchi gani au chama gani,CCM,CDM,CUF..??Kwamba kama zamu hii katawala Muislam basi next time atawale mkristo?..BTW,unajua maana ya Mujahidina au unaropoka tu! Jibu hoja na sio kum-attack Zitto!

safi sana naona amekurupuka!
 
Nakumbuka kusoma mahala kwamba kuna migogoro ya kujenga na migogoro ya kubomoa. Migogoro inayojikita kwenye kupigania demokrasia mahala popotre pale huwa inajenga japo kuna watu wengine wenye mawazo egemezi wataiona kana kwamba ni migogoro ya kubomoa.
 
Thibitisha huo uchafu najua huwezi! Unakerwa hutaki niandike ili mpate nafasi ya kupotosha na kufurahisha watu. Hapo uliponi-quote nilikuwa najibu watu.wewe hutaki sasa tukusaidieje?
Ben sitaki maneno meengi, tuambie leo tangu asubuhi umekifanyia nini chama, maana nakuona uko JF toka usiku wa manane.
 
Alishindwa wapi mkuu? Mimi najua ameshinda uchaguzi wa hivi karibuni na kutangazwa kama mshindi. Usitake niingie kwenye malumbano kwamba mwaka 2010 Dr. Slaaa alishinda lakini akachakachuliwa.
Kwa akili zako ukwaju no wonder hata Mwai Kibaki alishinda uchaguzi!!......
 
Ukisoma taarifa ya zitto vizuri wala hutapata tabu ya kujadili haya kwa Jazba huku mapovu yakiwatoka,aliyenayo na aiweke hapa isaidie...amesema ikiwa ataungwa mkono na chama chake na watanzani,ikiwa sio 2015 yupo tayari kusubiri wakati mwingine ikishindikana basi,na amemsifu Mbowe na Slaa walivyosaidia kuimarisha chadema YENU pia amemshukuru MBOWE kwa kumuibua kwani ni yeye ndie aliemshawishi aingie ktk siasa kwa umriwa miaka 16 jadilini kwa hoja sio UGOMVI NA MATUSI.
 
Mbunge mahiri na machachari kutoka chama makini Zitto Zuberi Kabwe ameweka wazi kuwa anautaka uraisi lakini akiwa atapata ridhaa kutoka kwa chama chake na wananchi kwa ujumla wao,




CHANZO: UDADISI: Rethinking in Action: ZITTO: "NDIO NATAKA KUWA RAIS"

Zitto yupo sahihi kuutaka urais ila nadhani lengo lake ni kutaka kuwachanganya wanachadema, wakati huu angejikita Arumeru kuhakikisha CDM wanashinda badala ya kuja na hoja za kuwachanganya
 
Ben ameshanyea kambi anachofanya ni kutapatapa aonekane amekufa kishujaa.

Huyu jamaa nilishawaambia ni mbishi aliyepitiliza.Ila ana roho ngumu sana hana tofauti na Gaddafi au Mugabe.misimamo yake mikali ni tatizo.Yaani pamoja na mashambulizi yote yeye anakomaa hadi muda huu.huu ujasiri wake huu angeutumia kupambana na CCM kwa kuisadia bavicha chadema ingefika mbali.Ben fanya kazi na heche muisaidie bavicha!

 
Simameni imara dhidi ya hawa waovu, sisi ambao siyo wanachama tutawapasapoti inayostahili, sasa ndio nimeelewa ni nini maana ya Masalio ya Zitto yapukutishwa CHADEMA!!!..... ila kumbukeni mnapotaka kumuuwa nyoka akikisha kichwa umekitenganisha na kiwilikwili.
Mkuu tuko imara sana, hicho kichwa kitapondwa tu si unajua ukitaka kumuua nyoka usishike mkia na kumchinja kobe inahitaji timing. Hawa wengine kina Ben ni nguvu ya komputa tu hana hata tawi analoliongoza wakisaidiwa na majeshi ya kukodi kina Kimbunga, paulss & co. wanaodai eti wao hawana rangi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom