mkuu zito, kwa jinsi unavyooneka unautaka urais, na nikikumbuka maneno ya hayati baba wa taifa, mwalimu nyerere
akaongeza zaidi
my take:
Kimsingi kwa hili kaka umechemsha ama kwa kujua au kutojua unajikuta unaleta "bad atmosphere" chamani, kauli zako zimekaa kibaguzi baguzi, ingetosha kama ungetetea issue ya umri wa kugombea urais, hilo watu mbona tuko pamaoja nawe sana tu, ila unapokuja tena kusema unautaka urais,hii inapoteza hata msingi wa point yako kwa kufanya watu kuelewa kuwa unajipigia debe, na uki recall maneno ya julius hapo juu, ndo kabisaaaa, i think its better some times kabla hujafunguka ukajaribu ku consult wazee (sio wa magamba kama unavyofanyaga).
Biliv me, reputation yako mbele ya vijana inashuka kwa kasi ya ajabu, wengine wanadiriki kusema kuwa eti wewe ni mgonjwa so unataka chance ya urais ili upate muda mzuri wa kutumia rasilimali za taifa kujitibu... Take this.