jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,362
Kuna watu wengine bana yaani wao wanata muda wote tuwe tunajadili uchaguzi wa Arumeru mashariki tu na Ubaya wa CCM........... HAIWEZEKANI.
Maisha mengine lazima yaendelee jamani, hizi habari za kusema ukileta hoja nyingine zaidi ya uchaguzi wa Arumeru mashariki eti ni kudivert attension za watu mimi naona ni yakipuuzi sana.
Nahakika wapiga kura asilimia 99.9 ya wakazi wa Arumeru hajui kitu chochote kinachoendele humu JF zaidi yetu sisi wa Kutoka nje ya Arumeru na wanaokaa nje ya nchi huko
Sasa hii dhana ya kudevert inakuja vipi hapa? hivi tunadhani tukidivert ndio labda itaisaidia CDM au CCM kushinda?
Acheni watu wajadili mambo yanayojiri bana, hauwezi kusimamisha mijadala ya matukio yanayojiri au kugundulika sasa eti kwasababu kuna uchaguzi Arumeru
VINGINEVYO ITAKUWA NI KAMA TUNAPASISHA KUWA HILI NI JUKWAA LA CDM TU KUPIGIA KAMPENI CHAMA CHAO.........maana zimeanzishwa Sredi nyingi tu sana humu kuhusu CCM na watu wanafunguka kweli kweli lakini huwezi sikia eti una divert attension
hivi kwa ufahamu wako uchaguzi wa urais ni lini? Elewa, waoga hukimbia wasipokimbizwa na walevi huongea wasivyovijua kutokana na nguvu ya kilevi ndani yao.