Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,301
Namuona mheshimiwa yumo ndani ya nyumba
1.eti mhe yasemwayo yana ukweli?
2.je ni kweli kwenye chama hakuna mtu mwingine ila slaa peke yake?
3.je Dr akisema hagombei hamtaweka mgombea urais 2015? kumbuka kila kitu kinawezekana as we are human beings and not machines/angels.
1.eti mhe yasemwayo yana ukweli?
2.je ni kweli kwenye chama hakuna mtu mwingine ila slaa peke yake?
3.je Dr akisema hagombei hamtaweka mgombea urais 2015? kumbuka kila kitu kinawezekana as we are human beings and not machines/angels.