Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,653
Hii kozi maalum kwa wabunge ni wiki 3 kama sikosei
Sasa wiki 3 ndo nini !? Waache utani bana ! Yaaani Nasari kakimbia wiki 3 !???
Hii kozi maalum kwa wabunge ni wiki 3 kama sikosei
Hii kozi maalum kwa wabunge ni wiki 3 kama sikosei
Mkuu umenikumbusha siku ya kwanza naenda kuripoti kikosini nilifika Kabuku kama saa 11 jioni. Basi wenyeji wakaniambia subiri utapata lifti ya mkuu wa kikosi kaenda Korogwe. Nikajikuta niko na dada mmoja alikuwa na ulemavu wa mguu mmoja naye anaenda kuripoti.Baada ya kama saa moja akaja mkuu wakikosi ndani ya Landrover akitokea Korogwe. Huyo ndio Kanali Mtono,sijapata ona askari kama yule tena kwa maana ya mafunzo ya kujenga ujasiri.835KJ ni Mgambo JKT . Kilometa kama 15 kutoka Kabuku njia kuu ya Tanga, Arusha na Dar na zaidi ya maili 9 hivi
Wakulima wazuri wa mahindi na Machungwa wenye zaidi ya hekta 300 kila zao
835KJ ni Mgambo JKT . Kilometa kama 15 kutoka Kabuku njia kuu ya Tanga, Arusha na Dar na zaidi ya maili 9 hivi
Wakulima wazuri wa mahindi na Machungwa wenye zaidi ya hekta 300 kila zao
good news
nimesikitika sana kusikia nasari amekimbia camp
the boy needed to stick to his words
Anayezungumziwa sio mwana CCM, tafadhali bwana.
product ya zamani mbona ni has?hilo linafahamika wazi, na lengo letu kurudisha jkt, ni kujenga moyo wa vijana kupenda chama tawala, kulinda na kutetea chama na nchi yao kwa moyo wa kizalendo zaidi. hilo ndilo lengo kuu, yaliyo baki ni malengo ya ziada. so i mean what i wrote.
Kila la heri. Ingawa muda ni mfupi, bilashhaka utasaidia kujenga na kuimarisha ujasiri na uzalendo. Viongozi maselule wameizamisha pabaya nchi yetu.
sijachanganya, namaanisha nilichoandika
Hii kozi maalum kwa wabunge ni wiki 3 kama sikosei