Zitto ndani ya 835KJ

Zitto ndani ya 835KJ

Nilikuwa Mgambo mwaka
1991/92, ni poa sana kwenda JKT, mliokosa mnapungukiwa na kitu has
uzalendo!!!!!!!!

vp kapten lowassa, chenge na wezi wenzie ndo wamejaa uzalendo au acha hzo wewe uzalendo kichwani mwako
 
Ameenda kujifunza mbinu za kuandaa utekaji na kutesa watekwa pamoja na njama za kuididimiza Chadema.
Masaa machache yaliyopita kamanda Zitto ka tweet ujumbe huu...

Zittokabwe: Naingia kambini 835KJ. Kwaherini kwa muda kidogo hapa twitani. Nawatakia ndugu zetu wa #Kenya uchaguzi wa amani kesho na wachague #Change

Binafsi namtakia Zitto kila la kheri, atoke kambini akiwa amewiva zaidi. #AmiriJeshiMkuu
 
Back
Top Bottom