Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,303
Kwahiyo ni mwanajeshi sio? Kama wanavyodai kua pakitokea vita naye anakwenda front line sio?Huyu alikwenda JKT baada ya kumaliza mafunzo ya ualimu kwa shule za msingi. Ni huko JKT kipaji chake cha kuimba kilipogundulika akachukuliwa kwende Monduli kwenye chuo cha maofisa wa jeshi.