sokolaboro
JF-Expert Member
- Dec 1, 2011
- 313
- 54
Nilikuwa hapo operation wajibu 1984 usijongo kwenda kwa bojo au genda genda
I wish wangekuwa wanashughulika pia na machimbo ya dhahabu, almasi, tanzanite, rubby, makaa ya mawe nk...vikosi vingine vingetoa mafunzo ya kuwahudumia watalii ikiwa ni pamoja na kuwapandisha milimani ... nchi yetu si ya kilimo tena...lazima mafunzo haya sasa yaendane na halihalisi ya dunia hii ya utanzawazi inayotumiwa na wajanja wachache kukwapua rasilimali zetu...Ongeza na zao la muhogo, nafikiri ni zaidi ya km 15, nilikuwa pale '93
Ujinga mtupu
sidhani kama una akiliNakutakia kila la kheri, kwa kipindi utakachokuwa jkt. Tunakuombea ukajengewe uzalendo zaidi, utoke ukiwa mwana-ccm, mzalendo, aliyeiva sawasawa.
(ccm itatawala milele)
Nilikuwa Mgambo mwaka
1991/92, ni poa sana kwenda JKT, mliokosa mnapungukiwa na kitu has
uzalendo!!!!!!!!
........
Kama tabia yako ni hiyo, sidhani kama siasa unaiweza. Punguza matusi.sidhani kama una akili
Huo uliouandika?
Masaa machache yaliyopita kamanda Zitto ka tweet ujumbe huu...
Zittokabwe: Naingia kambini 835KJ. Kwaherini kwa muda kidogo hapa twitani. Nawatakia ndugu zetu wa #Kenya uchaguzi wa amani kesho na wachague #Change
Binafsi namtakia Zitto kila la kheri, atoke kambini akiwa amewiva zaidi. #AmiriJeshiMkuu
Uzalendo unasaidia kujenga nch, sio kula.