Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Hii midahalo ndo inatupumbaza huku wananchi tukiendelea kupigika kwa maisha haya yanayoshabihiana na ya jehanamu
Kama ni lazima kuwa na hii midahalo basi iwahusishe wataalamu wa sekta husika ili waje na suluhisho la mgao wa giza.
Lakini kuendelea na midahalo ya wanasiasa hakuna tutakachofaidika, tutaendelea na mgao wa giza na kuwatafutia umaarufu wa bei chee hawa wanasiasa.