Zitto, Makamba na mwakilishi wa TANESCO ndani ya mdahalo wa Star Tv

namwona anajitahidi sana kumsemesha semesha zito,,kwa nini??anajaribu ku-draw attention za watazamaji
 
Naibu katibu Mkuu wa wizara hajafika....Mada ni Nishati ya Umeme na Tanzania tunayoitaka
 
swali kutoka kwa mwenyekiti: Tuko gizani miaka 50 baada ya uhuru...Tumefikaje hapa? Zitto anaanza kujibu
 
naona kilaza wetu maarufu january anajikanyaga kwa kukosa amani kwa ajili ya kufumaniwa email
 
Zitto: Anaanza na shukrani....mwaka 1961 wenye umeme walikuwa 1% leo ni 14% ikifika 2015 itakuwa 30%.
 
mwongoza mdahalo ameanza na swali la kwanza tuko gizani tunaelekea miaka 50 ya uhuru je tumefikaje hapa!
anataka jibu changieni zitto ndo amepewa nafasi ya kwanza
 
Zitto: Tangu 92 njia zetu za uzalishaji hazijabadilika na kuna tatizo pia la mikataba.....Tanesco haikuwekeza kwa miaka 10 1996-2006 sbb liliwekwa kwenye orodha ya kubinafsishwa
 
Hatujawekeza vya kutosha kwenye sekta ya umeme, hatujajifunza kutokana na mapungufu yaliyoko kwenye mikataba ya kuzalisha umeme - zito
 
Zitto: Baada ya kuahirisha mpango wa kubinafsishwa shirika likaingia katika Richmond, January sasa
 
Makamba: Ongezeko la migodi limeongeza uhitaji wa Umeme, uzalishaji ni tofautina mahitaji
 
Mdahalo wa nishati na Tanzania tunayoitaka ndio umeanza lkn ktk hali ya kushangaza wizara husika haijatuma mwakilishi huku mkurugenzi wa Tanesco akituma mwakilishi tofauti na ilivyotarajiwa kwamba angekuwepo mwenyewe. Sasa anaongea Zitto
 
Makamba: Tumefika hapa sbb ya kukosa plan ya ongezeko la mahitaji na uzalishaji
 
Zito ameanza vizuri nitaendeleza palepale, ukuaji wa uchumi uende sambamba na upatikanaji wa umeme, hakuna kitu kikubwa kama planning kwenye umeme, mahitaji ya umeme yachukue sura ya ukuaji wa uchumi - hilo halikutokea . J Makamba
 
Makamba: Ongezeko la mahitaji ni la miaka 5 wakati uzallishaji ni equivalent na mahitaji ya mwaka
 
kilaza inginia muhando wa tanesco analewa hapa rombo view,,kwa nini asiende kwenye mdahalo?
 
Back
Top Bottom