Mlisema January Makamba anahujumu TANESCO ameondoka basi muacheni yeye ni binadamu kama nyie

Ngungenge

JF-Expert Member
Jun 11, 2016
2,863
3,192
Wakati January na Maharage wakipambana kuleta suluhisho la kudumu TANESCO maneno yalikua mengi, tunajua waliokosa tenda na waliokuwa wanufaika wa TANESCO walilipa machawa kuendesha vita na January kupitia mitandao ya kijamii ilikua kila siku hukosi makala tano za kumsema makamba.

Rais Samia akaona isiwe tabu akamtoa na kumleta Biteko, basi sisi wananzengo tukajua kweli Makamba alikua anahujumu zimepita siku chache tuu tatizo la umeme limekuwa serious kuliko kawaida hadi CCM inalia

Ukweli ni kuwa tatizo la umeme ni scientific sio la kisiasa linahitaji suluhusho la uhakika sio brabra, fitina majungu nk

Sasa January sio tena Waziri wa Nishati basi muacheni, mbona kumsema mtu mkimya aliyebize na kazi zake, mbona kumsingizia kila siku

Jukumu la TANESCO liko kwa Biteko basi ajitahidi kupambana kuleta suluhisho

January sio tena waziri wa nishati muacheni aendelee na majukumu mengine aliyopewa na Rais wetu
 
Wakati January na Maharage wakipambana kuleta suluhisho la kudumu TANESCO maneno yalikua mengi, tunajua waliokosa tenda na waliokuwa wanufaika wa TANESCO walilipa machawa kuendesha vita na January kupitia mitandao ya kijamii ilikua kila siku hukosi makala tano za kumsema makamba.

Rais Samia akaona isiwe tabu akamtoa na kumleta Biteko, basi sisi wananzengo tukajua kweli Makamba alikua anahujumu zimepita siku chache tuu tatizo la umeme limekuwa serious kuliko kawaida hadi CCM inalia

Ukweli ni kuwa tatizo la umeme ni scientific sio la kisiasa linahitaji suluhusho la uhakika sio brabra, fitina majungu nk

Sasa January sio tena Waziri wa Nishati basi muacheni, mbona kumsema mtu mkimya aliyebize na kazi zake, mbona kumsingizia kila siku

Jukumu la TANESCO liko kwa Biteko basi ajitahidi kupambana kuleta suluhisho

January sio tena waziri wa nishati muacheni aendelee na majukumu mengine aliyopewa na Rais wetu
Mpaka akatoe zile taka taka zake alizowacha ndio atapumzishwa bila hivyo atapelekea moto huko huko wizara ya kigeni!
 
Kama January alikuwa anapigwa vita kwasababu ya TANESCO halafu sasa hivi TANESCO haiko chini yake na vita bado ipo unapaswa kujua kuwa pengine TANESCO haikuwa sababu kuu ya vita yake. Pengine ana mengine. Itafute hiyo sababu.
 
Wakati January na Maharage wakipambana kuleta suluhisho la kudumu TANESCO maneno yalikua mengi, tunajua waliokosa tenda na waliokuwa wanufaika wa TANESCO walilipa machawa kuendesha vita na January kupitia mitandao ya kijamii ilikua kila siku hukosi makala tano za kumsema makamba.

Rais Samia akaona isiwe tabu akamtoa na kumleta Biteko, basi sisi wananzengo tukajua kweli Makamba alikua anahujumu zimepita siku chache tuu tatizo la umeme limekuwa serious kuliko kawaida hadi CCM inalia

Ukweli ni kuwa tatizo la umeme ni scientific sio la kisiasa linahitaji suluhusho la uhakika sio brabra, fitina majungu nk

Sasa January sio tena Waziri wa Nishati basi muacheni, mbona kumsema mtu mkimya aliyebize na kazi zake, mbona kumsingizia kila siku

Jukumu la TANESCO liko kwa Biteko basi ajitahidi kupambana kuleta suluhisho

January sio tena waziri wa nishati muacheni aendelee na majukumu mengine aliyopewa na Rais wetu
Fikiria Huyo February wako aliikuta tanesco umeme haukatiki ameondoka umeme unakatika Hadi Kero we huoni hoja hapo
 
Kama January alikuwa anapigwa vita kwasababu ya TANESCO halafu sasa hivi TANESCO haiko chini yake na vita bado ipo unapaswa kujua kuwa pengine TANESCO haikuwa sababu kuu ya vita yake. Pengine ana mengine. Itafute hiyo sababu.
Naanza kukubaliana na ww kuwa huenda shida isiwe TANESCO bali there is something behind
 
Siasa ni za kipuuzi sana,dogo alikua anaundiwa fitna kisa tetesi anaweza kua kiongoz badae,mama kamleta mtoto wa Kanda yetu pendwa ili atibu tatizo wapi,ndo limezidi,hua nailudia Ile clip ya Lowasa kujiuzulu"NAJUA HAYA YOTE KISA NI URAIS TU"akaundiwa saga akina mwakyembe na kamati hewa hakuna lolote
 
Wewe naona unatutafuta maneno. Huyo januari wako amefanya damage isiyomithilika halafu unasema tumwache kwa kuwa ni binadamu kama sisi? Sisi tuna utu, yeye ana unyama wa aina fulani. Angekuwa na ubinadamu kama wetu asingetuhujumu kiasi cha kutuachia mgao usiokuwa na mwisho.
Yeye, baba yake, kikwete na kinana lolote liwapate.
 
Kama January alikuwa anapigwa vita kwasababu ya TANESCO halafu sasa hivi TANESCO haiko chini yake na vita bado ipo unapaswa kujua kuwa pengine TANESCO haikuwa sababu kuu ya vita yake. Pengine ana mengine. Itafute hiyo sababu.
January kachangia pakubwa sana kuivuruga Tanesco hawezi kukwepa lawama
 
Ilikuwa kila siku kipara ,kelele zimeishia wapi?

January anapewa hatia hakuwahi kufanya ni ujinga tu wa kisiasa.
 
Back
Top Bottom