Mbogela
JF-Expert Member
- Jan 28, 2008
- 1,384
- 257
zitto kabwe alikuwa nani aliposimamia hoja ya dowans? Alikuwa nani aliposimamia hoja ya buzwagi? Unaweza ukawa waziri kivuli usiwe na ajenda na unaweza kuwa mbunge wa kawaida na ukawa na ajenda na hoja, huyo ndio zitto.
ZZK ni msomi wa uchumi na sheria, mbunge wa muda mrefu mwanaharakati. Anaupeo na uelewa wa kuelezea TANESCO imefikaje ICU
ZZK ni msomi wa uchumi na sheria, mbunge wa muda mrefu mwanaharakati. Anaupeo na uelewa wa kuelezea TANESCO imefikaje ICU