kwa kweli huyu kijana nimemfuatilia kwa muda mrefu na kugundua ni miongoni mwa viongozi wa chache ambao wana nia ya dhati ya kuwakombania wananchi wa nchi hii ya Tanzania
pia ni kijana mwenye maono na uwezo wa kujenga hoja, ni mtu mwenye kujiamini na kuwa tayari kuusimamia na kuutetea msimamo wake
ni mtu asiendeshwa na emotion kama viongozi wengine, ni kiongozi pekee karibu vyama vyote vya siasa na wasiokuwa na vyama wanamuheshimu na kumpenda
kwa kweli zitto anafaa kuwa mgombea wa chadema 2015
kwa kweli huyu kijana nimemfuatilia kwa muda mrefu na kugundua ni miongoni mwa viongozi wa chache ambao wana nia ya dhati ya kuwakombania wananchi wa nchi hii ya Tanzania
pia ni kijana mwenye maono na uwezo wa kujenga hoja, ni mtu mwenye kujiamini na kuwa tayari kuusimamia na kuutetea msimamo wake
ni mtu asiendeshwa na emotion kama viongozi wengine, ni kiongozi pekee karibu vyama vyote vya siasa na wasiokuwa na vyama wanamuheshimu na kumpenda
kwa kweli zitto anafaa kuwa mgombea wa chadema 2015
kwa kweli zitto ndani ya chadema ni kiongozi pekee ambaye hajachafuka. zitto ni kiongozi ambae haendeshi siasa za maji taka, au kutaka popularity, maana yeye tayari popular.
hata juzi nilisikiliza kwa umakini akizungumzia kuhusu bajeti mbadala nimemkubali
zitto hawezi kufanana na slaa ambaye, yeye hulishwa data na kuropokwa bila kufanya upembuzi yakinifu
sisahau slaa alivyomwita kiongozi mwenziwe kuwa ati sisimizi. zitto hana tabia ya kuwadharau viongozi wenziwe hata wanapotafautiana kimsimamo
zitto alijiunga na chama sio kwa njaa bali kwa imani na msimamo wake juu ya taifa lake.
kwa kweli huyu kijana nimemfuatilia kwa muda mrefu na kugundua ni miongoni mwa viongozi wa chache ambao wana nia ya dhati ya kuwakombania wananchi wa nchi hii ya Tanzania
pia ni kijana mwenye maono na uwezo wa kujenga hoja, ni mtu mwenye kujiamini na kuwa tayari kuusimamia na kuutetea msimamo wake
ni mtu asiendeshwa na emotion kama viongozi wengine, ni kiongozi pekee karibu vyama vyote vya siasa na wasiokuwa na vyama wanamuheshimu na kumpenda
kwa kweli zitto anafaa kuwa mgombea wa chadema 2015
Naomba twende kisayansi kidogo kuliko kutumia makalio na tumbo kufikiri,je unaweza kuniambia ni kwa nini kura za Zitto zimepunguwa sana alizopata kweye jimbo lake?
Ni vizuri ukiwa na mapenzi binafsi na mtu kama jinsia yako inakuruhusu ni heri umuombe akuoe maana Zitto hana mke, kuliko kutuletea habari za kusadikika hapa jamvini. Nenda kawashauri CUF kwamba safari hii urais agombee Mtatiro, na Zanzibar urais agombee Juma Ladhu, huu unaweza kuwa ushauri halisi.
Mimi nitaachana na siasa kabisaaaaaaaaa!Zitto akipitishwa na CDM kugombea urais nahamia CCM
Nitamsaidia hata kampeni akigombea CUF ama Magamba Party. CDM asahau msaliti huyo
kwa kweli huyu kijana nimemfuatilia kwa muda mrefu na kugundua ni miongoni mwa viongozi wa chache ambao wana nia ya dhati ya kuwakombania wananchi wa nchi hii ya Tanzania
pia ni kijana mwenye maono na uwezo wa kujenga hoja, ni mtu mwenye kujiamini na kuwa tayari kuusimamia na kuutetea msimamo wake
ni mtu asiendeshwa na emotion kama viongozi wengine, ni kiongozi pekee karibu vyama vyote vya siasa na wasiokuwa na vyama wanamuheshimu na kumpenda
kwa kweli zitto anafaa kuwa mgombea wa chadema 2015
Ni ukweli usiopingika kuwa Zitto ni Tunu kubwa kwa CDM,kila anayejifaragua hujifaragua kwa kujilinganisha na zitto, na hata wananchi husema ivi"tungepata vijana wengine kama Zitto". Kuna baadhi ya vijana walidhani siasa ni kuongea tu, kumbe ni zaidi ya hapo. Zitto ni mbunifu ambaye ubunifu wake huwakuna watanzania.
Zitto akipitishwa na CDM kugombea urais nahamia CCM