Zitto kugombea urais 2015?

Zitto kugombea urais 2015?

Status
Not open for further replies.
Sheria gani umetumia kuzindua kampeni hii? Na je, umefikiri suala la umri wa mgombea wako?
 
zitto ni sawa na kopo tupu la samli..samli imekwisha na kopo limetupwa ktk dustbin..halina kazi tena!
 
ni desturi yangu kutochangia hread za kipuuzi especially zinzoanzishwa na magamba
 
kwa kweli huyu kijana nimemfuatilia kwa muda mrefu na kugundua ni miongoni mwa viongozi wa chache ambao wana nia ya dhati ya kuwakombania wananchi wa nchi hii ya Tanzania


pia ni kijana mwenye maono na uwezo wa kujenga hoja, ni mtu mwenye kujiamini na kuwa tayari kuusimamia na kuutetea msimamo wake

ni mtu asiendeshwa na emotion kama viongozi wengine, ni kiongozi pekee karibu vyama vyote vya siasa na wasiokuwa na vyama wanamuheshimu na kumpenda


kwa kweli zitto anafaa kuwa mgombea wa chadema 2015

acha uchuro wewe, waambie wavuaji magamba wamweke NAPE 2015.
 
Bado kwanza, asubiri, anatakiwa akue na ajifunze. Ikulu si mahali pa kutafutia uzoefu kama alivyodai JK wakati wa kampeni 2010 "Miaka mi5 iliyopita ilikuwa ya kujifunza, sasa tuna uzoefu" ambao pia bado hatujauona.
 
kwa kweli huyu kijana nimemfuatilia kwa muda mrefu na kugundua ni miongoni mwa viongozi wa chache ambao wana nia ya dhati ya kuwakombania wananchi wa nchi hii ya Tanzania


pia ni kijana mwenye maono na uwezo wa kujenga hoja, ni mtu mwenye kujiamini na kuwa tayari kuusimamia na kuutetea msimamo wake

ni mtu asiendeshwa na emotion kama viongozi wengine, ni kiongozi pekee karibu vyama vyote vya siasa na wasiokuwa na vyama wanamuheshimu na kumpenda


kwa kweli zitto anafaa kuwa mgombea wa chadema 2015

kama mmefikia hapo nitarudi ccm
 
kwa kweli zitto ndani ya chadema ni kiongozi pekee ambaye hajachafuka. zitto ni kiongozi ambae haendeshi siasa za maji taka, au kutaka popularity, maana yeye tayari popular.


hata juzi nilisikiliza kwa umakini akizungumzia kuhusu bajeti mbadala nimemkubali

zitto hawezi kufanana na slaa ambaye, yeye hulishwa data na kuropokwa bila kufanya upembuzi yakinifu


sisahau slaa alivyomwita kiongozi mwenziwe kuwa ati sisimizi. zitto hana tabia ya kuwadharau viongozi wenziwe hata wanapotafautiana kimsimamo

zitto alijiunga na chama sio kwa njaa bali kwa imani na msimamo wake juu ya taifa lake.

Naomba twende kisayansi kidogo kuliko kutumia makalio na tumbo kufikiri,je unaweza kuniambia ni kwa nini kura za Zitto zimepunguwa sana alizopata kweye jimbo lake?
Ni vizuri ukiwa na mapenzi binafsi na mtu kama jinsia yako inakuruhusu ni heri umuombe akuoe maana Zitto hana mke, kuliko kutuletea habari za kusadikika hapa jamvini. Nenda kawashauri CUF kwamba safari hii urais agombee Mtatiro, na Zanzibar urais agombee Juma Ladhu, huu unaweza kuwa ushauri halisi.
 
kwa kweli huyu kijana nimemfuatilia kwa muda mrefu na kugundua ni miongoni mwa viongozi wa chache ambao wana nia ya dhati ya kuwakombania wananchi wa nchi hii ya Tanzania


pia ni kijana mwenye maono na uwezo wa kujenga hoja, ni mtu mwenye kujiamini na kuwa tayari kuusimamia na kuutetea msimamo wake

ni mtu asiendeshwa na emotion kama viongozi wengine, ni kiongozi pekee karibu vyama vyote vya siasa na wasiokuwa na vyama wanamuheshimu na kumpenda


kwa kweli zitto anafaa kuwa mgombea wa chadema 2015

Haikuhusu kwani CDM wanawachagulia CCM mgombea?Hamjamaliza kuvuana magamba mnarukia mgombea wa CDM 2015. Kwani nyie mtamsimamisha nani vile?
 
Kwanza unajua kuwa kwa tabia zake mbaya sana hata siku zake zinahesabika cdm. Ataenda nccr au TLP kwa taarifa zilizopo. Fisadi hatakiwi chadema. Hajatuambia walikuwa wanaongea nini na Rostam pamoja na Jack Zoka wakati wa uchaguzi mkuu 2010. Hajatuambia alivyokula fedha za Nimrodi mkono ili zitto amtoe mgombea wa chadema
 
Naomba twende kisayansi kidogo kuliko kutumia makalio na tumbo kufikiri,je unaweza kuniambia ni kwa nini kura za Zitto zimepunguwa sana alizopata kweye jimbo lake?
Ni vizuri ukiwa na mapenzi binafsi na mtu kama jinsia yako inakuruhusu ni heri umuombe akuoe maana Zitto hana mke, kuliko kutuletea habari za kusadikika hapa jamvini. Nenda kawashauri CUF kwamba safari hii urais agombee Mtatiro, na Zanzibar urais agombee Juma Ladhu, huu unaweza kuwa ushauri halisi.

Huyu ni gt wa cdm.
 
Nitamsaidia hata kampeni akigombea CUF ama Magamba Party. CDM asahau msaliti huyo
 
Ni ukweli usiopingika kuwa Zitto ni Tunu kubwa kwa CDM,kila anayejifaragua hujifaragua kwa kujilinganisha na zitto, na hata wananchi husema ivi"tungepata vijana wengine kama Zitto". Kuna baadhi ya vijana walidhani siasa ni kuongea tu, kumbe ni zaidi ya hapo. Zitto ni mbunifu ambaye ubunifu wake huwakuna watanzania.
 
Uraisi ni wa Zitto 2015. Vinginevyo chadema itachakachuka balaaaaaaaaaaaaaaa. ndiye ataweza kupambana na The Dream Team.
 
kwa kweli huyu kijana nimemfuatilia kwa muda mrefu na kugundua ni miongoni mwa viongozi wa chache ambao wana nia ya dhati ya kuwakombania wananchi wa nchi hii ya Tanzania


pia ni kijana mwenye maono na uwezo wa kujenga hoja, ni mtu mwenye kujiamini na kuwa tayari kuusimamia na kuutetea msimamo wake

ni mtu asiendeshwa na emotion kama viongozi wengine, ni kiongozi pekee karibu vyama vyote vya siasa na wasiokuwa na vyama wanamuheshimu na kumpenda


kwa kweli zitto anafaa kuwa mgombea wa chadema 2015

ninamashaka na uwezo wako wa kupambanua siasa.nakushauri uhamie jukwaa lingine!!
 
Ni ukweli usiopingika kuwa Zitto ni Tunu kubwa kwa CDM,kila anayejifaragua hujifaragua kwa kujilinganisha na zitto, na hata wananchi husema ivi"tungepata vijana wengine kama Zitto". Kuna baadhi ya vijana walidhani siasa ni kuongea tu, kumbe ni zaidi ya hapo. Zitto ni mbunifu ambaye ubunifu wake huwakuna watanzania.

Sisi wengine ni vipofu labda ungetusaidia tu kujuza huo ubunifu wake ni upi? au amebuni kitu gani? au jimbo lake lina maendeleo gani?
Nitarudi nasubili jibu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom