Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,325
kwa kweli huyu kijana nimemfuatilia kwa muda mrefu na kugundua ni miongoni mwa viongozi wa chache ambao wana nia ya dhati ya kuwakombania wananchi wa nchi hii ya Tanzania
pia ni kijana mwenye maono na uwezo wa kujenga hoja, ni mtu mwenye kujiamini na kuwa tayari kuusimamia na kuutetea msimamo wake
ni mtu asiendeshwa na emotion kama viongozi wengine, ni kiongozi pekee karibu vyama vyote vya siasa na wasiokuwa na vyama wanamuheshimu na kumpenda
kwa kweli zitto anafaa kuwa mgombea wa chadema 2015
Kijumla anafaa sana LAKINI TATIZO LAKE PEKEE NI DINI YAKE. Je Chadema watalikubali hilo safari hii maana yake alipogombea Uenyekiti walimtoa kwa sababu za mavirigiza.