Zitto Kabwe, ndani ya Addis na JK

Zitto Kabwe, ndani ya Addis na JK

kweli Zzk ni disaster na hafai kuaminiwa.

Mimi sioni kama kwenda na mheshimiwa Rais kama ni tatizo,ila kwa nini hiyo fursa ya kuongozana na mkubwa apewe zitto peke yake kila time kwa upande wa CDM?!!!!!!!!!! Na zitto kihistoria "alishajinyea" baada ya kuwapinga wenzake hadharani wakipigania upatikanaji wa katiba mpya. Zitto ni mmoja wa wanasiasa wanaofanya zile siasa alizosema Rostam Aziz.
 
Nafikiri ktk siasa zilizokomaa upinzani sio uadui wala siyo vita. Hivyo sioni sababu ya kuchukia kama hjyo dogo atakuwa amesafiri na mkulu wa nchi.

Acha kurahisisha mambo magumu wewe, dogo nampa hii kwa leo "short cut, cuts wrong"
 
Acheni ushabiki usiokua na kichwa wala miguu...nini hasa unachoshabikia? nini ambacho unaona huyo jamaa atafanya...ni nini ambacho anafanya sasa hivi to convince u he's the right guy...mtakuja juta na decisions zenu ambazo hata hamfikirii vizuri...

Mtotowa mjini!
Eti tutakuja juta ungejua hata chadema ikishika au kutoko kushika nchi mie sitegemei genge lolote kupata riziki,pole wewe,sijui unaitwa nani vile,manka au shirima au kimario au shirima!! Endelea kuwatete wakubwa wako bwana
 
Kwa nini lakini Zitto Kabwe hakubaliki ndani ya CDM.

Ukiwa mkweli mle ndani lazima utengeneze maadui na watakuzengua tu!! ZZK kinamponza kuhoji sana mambo ya ndani ambayo anaona hataendi saws sasa hapo ndo ngoma Inapoanza kunoga..
 
Aondoke mbowe kwanza na genge lake

Sawa aondoke Mbowe na Genge lake kwanza lakini kabla ya kuondoka na wao wanajiuliza kwa nini asiondoke Zitto na Genge lake kwanza?
 
jk yuko ethiopia au iringa ambako amefika asubihi ya leo saa 12.05?
 
Alijipigia kampeni mwenyewe maana alikua na hali mbaya sana dhidi ya mgombea wa cuf,na pia nilimuona siku moja akimpigia kampeni mnyika pale ubungo,hilo naweza kulishuhudia.
Alijipigia kampeni mwenyewe za urais?ugombea binafsi?ama una maanisha alijipigia kampeni za ubunge?swali langu kama hukulielewa,lilihusu kampeni za ugombea urais,ni kweli alimkampenia JK?ama ni uzushi tu?
 
Kama hiyo ndiyo hoja yako, Chadema kuna waziri kivuli wa mambo ya nje mh wenje, Zitto ni mamluki jamani wala hafai nashangaa sana CDM inambeba mtu kama huyu.
Did you read and understand every thing I said? I yes, what is your argument?
 
Siyo vibaya Zitto kwenda nje na Rais; Afterall anawakilisha upinzani ambacho ni chama kikuu hapa nchini. Makamanda; lazima mujiamini. Msiwe na hisia hasi kila wakati. Strong leaders wanajiamini. Kama kuna move yoyote usiyoielewa, fanya kwanza uchunguzi before you jump into conclusion. Remember umoja ni kitu muhimu
 
Alisema ana mzimikia sana dikteta meles zenawi,so mwacheni mfu akazike mfu mwenzie

That is very true...Zitto ni muumini mzuri wa siasa na uongozi wa Melas Zenawi. Anaenda kumzika mtu aliyempenda na kumchukulia kama role model wake.
 
Kwa nini lakini Zitto Kabwe hakubaliki ndani ya CDM.

Hakubaliki kwa sababu aligombea uenyekiti wa chadema taifa2009 na kumpinga mkurugenzi wa chagga development manifestal na pia anahoji kwa nini chama kinaendeshwa kikampuni zaidi mpaka uwe mchaga ndo unatapa nafasi
 
Back
Top Bottom