Mandown
JF-Expert Member
- Apr 8, 2012
- 1,665
- 507
ndo mkombozi mnayemfagilia kila kukicha, yaani hata akijisaidia njiani mtasema zoa kwa sababu anatoka kanda ya kasakzi. isitoshe Zitto ana busara hata ya kuyaendea mambo, watu wanaleta ushabiki tu wa kumusakama zitto eti kwa sababu ana dhamira ya kugombea urais hicho tu ndo kinachowatoa roho cdm na sio kingine, kwa sababu mnataka mchaga na familia yake yote watawale nchi ila sio kabila lingine kama zitto, kwa taarifa yenu kumjadili sana zito ndo mnampa chati zaid na nyie kujishushia hadhi.
hata mie naona hivo hivo hiki ni chama cha kidemocrasia, lakini hakikubaliani na demokrasia. hakuna haja ya kumsakama mtu anayetumia haki yake ya kidemocrasia