Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,718
- 1,443
Sizani kama ni sahihi kukandia kila jambo linalofanywa na Zitto. Kufanya hivyo tutakuwa hatumjengi ,ana mabaya yake na mazuri pia.Ameenda kutuwakilisha hivyo ni vyema tukapunguza hisia na chuki zenye mtazamo hasi.