Zitto Kabwe, ndani ya Addis na JK

Kuna jamaa yangu mmoja aliniambia atachana vyeti vyake na kuchoma moto kama ****** hataenda msiba huu..nikamwambia hataenda nipe kabisa hivyo vyeti asipoenda nichane na kuchoma sasa kwasababu ameenda jamaa vyeti vyake vimepona....
 
Inawezekana amekwenda kama sehemu ya ujumbe wa Tanzania kutoka vyama vya upinzani. Nadhani wenzake huko CDM watakauwa na taarifa. JK na ZK wana commonalities fulani kisiasa kwani wote walianza ambitions za kisiasa wakiwa wangali wadogo sana na walipopata nafasi hizo wakaanza kwa kushupalia makampuni ya madini kabla hawajanyamaza kama vile makampuni hayo hayapo tena.
 
Mkuu siasa sio chuki, nadhani Zito amepata baraka zote toka kwa Viongozi wake. Suala la Zito kutoka nje na JK, linamjenga sana kidiplomasia na kuelewa siasa za nje zinavyoendeshwa. CDM wanahitaji sana ujuzi huu, na wapo kufuatilia kila kitu kwa karibu mno.
On other hand; hiyo yaweza kuwa janja ya serikali ya CCM kupandikiza hisia za chuki, kutoaminiana na makundi ndani ya CDM. Technique hii ni mzuri kuvuruga nguvu za CDM ambazo zinawakosesha usingizi CCM
Only solutions now for CDM are:
1) To keep our eyes veryvery close to Zito. Na ikigundulika ni double agent, atoswe mara moja.
2) Japo ni too late, iwekwe protocal ndani ya CDM, kama kuna nafasi kama hizo, CDM ndio watoe Jina la atakayesafiri i according na maudhui ya safari yenyewe.

Kama hiyo ndiyo hoja yako, Chadema kuna waziri kivuli wa mambo ya nje mh wenje, Zitto ni mamluki jamani wala hafai nashangaa sana CDM inambeba mtu kama huyu.
 
WAKUU!

Namshangaa huyu Mh. Zitto Z. Kabwe. Wakati wa mkutano wa M4C Morogoro tuliambiwa angehudhuria. Baadae mawasiliano kati yake na Makamanda waliokuwa kwenye harakati za ukombozi yakapotea. Leo hii katia timu Addis na Mkulu.

Makamanda, hii ime kaa je? wakati Makamanda wengine wakiendeleza harakati za kuwakomboa waTanzania huyu Mh. mbona yupo beneti na Magogoni sana?

Ni kuuliza tu Makamanda.

Anafundishwa UVASCO DAGAMA
 
Mbona alienda hanang na mh rose kamili kwa M4C?mgawanyo wa majukumu wakuu!mleta uzi ana nia ya kutugombanisha wana cdm.
 
Ukimuuliza mwanachama yeyote wa ccm anavutiwa na kiongozi gani ndani ya CDM atakuambia zitto Kabwe sababu atasema hajatoka kaskazini ukimwambia vipi kuhusu Lissu au wenje watakujibu hao wamezaliwa kaskazini. Ukimuuliza mwanchama wa cuf yeye atajibu anavutiwa na zitto kwasababu ukimshawishi anaweza hata kugomea sensa
 
Hapa 2nahtaj majibu kama zitto amewakilisha upinzan ama n kwa niaba yake mwenyewe.Lakini hapa maswali bado ni mengi kw nn ni zitto?kuna ziara za kujenga chama M4C mbona hatumuni?kila m2 atahukumiwa kwa matendo yake .
 
Tanzania kuna majungu sana hata mtu kwenda kwenye msiba nalo ni nitatizo.
 
WAKUU!

Namshangaa huyu Mh. Zitto Z. Kabwe. Wakati wa mkutano wa M4C Morogoro tuliambiwa angehudhuria. Baadae mawasiliano kati yake na Makamanda waliokuwa kwenye harakati za ukombozi yakapotea. Leo hii katia timu Addis na Mkulu.

Makamanda, hii ime kaa je? wakati Makamanda wengine wakiendeleza harakati za kuwakomboa waTanzania huyu Mh. mbona yupo beneti na Magogoni sana?

Ni kuuliza tu Makamanda.

Mkuu Chadema wao na misiba ni mbalimbali.
 
Kwanini wanaopinga zzk kwenda adisababa hawana hoja za msingi? Chuki dhidi ya huyv mtu inawafanya watu wawe vipofu. Mbona sugu na mmiliki wa casino wapo us kwenye matamasha nakuna kelele??????
 
Mmesahau aliandika ataishi kuwa Meles?Nafikiri muda si mrefu atabadili jina lake na kuwa Meles kabwe kama alivyobadili huyo role model wake.Mbio mbio kuelekea Urais wa kwenye facebook na twitter
 
Back
Top Bottom